Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Watanzania wengi huwa hawajitokezi kupiga kura. Wamekalia malalamiko tu. Acha CCM iendelee kututawala. Hiyo 2025 hakuna jipya litakalotokea mpaka siku CCM ipasuke vipande vipande yenyewe.Hii dhambi aliyofanya Mchengerwa malipo yake yatakuwa 2025, Mungu atawapiga kofi kubwa hawataamini macho yao.