Jakaya Kikwete aliwezaje kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja?

Jakaya Kikwete aliwezaje kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja?

Mk
Mkuu uchumi wa kati wakati Raia wanaishi maisha duni ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu. Ni heri tuwe katika uchumi wa JK lakini maisha yawe nafuu. Hatuwezi kujidanganya kuwa hatuna matatizo wakati yapo. Uchumi wa mtu mmoja mmoja uko worse uko mtaani sasa hivi watu hawajengi mijenho kama enzi za JK yaani kama ukishindwa kujenga enzi zile basi sahahu enzi hizi za Mchatonga
Kuwa na uchumi nzuri sio kuwa kila mwananchi awe na hela nyingi mfukoni,kuna kuna kanuni na viashiria vingi vya kuonyesha uchumi kama wewe sio mtaalamu wa uchumi uwezi jua utabaki kubweka tu.

wewe unaangalia kutembea na maburungutu ya pesa mfukoni eti ndio uchumi nzuri,basi kama hivo Zimbabwe na Somaria zingelikuwa zinaongoza Afrika maana huko watu wanatembea na viroba vya pesa kufanya shopping 😁😁😄linganisha miundo mbinu wakati wa jk na Jpm, mpaka wanawake walikuwa wanakosa vitanda vya kujifungulia.

Mashuleni ndio usiseme watoto walikuwa wanakaa chini kwa kukosa madawati ilinchukua mwaka tu Jpm kumaliza matatizo hayo yote,rushwa enzi za Jk ndio usiseme mpaka sh yetu ilionekana takataka hadi kupata chumba maene ya Masaki na hosbei mpaka uwe na dollar,mishen town ndio walikuwa wanaela kuliko wafanya kazi nchi iligeuka ya madalali gafra.

Huu ndio uchumi halisi wa mtanzania asiye fanya kazi asile hata nyumbani kwako ata uwe na ela za kumwaga uwezi wapa watoto wote kisa niwanao utawapa wenye akili za kuweza kuzalisha.Ongera Jpm kututoa katika taifa la madalali na kutupereka kuwa taifa la wazalishaji.Mungu ibariki Tanzania
 
Magufuli sio kiongozi ni mtawala siwezi kumfananisha na JK nitakuwa namkosea mzee wa msoga
Naona huna hoja tena ila Magu ni 100% na nusu ya Jk watz tulikuwa tunamtaka mtu kama huyu

Niwakati wako wakuishi kama mashetani
 
Kuwa na uchumi nzuri sio kuwa kila mwananchi awe na hela nyingi mfukoni,kuna kuna kanuni na viashiria vingi vya kuonyesha uchumi kama wewe sio mtaalamu wa uchumi uwezi jua utabaki kubweka tu...
Amen hakika mkuu umenena
 
Uchumi wa kati (wa chini) tuliingiwa mwaka jana. Wafuatiliaji wanadai ni juhudi za miongo miwili, Yaani miaka 20, ndio zimetufikisha hapo. Hivyo juhudi au mikakati ilianza na Mkapa. Wengine wanafaidi sifa tu!
Upo sahihi! Kwa bahati mbaya nimesahau jina la uzi ambalo umefafanua hilo suala. Ukisoma ule uzi kwa kutulia utaona juhudi kubwa ilifanywa na Mkapa na JK huku JPM contribution yake ikiwa ndogo tu kwa kuangalia wastani wa miaka 5 ya mwanzo kwa kila mmoja!
 
Upo sahihi! Kwa bahati mbaya nimesahau jina la uzi ambalo umefafanua hilo suala. Ukisoma ule uzi kwa kutulia utaona juhudi kubwa ilifanywa na Mkapa na JK huku JPM contribution yake ikiwa ndogo tu kwa kuangalia wastani wa miaka 5 ya mwanzo kwa kila mmoja!
I like this guy. umenena vyema.
 
Upo sahihi! Uchumi wa sasa ni uchumi wa kwenye vitabu lakini hau-reflect uhalisia. Tatizo watu wakiona sijui flyovers, sijui reli ndo wanadhani ndo uchumi wenyewe wakati wenzetu, hata hizo infrastructure wanaangalia sana ni namna gani zitaleta direct effect kwa mwananchi wa kawaida
Kabisa mkuu mi huwa nachukia sana wanapotufanya hamnazo
 
Salaam wana jamvi.najiuliza sana kuhusu uongozi wa mh kikwete sipati jibu,maana ni wakati wa uongozi wa Dr kikwete nchi yetu ilipiga hatua kubwa sana kwenye masuala ya demokrasia,haki za binadamu,Uhuru wa kujieleza,Uhuru kwa vyama vya siasa kufanya shughuli zake bila kubughudhiwa ikiwemo mikutano ya hadhara.

Lakini pamoja na mambo yote hayo nchi ilipata maendeleo makubwa ikiwemo ujenzi wa shule za sekondari kwenye kila kata ,UjeUjenzi wa barabara za lami kila mkoa,ujenzi wa vyuo vikuu.ajira kila mwaka upandishaji madaraja ya watumishi na mishahara kila mwaka.

yapo mambo mengi yaliyofanyika mazuri wakati wa kikwete bila kubana upinzani je yeye aliwezaje?tulishuhudia kikwete akiwaita wapinzani na kuteta nao mambo ya taifa kama wadau lakini hill halikumzuia kuwaletea maendeleo watanzania.pamoja na kashfa nyingi na matusi mengi aliyotukanwa na wapinzani wake wa kisiasa hakuna mahala alipo tumia jeshi LA polisis kukamata wapinzani.

hata aliposhauriwa na chama chake kufanya hivyo alikataa tena hadharani akasema ccm nendeni mkajibu maana hayo nimambo ya kisiasa tukitegemea polisi tutaisha na tutaisha kweli.hakika kikwete ni kiongozi.je yeye Dr kikwete aliwezeje ?nawasilisha.
 
Tatizo lilianza alipokuja yule kiongozi wa malaika alieenda zake.

Kwa bahati mbaya kawambukiza hadi waliofuatia

Kwamba wanaamini huwezi tawala bila kuwasumbua upinzani

Siasa za kishamba zinawaongoza watawala waliopo.

Ushamba was kichato chato
 
Muulize mke wa Dr slaa, ule wimbo wa Chadema Chadema people's power kausikilize tena , ni yale yale sema kikwete alikuwa anabalance
 
Tatizo lilianza alipokuja yule kiongozi wa malaika alieenda zake.

Kwa bahati mbaya kawambukiza hadi waliofuatia...
Hivi kipindi cha Kikwete si ndo waandamanaji waliuawa, kipindi cha Kikwete si ndo uamsho walifungwa
 
Tatizo lilianza alipokuja yule kiongozi wa malaika alieenda zake.

Kwa bahati mbaya kawambukiza hadi waliofuatia...
Mashetani huja yakiwa ndani y mavazi ya malaika.

Ndio maana alisema anataka tuishi kama mashetani.

Kikwete ana exposure, mbobevu wa siasa na ni mtoto wa mjini.

mwendazake ni mbumbumbu, mshamba kutoka nchi jirani
 
Jk alikua mtu..

Sema boko la 2015 alilotoa kuhusu mgombea wa Urais Sisiemu hauvumiliki.
 
Back
Top Bottom