JAJI FREDRICK WEREMA AZUNGUMZIA KATIBA PENDEKEZWA NA KUSISITIZA NI SUALA LA MUAFAKA NA INAWEZEKANA
Awamu ya tano madaraka ya urais yalitumika vibaya na hii ni mbaya haiwezekani wananchi wote waufyate mkia na hili ndiyo naona ni dai kubwa la wananchi kuwa taasisi ya urais na rais wadhibitiwe, hili mimi Fredrick Werema naliunga mkono.
Ataja CV yake ndefu kutuelezea uzoefu na weledi wake ili akiwa anatoa hoja zake tujue ametumia angle zipi na kujijengea authority ya anachotueleza, hakika ni jambo zuri na sisi kama chombo makini cha JAMIIFORUMS, wanaJF tunampongeza Jaji Werema kwa hilo kutuweka sawa kuhusu weledi wake wa katiba na sheria.
Kutenganisha TANESCO