Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
"Lazima tujue kwanini watu wanadai Katiba Mpya.Tumepitia wakati mgumu sana katika miaka mitano iliyopita ambapo Madaraka makubwa ya Rais ya kufanya vitu bila kuhojiwa na bila kuwajibika yalionekana.Mimi Naona hoja katika hilo."Jaji Frederick Werema, AG Mstaafu
Amejifunza sasa maana yeye mwenyewe hakuheshimu Katiba aliwaita binadamu tumbili