Kwa Ulimwengu wa Sasa kwani ishu ya kuchukua fomu na kurudisha zifanyike physically? Kwann watu wasipakue fomu online then wajaze alafu waaplod. Ni uhuni tu, mgombea anachukua fomu mara mkurugenzi hayupo ofisini mwisho wa siku anarudi saa 10 alafu ndio deadline. Mgombea anajaza fomu ikifikia mezani kwa wahuni kama aliandika anamiaka 35 wahuni wanaongezea 1 nyuma then inasomeka ana miaka 135 na anakosa sifa ya kugombea. Kurudisha fomu mara mpokeaji hayupo au mgombea anatekwa njiani mpaka muda wa mwisho unafika yaaan ni maigizo ya kijinga sana. Kwakweli Jiwe sipati picha alikuwa anataka nn na hii nchi.