Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Neno uzalendo huweza kuwa rahisi mno kulitoa na KUSHAMBULIA wengine.....Acha povu.
Ulitakiwa nawe upiganie katiba mpya kama kweli wewe ni mzalendo. Kitendo cha nyie ccm kuwaachia chadema mnaonekana nyie ni waganga njaa tu hamna lolote.
Na nyie ccm genge ndo akili mgando kabisa. kuna ccm wanauelewa mzuri sana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hapana JumbeNeno uzalendo huweza kuwa rahisi mno kulitoa na KUSHAMBULIA wengine.....
Hata wasio wazalendo hulitumia neno hilo.....
Uzalendo hauhusishi katiba mpya MNAYOITAKA ninyi wanasiasa wa CHADEMA.....
Katiba inahusisha zaidi ya UCHAGUZI MKUU NA IITWAYO TUME HURU YA UCHAGUZI......
#KaziIendelee
Binafsi sioni umuhimu wa KATIBA MPYA.....Hapana Jumbe
Mimi sitakuja kuwa mwanachama wa vyama vya siasa hata siku moja. Katiba mpya si kwaajili ya uchaguzi tu japo ni kipengele cha tume huru ya uchaguzi ndicho kinacho watoa macho sana chadema na ccm. Lakini ukiacha hicho kipengele ,je ni kweli huoni umuhimu wa kupata katiba mpya?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwani alisema uongo?Huyu si ndiye alimtukana Kafulila ni Tumbili😂😂😂
Asante,, siku nyingine"Binafsi sioni umuhimu wa KATIBA MPYA.....
Iliyopo INAJITOSHELEZA:
1) Kisiasa
2)Kiuchumi
3)Kijamii
Binafsi siamini katika maneno ya MAPOKEO kiholelaholela tu....
Binafsi ninaamini DEMOKRASIA haifanani kwa nchi zote.....
Sioni mapungufu YALIYOFURUTU ADA katika katiba tuliyonayo ...sioni kwa kweli.....
Ok mkuu ,Shukran 👍
Mkuu unaandika sana mwisho wa siku unaonekana mpumbavuBinafsi sioni umuhimu wa KATIBA MPYA.....
Iliyopo INAJITOSHELEZA:
1) Kisiasa
2)Kiuchumi
3)Kijamii
Binafsi siamini katika maneno ya MAPOKEO kiholelaholela tu....
Binafsi ninaamini DEMOKRASIA haifanani kwa nchi zote.....
Sioni mapungufu YALIYOFURUTU ADA katika katiba tuliyonayo ...sioni kwa kweli.....
Hawa ndio akina Kigwangala na akina Shaka. Hapa ni fake ID tu unaweza kuta huyu ni PolepoleMkuu unaandika sana mwisho wa siku unaonekana mpumbavu
Sio kila kitu unajibu, uzi mzima kazi yako ni kujibu tu, Acha watu wajadili
Watu wanadai katiba baada ya JPM kuharibu nchi kwa kiburi na kutumia mamlaka vibaya ya Urais
Kuna siku atatokea Rais ambaye atafanya ngono hadharani bila kuhojiwa
Lengo la katiba ni kudhibiti watawala na watawaliwa kwa maslahi ya Taifa
Leo katiba imempa Rais mamlaka makubwa sana, Rais imefika sehemu the anaingilia kazi za Mahakama na Bunge na anajisifia Yeye ni mzizi uliojichimbia zaidi
CAG Prof Assad alipoomba nyaraka za ndege na SGR, Rais akavunja katiba kwa kumfukuza na kupeleka sheria haraka Bungeni kuwadhibiti wanaotaka kufungua kesi
Uchumi unakua kwa mujibu wa JPM kumbe BoT Governor hayupo huru kuongea ukweli anabanwa na aliyemteua
Haya yote ndio marekebisho watu wanataka
Story za ccm na chadema ni upumbavu wa hali ya juu, kabla ya CCM na Chadema kuna Raia wapo na watakuwepo
CCM ni sawa na Familia za Vijijini na Maskini. Ukiwaeleza kuhusu Mpango wa Uzazi hudhanu kuwa unawazuia wasito.....bane.Kuna siku nilifuatilia kipindi cha Masoud Kipanya na yule Cheupe, walikua wanamuhoji Malisa jamaa aliongea vizuri sana, watu wengi wanashindwa kuelewa katiba mpya wale wa CCM wanahisi katiba mpya itawapa madaraka Chadema ndio maana hawaitaki, pia Chadema hawataki katiba ya zamani kwa vile wanahisi inawapa uwanja mpana sana CCM,
Kimsingi katiba ya zamani ina mapungufu mengi ambayo yanahitaji mabadiliko
mnoKwakweli kwa uongozi ule tuliopitia tumeona umuhimu wa Katibu Mpya,..
Kwenye uchaguzi na tumr huru yanuchaguzi ndio kila kitu maana hapa ndio yunawapata watawala na wasimamia mali za umma.Neno uzalendo huweza kuwa rahisi mno kulitoa na KUSHAMBULIA wengine.....
Hata wasio wazalendo hulitumia neno hilo.....
Uzalendo hauhusishi katiba mpya MNAYOITAKA ninyi wanasiasa wa CHADEMA.....
Katiba inahusisha zaidi ya UCHAGUZI MKUU NA IITWAYO TUME HURU YA UCHAGUZI......
#KaziIendelee
Achana na huyo jamaa hajielewi.Hapana Jumbe
Mimi sitakuja kuwa mwanachama wa vyama vya siasa hata siku moja. Katiba mpya si kwaajili ya uchaguzi tu japo ni kipengele cha tume huru ya uchaguzi ndicho kinacho watoa macho sana chadema na ccm. Lakini ukiacha hicho kipengele ,je ni kweli huoni umuhimu wa kupata katiba mpya?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mambo yoote yako hapa😅😅Baadhi ya ccm wanataka katiba mpya maana ndo msingi wa kupata maendeleo ya haraka kabisa.
Ila baadhi ya ccm wanahofia kipengele cha tume huru ya uchaguzi, wanahofia kushindwa uchaguzi. Hawa ndiyo hawataki kusikia katiba mpya kwasababu ya kipengele kimoja tu!
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nimeachana nae mkuu [emoji3][emoji3]Achana na huyo jamaa hajielewi.
Simamia unalolitaka.....Kwenye uchaguzi na tumr huru yanuchaguzi ndio kila kitu maana hapa ndio yunawapata watawala na wasimamia mali za umma.
Rudi shule tena we mchumia tumbo.
Sheria za nchi na wasimamizi wake wanapatikana kwenye uchaguzi.
🤣
Chadema kwa kupenda USHAWISHI wa mabavu.....🤣Achana na huyo jamaa hajielewi.
Hii mbinu alikuwa anaitumia sana JK, inasadikika alikuwa anapenyezea issues kwa HeavyJana niliweka uzi hapa nikasema huenda Mama swuala la Katiba analiunga mkono ila inabidi atumie watu nje ya chama chake kuliibua kwasababu wenzake ndani ya chama hawalitaki