Jaji Werema: Dai la Katiba Mpya lisibezwe

Hivi mkuu ni lini utaacha upumbavu?
 
Ccm ndiyo hamtaki katiba mpya ,, the rest yaani wananchi wote wanahitaji katiba mpya. Ccm mnaogopa mazingira yaliyo balance kwenye uchaguzi ndiyo maana mkisikia katiba mpya mnajionyesha wazi mnavyo iogopa chadema.
Walakini katiba mpya si kwaajili ya vyama bali wananchi. Sawa mnufaika!?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Watoto wako (kama unao) wana hasars kubwa sana.
 
Usiwe mjinga kiasi hicho.....

Kwani Jaji Warioba alikusanya maoni kutoka watu wanaozidi elfu 10 nchi nzima?!!!

Hiyo ndiyo sample size yako ya kusema CCM hawaitaki katiba mpya?!!!

PANG'ANG'A TU.....

Hitaji la katiba mpya linashikiliwa na wanasiasa wa CHADEMA Kama ilivyokuwa wale wa UKAWA.....
 
Ndege zilikua kwenye Ilani? Uwanja a Chato ulikua kwenye Ilani? Million 50 kila kijiji zilikua kwenye ilani yenu, ziko wapi? Laptop kila Mwalimu, ziko wapi?
 
Very stupid and short sighted ...
 
Ndege zilikua kwenye Ilani? Uwanja a Chato ulikua kwenye Ilani? Million 50 kila kijiji zilikua kwenye ilani yenu, ziko wapi? Laptop kila Mwalimu, ziko wapi?
Hoja ni katiba mpya......
 
Ukiona kunafuka moshi kuna MOTO, baada ya kauli ya Werema sasa sikilizia
 
Mimi ni mmoja wa wanamuamini mama sana tatizo limo ndani ya CCM kwani wana CCM wengi kama si wote wanaamini kuwa badala ya ukoloni.
 
Hapo ndo pakujiuliza kwann hawataki katiba mpya, wananchi wanataka katiba mpya yenye demokrasia vip hii iliopo demokrasia haina?
Baadhi ya ccm wanataka katiba mpya maana ndo msingi wa kupata maendeleo ya haraka kabisa.
Ila baadhi ya ccm wanahofia kipengele cha tume huru ya uchaguzi, wanahofia kushindwa uchaguzi. Hawa ndiyo hawataki kusikia katiba mpya kwasababu ya kipengele kimoja tu!

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Acha povu.
Ulitakiwa nawe upiganie katiba mpya kama kweli wewe ni mzalendo. Kitendo cha nyie ccm kuwaachia chadema mnaonekana nyie ni waganga njaa tu hamna lolote.
Na nyie ccm genge ndo akili mgando kabisa. kuna ccm wanauelewa mzuri sana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…