Jaji Werema: Dai la Katiba Mpya lisibezwe

Jaji Werema: Dai la Katiba Mpya lisibezwe

Ilani ya uchaguzi ya CCM haina ajenda ya KATIBA MPYA....tutajichelewesha tu hapo 🤣🤣

Watu wanaotaka KATIBA MPYA kipindi hiki ni CHADEMA....si CCM...

Kwa kuwa ni CHADEMA na CCM inayoongoza nchi haina AJENDA hiyo ndani ya ILANI YAKE INAYOTEKELEZWA KIVITENDO basi sisi "wananchi" tunapotezewa muda tu kwa "pang'ang'a hizo' ....

#KaziInaendelea
#TumuungeMkonoMh.SSH
#UchumiKwanza
#KatibaBaadaye
 
CCM hawana hati miliki ya Tanzania kuamua watakavyo wao kama vile nchi ni ya chama kimoja. Hii ni nchi ya mfumo wa vyama vingi na Katiba iliyopo ni ya mwaka 1977. Miaka 30 ya kusubiri katiba inayoendana na mfumo wa vyama vingi inatosha.

Na ndiyo sababu Butiku na Warioba ambao waliwahi kushika nyadhifa za juu katika awamu mbali mbali za Serikali na pia walikuwemo kwenye Tume ya Warioba wanafagilia kupatikana kwa katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Ilani ya uchaguzi ya CCM haina ajenda ya KATIBA MPYA....tutajichelewesha tu hapo 🤣🤣

Watu wanaotaka KATIBA MPYA kipindi hiki ni CHADEMA..
 
Maccm hawana hati miliki ya Tanzania kuamua watakavyo wao kama vile nchi ni ya chama kimoja. Hii ni nchi ya mfumo wa vyama vingi na Katiba iliyopo ni ya mwaka 1977. Miaka 30 ya kusubiri katiba inayoendana na mfumo wa vyama vingi inatosha. Na ndiyo sababu Butiku na Warioba ambao waliwahi kushika nyadhifa za juu katika awamu mbali mbali za Serikali na pia walikuwemo kwenye Tume ya Warioba wanafagilia kupatikana kwa katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.
Utakaa sana hapo.

Mzee Butiku na Mzee Warioba ni wanachama tu wa CCM.

Hawakushiriki kuiandaa ilani ya ya uchaguzi ya CCM. Si wajumbe wa NEC wala CC ya CCM.

KATIBA mpya ni takwa la wanasiasa tu.

Wananchi walio wengi Wala hawaihitaji hiyo KATIBA MPYA....

Maoni aliyoyakusanya Mzee WARIOBA hayafiki hata ELFU 10. Taifa letu lina raia milioni 60.

Kama unaongelea DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI usisahau kuwa kila nchi ina njia zake kuiendea hiyo demokrasia.....demokrasia ya US na nchi nyinginezo si demokrasia ya nchi za AFRIKA.

Tusubiri ilani mpya ya uchaguzi ya CCM...labda itataja suala la KATIBA MPYA.

ENDELEENI KUUPOTEZA MUDA WENU

#KaziInaendelea
#UchumiKwanza
 
Ilani ya maccm haiwazuii vyama vya upinzani na Watanzania kudai HAKI NA UHURU wa kuwa na chaguzi ambazo ni ni za HAKI na HURU. Acha kuifanya hiyo ilani ya maccm kama vile ni katiba ya nchi.

Maccm wanahofia Katiba mpya Kwa kujua itakuwa ni KIAMA chao kwani hawataweza tena kutumia mtutu wa bunduki kupora uchaguzi kupitia polisiccm na Tume FAKE ya uchaguzi.

Utakaa sana hapo....

Mzee Butiku na Mzee Warioba ni wanachama tu wa CCM...
 
Maccm hawana hati miliki ya Tanzania kuamua watakavyo wao kama vile nchi ni ya chama kimoja. Hii ni nchi ya mfumo wa vyama vingi na Katiba iliyopo ni ya mwaka 1977. Miaka 30 ya kusubiri katiba inayoendana na mfumo wa vyama vingi inatosha. Na ndiyo sababu Butiku na Warioba ambao waliwahi kushika nyadhifa za juu katika awamu mbali mbali za Serikali na pia walikuwemo kwenye Tume ya Warioba wanafagilia kupatikana kwa katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.
Mkuu, jengeni chama, mje na sera nzuri zinazogusa mahitaji yetu wananchi, tutawachagua na kuwapa ridhaa ya kuunda serikali ili mtekeleze sera zenu, ikiwemo hiyo katiba. Other than that, mnapiga porojo tu na kujaribu kumdistract rais ili asitekeleze mipango yake aliyoahidi kwa wananchi.
Hiyo pesa ya katiba iende kwenye ujenzi wa shule na uboreshaji wa barabara vijijini.
 
Ilani ya maccm haiwazuii vyama vya upinzani na Watanzania kudai HAKI NA UHURU wa kuwa na chaguzi ambazo ni ni za HAKI na HURU. Acha kuifanya hiyo ilani ya maccm kama vile ni katiba ya nchi...
Unadhani kutumia maneno makali ndiko kutawafanya muipate hiyo katiba mpya ?!!!

Katika uhitaji wa KATIBA MPYA unavitangulizaje vyama vya upinzani kabla ya WANANCHI ?!!!

Katiba ya nchi haiongelei tu masuala ya uchaguzi na iitwayo TUME HURU....kwa muktadha huo KATIBA NI MALI YA WANANCHI NA SI WANASIASA WACHACHE....

CCM imepewa dhamana na wananchi baada ya kuichagua ilani yao ya uchaguzi.....walaumu wananchi kwa kuipuuza ilani ya UCHAGUZI YA CHADEMA iliyokuwa na ajenda ya KATIBA MPYA na kupelekea CHADEMA kushindwa vibaya katika uchaguzi wa 2020....

#KaziInaendelea
#KatibaMpyaSiMaliYaWanasiasa
#UchumiKwanza
 
Mkuu, jengeni chama, mje na sera nzuri zinazogusa mahitaji yetu wananchi, tutawachagua na kuwapa ridhaa ya kuunda serikali ili mtekeleze sera zenu, ikiwemo hiyo katiba. Other than that, mnapiga porojo tu na kujaribu kumdistract rais ili asitekeleze mipango yake aliyoahidi kwa wananchi.
Hiyo pesa ya katiba iende kwenye ujenzi wa shule na uboreshaji wa barabara vijijini.
Hakika👍
 
Maneno makali unayaona sana lakini UDHALIMU NA DHULUMA za yule dhalimu magufuli ulifumbia macho!!! Watanzania kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Tanzania.

😂😂😂😂😂 una ufinyu mkubwa wa akili. Unapewaje dhamana na Watanzania katika uchaguzi ambao si HURU na wa HAKI? Ambao maccm yaliiba kura na kuumiza na kuua Watanzania ili kung’ang’ania madarakani!?



Unadhani kutumia maneno makali ndiko kutawafanya tuipate katiba mpya ?!!!

Katika uhitaji wa KATIBA MPYA unavitangulizaje vyama vya upinzani kabla ya WANANCHI?..
 
Maneno makali unayaona sana lakini UDHALIMU NA DHULUMA za yule dhalimu magufuli ulifumbia macho!!! Watanzania kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Tanzania...
Unajisahaulisha wale vijana 4 waliokamatwa kwa kumuua kijana mwenzetu hayati Emmanuel Mlelwa mwenyekiti wa UVCCM vyuo vikuu mkoa wa Iringa?!!!!

Sasa hebu tupe ushahidi wa kukamatwa hao waliofanya UOVU uliouweka hapo juu.....

Mahakamani wanataka USHAHIDI na waliohusika......
 
Hebu acha kuonyesha ujuha wako wewe!!! Kwani vyombo vya dola viko chini ya Chadema? Kapotea Azory na Saanane na Lissu kashambuliwa mchana kweupe na security cameras zilikuwepo.

Yule dhalimu magufuli akizuia uchunguzi. Kapora hazina 2.7 trillions CAGs wameandika kwenye ripoti zao. Yule dhalimu mwendazake kazuia uchunguzi huru. ATCL na TANROADS alizuia kukaguliwa na CAG ili kuficha wizi na ufisadi wake.

Ununuzi wa ndege zaidi ya 3 trillions kazuia CAG asikague lakini wewe wa akili ya kushikiwa huyaoni yote hayo.


Unajisahaulisha wale vijana 4 waliokamatwa kwa kumuua kijana mwenzetu hayati Emmanuel Mlelwa mwenyekiti wa UVCCM vyuo vikuu mkoa wa Iringa?!!...
 
Huyu angekuwa mama yako usingeandika upuuzi unaoandika.

Unajisahaulisha wale vijana 4 waliokamatwa kwa kumuua kijana mwenzetu hayati Emmanuel Mlelwa mwenyekiti wa UVCCM vyuo vikuu mkoa wa Iringa?...
 
Ilani ya uchaguzi ya CCM haina ajenda ya KATIBA MPYA....tutajichelewesha tu hapo [emoji1787][emoji1787]

Watu wanaotaka KATIBA MPYA kipindi hiki ni CHADEMA....si CCM..
Na wanaoiogopa katiba mpya ni ccm.Na wanaccm wengine mnatapatapa tu kusubiri atakalo amua mwenyekiti wenu.wengi akili ni kindude hamuwezi kua na utashi wenu wenyewe kwa ajili ya maslahi ya nchi zaidi ya kusubiri atakaloamua mwenyekiti wenu.Kwahiyo hoja kama hii wewe tulia tu.
 
Utakaa sana hapo....

Mzee Butiku na Mzee Warioba ni wanachama tu wa CCM..
Unazungumzia ilani gani.ingekua hizo ilani mnazitekeleza kwa asilimia 100 toka mmeanza kuziandika na kuzipigia propaganda hii nchi isingekua hivi ilivyo leo.
 
Wananchi tunataka katiba na asiwepo mtu wa kusema eti wananchi hawataki katiba.
 
Back
Top Bottom