Jaji Werema: Dai la Katiba Mpya lisibezwe

Jaji Werema: Dai la Katiba Mpya lisibezwe

Utakaa sana hapo....

Mzee Butiku na Mzee Warioba ni wanachama tu wa CCM....

Hawakushiriki kuiandaa ilani ya ya uchaguzi ya CCM.....
Si wajumbe wa NEC wala CC ya CCM......

KATIBA mpya ni takwa la wanasiasa tu......

Wananchi walio wengi Wala hawaihitaji hiyo KATIBA MPYA....

Maoni aliyoyakusanya Mzee WARIOBA hayafiki hata ELFU 10....Taifa letu lina raia milioni 60....

Kama unaongelea DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI usisahau kuwa kila nchi ina njia zake kuiendea hiyo demokrasia.....demokrasia ya US na nchi nyinginezo si demokrasia ya nchi za AFRIKA......

Tusubiri ilani mpya ya uchaguzi ya CCM...labda itataja suala la KATIBA MPYA.....

ENDELEENI KUUPOTEZA MUDA WENU

#KaziInaendelea
#UchumiKwanza
Hivi mkuu ni lini utaacha upumbavu?
 
Ilani ya uchaguzi ya CCM haina ajenda ya KATIBA MPYA....tutajichelewesha tu hapo [emoji1787][emoji1787]

Watu wanaotaka KATIBA MPYA kipindi hiki ni CHADEMA....si CCM...

Kwa kuwa ni CHADEMA na CCM inayoongoza nchi haina AJENDA hiyo ndani ya ILANI YAKE INAYOTEKELEZWA KIVITENDO basi sisi "wananchi" tunapotezewa muda tu kwa "pang'ang'a hizo' ....

#KaziInaendelea
#TumuungeMkonoMh.SSH
#UchumiKwanza
#KatibaBaadaye
Ccm ndiyo hamtaki katiba mpya ,, the rest yaani wananchi wote wanahitaji katiba mpya. Ccm mnaogopa mazingira yaliyo balance kwenye uchaguzi ndiyo maana mkisikia katiba mpya mnajionyesha wazi mnavyo iogopa chadema.
Walakini katiba mpya si kwaajili ya vyama bali wananchi. Sawa mnufaika!?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Utakaa sana hapo....

Mzee Butiku na Mzee Warioba ni wanachama tu wa CCM....

Hawakushiriki kuiandaa ilani ya ya uchaguzi ya CCM.....
Si wajumbe wa NEC wala CC ya CCM......

KATIBA mpya ni takwa la wanasiasa tu......

Wananchi walio wengi Wala hawaihitaji hiyo KATIBA MPYA....

Maoni aliyoyakusanya Mzee WARIOBA hayafiki hata ELFU 10....Taifa letu lina raia milioni 60....

Kama unaongelea DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI usisahau kuwa kila nchi ina njia zake kuiendea hiyo demokrasia.....demokrasia ya US na nchi nyinginezo si demokrasia ya nchi za AFRIKA......

Tusubiri ilani mpya ya uchaguzi ya CCM...labda itataja suala la KATIBA MPYA.....

ENDELEENI KUUPOTEZA MUDA WENU

#KaziInaendelea
#UchumiKwanza
Watoto wako (kama unao) wana hasars kubwa sana.
 
Ccm ndiyo hamtaki katiba mpya ,, the rest yaani wananchi wote wanahitaji katiba mpya. Ccm mnaogopa mazingira yaliyo balance kwenye uchaguzi ndiyo maana mkisikia katiba mpya mnajionyesha wazi mnavyo iogopa chadema.
Walakini katiba mpya si kwaajili ya vyama bali wananchi. Sawa mnufaika!?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Usiwe mjinga kiasi hicho.....

Kwani Jaji Warioba alikusanya maoni kutoka watu wanaozidi elfu 10 nchi nzima?!!!

Hiyo ndiyo sample size yako ya kusema CCM hawaitaki katiba mpya?!!!

PANG'ANG'A TU.....

Hitaji la katiba mpya linashikiliwa na wanasiasa wa CHADEMA Kama ilivyokuwa wale wa UKAWA.....
 
Ilani ya uchaguzi ya CCM haina ajenda ya KATIBA MPYA....tutajichelewesha tu hapo 🤣🤣

Watu wanaotaka KATIBA MPYA kipindi hiki ni CHADEMA....si CCM...

Kwa kuwa ni CHADEMA na CCM inayoongoza nchi haina AJENDA hiyo ndani ya ILANI YAKE INAYOTEKELEZWA KIVITENDO basi sisi "wananchi" tunapotezewa muda tu kwa "pang'ang'a hizo' ....

#KaziInaendelea
#TumuungeMkonoMh.SSH
#UchumiKwanza
#KatibaBaadaye
Ndege zilikua kwenye Ilani? Uwanja a Chato ulikua kwenye Ilani? Million 50 kila kijiji zilikua kwenye ilani yenu, ziko wapi? Laptop kila Mwalimu, ziko wapi?
 
Utakaa sana hapo....

Mzee Butiku na Mzee Warioba ni wanachama tu wa CCM....

Hawakushiriki kuiandaa ilani ya ya uchaguzi ya CCM.....
Si wajumbe wa NEC wala CC ya CCM......

KATIBA mpya ni takwa la wanasiasa tu......

Wananchi walio wengi Wala hawaihitaji hiyo KATIBA MPYA....

Maoni aliyoyakusanya Mzee WARIOBA hayafiki hata ELFU 10....Taifa letu lina raia milioni 60....

Kama unaongelea DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI usisahau kuwa kila nchi ina njia zake kuiendea hiyo demokrasia.....demokrasia ya US na nchi nyinginezo si demokrasia ya nchi za AFRIKA......

Tusubiri ilani mpya ya uchaguzi ya CCM...labda itataja suala la KATIBA MPYA.....

ENDELEENI KUUPOTEZA MUDA WENU

#KaziInaendelea
#UchumiKwanza
Very stupid and short sighted ...
 
Ndege zilikua kwenye Ilani? Uwanja a Chato ulikua kwenye Ilani? Million 50 kila kijiji zilikua kwenye ilani yenu, ziko wapi? Laptop kila Mwalimu, ziko wapi?
Hoja ni katiba mpya......
 
JAJI FREDRICK WEREMA AZUNGUMZIA KATIBA PENDEKEZWA NA KUSISITIZA NI SUALA LA MUAFAKA NA INAWEZEKANA
Awamu ya tano madaraka ya urais yalitumika vibaya na hii ni mbaya haiwezekani wananchi wote waufyate mkia na hili ndiyo naona ni dai kubwa la wananchi kuwa taasisi ya urais na rais wadhibitiwe, hili mimi Fredrick Werema naliunga mkono.



Ataja CV yake ndefu kutuelezea uzoefu na weledi wake ili akiwa anatoa hoja zake tujue ametumia angle zipi na kujijengea authority ya anachotueleza, hakika ni jambo zuri na sisi kama chombo makini cha JAMIIFORUMS, wanaJF tunampongeza Jaji Werema kwa hilo kutuweka sawa kuhusu weledi wake wa katiba na sheria.
Kutenganisha TANESCO
Ukiona kunafuka moshi kuna MOTO, baada ya kauli ya Werema sasa sikilizia
 
Jana niliweka uzi hapa nikasema huenda Mama swuala la Katiba analiunga mkono ila inabidi atumie watu nje ya chama chake kuliibua kwasababu wenzake ndani ya chama hawalitaki.

Nikaongeza ni suala la muda tu makundi mengine yataibuka na kuunga mkono agenda ya Katiba Mpya.

Huyu keshaanza, wengine watafuata soon na Mama ataunga mkono hiyo agenda.

She is a silent killer.

Mimi ni mmoja wa wanamuamini mama sana tatizo limo ndani ya CCM kwani wana CCM wengi kama si wote wanaamini kuwa badala ya ukoloni.
 
Hapo ndo pakujiuliza kwann hawataki katiba mpya, wananchi wanataka katiba mpya yenye demokrasia vip hii iliopo demokrasia haina?
Baadhi ya ccm wanataka katiba mpya maana ndo msingi wa kupata maendeleo ya haraka kabisa.
Ila baadhi ya ccm wanahofia kipengele cha tume huru ya uchaguzi, wanahofia kushindwa uchaguzi. Hawa ndiyo hawataki kusikia katiba mpya kwasababu ya kipengele kimoja tu!

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Usiwe mjinga kiasi hicho.....

Kwani Jaji Warioba alikusanya maoni kutoka watu wanaozidi elfu 10 nchi nzima?!!!

Hiyo ndiyo sample size yako ya kusema CCM hawaitaki katiba mpya?!!!

PANG'ANG'A TU.....

Hitaji la katiba mpya linashikiliwa na wanasiasa wa CHADEMA Kama ilivyokuwa wale wa UKAWA.....
Acha povu.
Ulitakiwa nawe upiganie katiba mpya kama kweli wewe ni mzalendo. Kitendo cha nyie ccm kuwaachia chadema mnaonekana nyie ni waganga njaa tu hamna lolote.
Na nyie ccm genge ndo akili mgando kabisa. kuna ccm wanauelewa mzuri sana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom