Tuweke kumbukumbu sawa. Siyo Magufuli peke yake. CCM kwa ujumla wake siyo waumini wa Demokrasia. Tangu tuurudishe mfumo wa vyama vingi ni uchaguzi upi ambao haujagubikwa na ghilba?
Waliambiwa wanawashwa washwa Mkuu, sasa acha wafunguke.Hawa wazee wakae kimya sasa, wakati yanatokea walikuwepo wakakaa kimya hawakusema leo wanasema...
Unawaonea hawa si waliongea ila tatizo waliongea gizani...Tusiwe wazuri wakulaumu, hawa ni wahanga wakuongea yaliyokuwa yanawasibuHawa wazee wakae kimya sasa, wakati yanatokea walikuwepo wakakaa kimya hawakusema leo wanasema...
Ile ilikuwa ni kilele cha kujipendekeza. Japokuwa ilikuwa ni kuteleza kwa ulimi lakini mara nyingi mambo haya yanatokana na vitu vilivyojificha kwenye ubongo.Mfuasi wake mmoja tokea jalalani alimuita Mheshimiwa Mungu siyo??😆
Tatizo kubwa zaidi ni Katiba iliyomweka huyo mteuzi...Tatizo halikuwa Mahera, lilikuwa aliyemteua Mahaera
Wewe nadhani unaishi kama shetani, mtu asiye na haki!Kwanini hawakuenda mahakamani?
Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
Waende mahakamani, mahakama ambazo majaji wote wameteuliwa na mwenyekiti wa CCM.Kwanini hawakuenda mahakamani?
Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
Kuna watu wanachomwa moto wa MAKAA YA MAWETulipitia kipindi kigumu Sana najiuliza why uwachukie wapinzani kiasi hicho km ww ni mwana mwema wa nchi
Utakuwa mzambia weweKwanini hawakuenda mahakamani?
Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
msingi wa kujaza fomu ni sheria- hizo hufuta kesi mahakamani zikikosewa- ila kwenye uchaguzi mnataka ichukuliwe poa- ni sheria au mapenzi /husuda? Acheni unafikiJaji Warioba akichangia kwenye mkutano wa TCD leo Dodoma, amenena haya
Miaka yote watu wanaelewa na wanajaza fomu vizuri lakini Mwaka 2020, ghafla watu hawajui kujaza fomu (wanaenguliwa). Hapa lazima kuna namna
Msitazame Wajumbe wa Tume pekee, angalieni Mfumo mzima wa Uchaguzi. Wizi wa kura unaanzia mbali. Unaanzia kwenye Kuandikisha wapiga kura, wakati wa kupiga kura na kutangaza matokeo
Siasa inataka kuingia kwenye dini, zamani viongozi tulikuwa tunakwenda kwenye vyumba vya ibada kama waumini, unasikiliza neno la Mungu. Siku hizi viongozi wakienda wanaombwa kutoa salamu za kisiasa, hii inaweza iingiza siasa katika dini tukapata matatizo
Vyama vingi vimekuwa kama makabila, vinaanza kugawa wananchi. Wananchi walikuwa kama jumuiya lakini siku hizi mambo mengi ya kijamii tunaingiza siasa, mfano msiba ni wa jamii lakini baadhi ya misiba unakuta sare za vyama,"
Katika vyama jumuiya zetu nazo zinakuwa kama za uhasama, badala ya kutuleta pamoja. Hali tuliyo nayo sasa utamaduni umetikiswa kidogo na tunapozungumzia maridhiano, nia yake kuturudisha kwenye utamaduni tuliokuwa nao
Viongozi wa kisiasa wangehubiri amani kama walivyofanya viongozi wa dini miaka michache iliyopita, nchi isingekuwa na malalamiko yanayolalamikiwa hivi sasa “kama wangetenda kama viongozi wa dini, nadhani matatizo haya tunayozungumza tusingekuwa nayo.
Waasisi wengi ninaowajua kwenye nyanja za siasa duniani hapa walikuwa wanatembea na punda hata ng'ombe! Wapuuzwe?Zitto Kabwe mwenyewe hapa mjini kaja kwa Gari moshi.
Zitto Kabwe mwenyewe hapa mjini kaja kwa Gari moshi.
Ana ujanja gani?!
Hata Mh. Hapi aliyanena hayo hayo leo hii anasulubiwa. J.K(mrisho) ameingia madarakani kwa gia hizo hizo na hata kumwachia Makonda batoni.Hawa wazee wakae kimya sasa, wakati yanatokea walikuwepo wakakaa kimya hawakusema leo wanasema...
Ni ujumbe mzuri sana, Mzee jaji Warioba Mungu aendelee kukujalia Afya njema, nasi tuendelee kufaidi busara zakoJaji Warioba akichangia kwenye mkutano wa TCD leo Dodoma, amenena haya
Miaka yote watu wanaelewa na wanajaza fomu vizuri lakini Mwaka 2020, ghafla watu hawajui kujaza fomu (wanaenguliwa). Hapa lazima kuna namna
Msitazame Wajumbe wa Tume pekee, angalieni Mfumo mzima wa Uchaguzi. Wizi wa kura unaanzia mbali. Unaanzia kwenye Kuandikisha wapiga kura, wakati wa kupiga kura na kutangaza matokeo
Siasa inataka kuingia kwenye dini, zamani viongozi tulikuwa tunakwenda kwenye vyumba vya ibada kama waumini, unasikiliza neno la Mungu. Siku hizi viongozi wakienda wanaombwa kutoa salamu za kisiasa, hii inaweza iingiza siasa katika dini tukapata matatizo
Vyama vingi vimekuwa kama makabila, vinaanza kugawa wananchi. Wananchi walikuwa kama jumuiya lakini siku hizi mambo mengi ya kijamii tunaingiza siasa, mfano msiba ni wa jamii lakini baadhi ya misiba unakuta sare za vyama,"
Katika vyama jumuiya zetu nazo zinakuwa kama za uhasama, badala ya kutuleta pamoja. Hali tuliyo nayo sasa utamaduni umetikiswa kidogo na tunapozungumzia maridhiano, nia yake kuturudisha kwenye utamaduni tuliokuwa nao
Viongozi wa kisiasa wangehubiri amani kama walivyofanya viongozi wa dini miaka michache iliyopita, nchi isingekuwa na malalamiko yanayolalamikiwa hivi sasa “kama wangetenda kama viongozi wa dini, nadhani matatizo haya tunayozungumza tusingekuwa nayo.
Kuna ukweli na hilo la "even worse" amekipatia CCM jeuri maradufu na kilivyokuwa huko nyuma+"mabilonea" na hata kuhalilisha vitega uchumi vyake ambavyo vilisikika kua na udhalimu ndani yake-mfano kujilimbikisha ardhi n.kUko sahihi ni ccm wote, ila kwa Magufuli it was even worse.
Kikubwa hapa ni kutafakari.Jaji Warioba akichangia kwenye mkutano wa TCD leo Dodoma, amenena haya
Miaka yote watu wanaelewa na wanajaza fomu vizuri lakini Mwaka 2020, ghafla watu hawajui kujaza fomu (wanaenguliwa). Hapa lazima kuna namna
Msitazame Wajumbe wa Tume pekee, angalieni Mfumo mzima wa Uchaguzi. Wizi wa kura unaanzia mbali. Unaanzia kwenye Kuandikisha wapiga kura, wakati wa kupiga kura na kutangaza matokeo
Siasa inataka kuingia kwenye dini, zamani viongozi tulikuwa tunakwenda kwenye vyumba vya ibada kama waumini, unasikiliza neno la Mungu. Siku hizi viongozi wakienda wanaombwa kutoa salamu za kisiasa, hii inaweza iingiza siasa katika dini tukapata matatizo
Vyama vingi vimekuwa kama makabila, vinaanza kugawa wananchi. Wananchi walikuwa kama jumuiya lakini siku hizi mambo mengi ya kijamii tunaingiza siasa, mfano msiba ni wa jamii lakini baadhi ya misiba unakuta sare za vyama,"
Katika vyama jumuiya zetu nazo zinakuwa kama za uhasama, badala ya kutuleta pamoja. Hali tuliyo nayo sasa utamaduni umetikiswa kidogo na tunapozungumzia maridhiano, nia yake kuturudisha kwenye utamaduni tuliokuwa nao
Viongozi wa kisiasa wangehubiri amani kama walivyofanya viongozi wa dini miaka michache iliyopita, nchi isingekuwa na malalamiko yanayolalamikiwa hivi sasa “kama wangetenda kama viongozi wa dini, nadhani matatizo haya tunayozungumza tusingekuwa nayo.
Kabisaaaah, linalotokea mdomoni ni jambo ambalo unalifikiria, lipo kichwani na kwenye nafasi na moyoni mwako!Ile ilikuwa ni kilele cha kujipendekeza. Japokuwa ilikuwa ni kuteleza kwa ulimi lakini mara nyingi mambo haya yanatokana na vitu vilivyojificha kwenye ubongo.
Haumtendei haki Hayati Raisi JPM. Ukweli ni kuwa "CCM ina wenyewe" ili kuwaridhisha "Kabila" lao na kutekeleza "malani"(ilani) kulikuwa na ulazimu wa Kuteka uchaguzi wao-ni CCM wote haoKwa Ulimwengu wa Sasa kwani ishu ya kuchukua fomu na kurudisha zifanyike physically? Kwann watu wasipakue fomu online then wajaze alafu waaplod. Ni uhuni tu, mgombea anachukua fomu mara mkurugenzi hayupo ofisini mwisho wa siku anarudi saa 10 alafu ndio deadline. Mgombea anajaza fomu ikifikia mezani kwa wahuni kama aliandika anamiaka 35 wahuni wanaongezea 1 nyuma then inasomeka ana miaka 135 na anakosa sifa ya kugombea. Kurudisha fomu mara mpokeaji hayupo au mgombea anatekwa njiani mpaka muda wa mwisho unafika yaaan ni maigizo ya kijinga sana. Kwakweli Jiwe sipati picha alikuwa anataka nn na hii nchi.