Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Neno uzalendo huweza kuwa rahisi mno kulitoa na KUSHAMBULIA wengine.....Acha povu.
Ulitakiwa nawe upiganie katiba mpya kama kweli wewe ni mzalendo. Kitendo cha nyie ccm kuwaachia chadema mnaonekana nyie ni waganga njaa tu hamna lolote.
Na nyie ccm genge ndo akili mgando kabisa. kuna ccm wanauelewa mzuri sana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hata wasio wazalendo hulitumia neno hilo.....
Uzalendo hauhusishi katiba mpya MNAYOITAKA ninyi wanasiasa wa CHADEMA.....
Katiba inahusisha zaidi ya UCHAGUZI MKUU NA IITWAYO TUME HURU YA UCHAGUZI......
#KaziIendelee