Jakaya Kikwete aliwezaje kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja?

Jakaya Kikwete aliwezaje kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja?

KWA KIFUPI,WAKATI WA UTAWALA WA KIKWETE FEDHA NYINGI ZILIZOKUWA ZIINGIE KWENYE HAZINA YA SERIKALI,ZILIINGIA MIFUKONI MWA WATU BINAFSI NA TAASISI BINAFSI KUPITIA UFISADI WA VIONGOZI NA WAFANYABIADHARA WACHACHE WAKUBWA..Unanikumbusha enzi za EPA,IPTL,MEREMETA,ISUE YA UMEME ILIYOKATISHA UWAZIRI MKUU WA LOWASA n.k.Tender nyingi za Serikali zilichukuliwa na WAKUBWA na watoto wao na WAFANYABIAshara WAKUBWA ambao Ni marafiki zao,HUKU WAKILIPA KODI KIDOGO SERIKALINI.Wananchi tulikuwa tunaliShwa makombo TU KUPITIA KUFANYA vibarua kwenye maduka yao makubwa,na vibarua kwenye miradi yao ya ujenzi wa mahekalu yao.Tender nyingi za Barabara na madaraja vilijengwa CHINI ya viwango.Barabara zilizojengwa enzi hizo lami yake leo Ni mashimo tupu,madaraja yao Karibu yote yalishazombwa na mvua za kawaida TU za masika.Kupitia tender "fake na miradi fake" HAZINA YA TAIFA ILIKAUSHWA.Wananchi wenzangu tuvumilie kidogo,matunda ya juhudi za RAIS Magufuli mtayaona baadaye.Chakula ndo kipo Jikoni Kinapikwa,Subirini kitaiva.KWA KWELI,RAIS MAGUFULI MUNGU AMUJALIE AFYA NA MAISHA NAREFU NA MIAKA MINGINE YA YA KUITAWALA TANZANIA HADI ATAKAPOFIKISHA UMRI WA KAMA RAIS JOE BIDEN NA AU UMRI WA The Late Maalum Sharifu Hamadi,NDIPO AACHE URAIS.
Hii reply JF waifanyie mpango kila ukilog in Jf unakutana nayo hii kwanza unaisoma alafu ndio uendelee na mambo yako mengine.
 
Nikiri hata mimi kweli alikuwa bomba sana, kila mtu alimwacha afanye anavyotaka, majambazi yaliba mchana kweupe, banki zilivamiwa hadharani na wazi, mafisadi yaligawana pesa kwa magunia, rushwa ilikuwa waziwazi na watumishi ilikuwa ni halali kuingia kazini akiwa kachelewa au haingii kabisa kazini
Ikikupendeza mkuu naomba nitumie hii komenti yako katika bandiko hili.

Nasubiri jibu mkuu
 
Mzee alikuwa anaenda ns mpango kazi sasa huyu huwa akifika eneo akilalamikiwa jambo hapo hapo aanzisha mpango kazi mpyaa
 
Mambo ya binadamu na jpm akiondoka tusikia nyuzi kibao za kusifu jitihada zake
 
Nikiri hata mimi kweli alikuwa bomba sana, kila mtu alimwacha afanye anavyotaka, majambazi yaliba mchana kweupe, banki zilivamiwa hadharani na wazi, mafisadi yaligawana pesa kwa magunia, rushwa ilikuwa waziwazi na watumishi ilikuwa ni halali kuingia kazini akiwa kachelewa au haingii kabisa kazini
Tueleze tofauti ya tija ya wakati hayo yanafanyika na sasa mnapojaribu kutuaminisha hayafanyiki! JK aliacha uchumi ukikua kwa kasi ya 6% hadi 7% na kuna mwaka ilifika 8%! Je, hivi sasa ukuaji wa uchumi upo vipi wakati tukifahamu fika hata miradi mikubwa inayofanyika ni ya kurithi.
 
Yule kazi ya urais aliiweza, kuifurahia na haikuwa mzigo kwake

Huyu mwingine mchato kila siku si mwasikia aropoka na kudai kazi hii ni nzito na hata hafurahi kabisa kazi hii so tuendelee kuvumilia tu kwa sababu ya ujinga wetu na uoga wetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si tuliambiwa huyu wa sasa yuko bize ananyoosha nchi kwanza na kuongeza vitega uchumi ndipo baadae ajira na mishahara viwe maradufu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JK alikuwa dhaifu kweli ila sasa hivi kuna takataka kabisa ambayo hata sujui imefikaje fikaje hapo. Urais wa asante Mkapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu wa sasa amejawa tu na roho ya ubinafsi. Yeye mwenyewe anaishi kama yuko peponi. Ila anapenda wengine waishi kama vile wapo Jehanamu.

Sitokuja nimsahau huyu mzee! Yaani tangu 2015, hakuna kupanda daraja wala nini! Wakati enzi za JK, kila baada ya miaka 3 unatoka daraja moja, kwenda lingine! Huyu wa sasa, amalize tu muda wake aondoke. Anatuchosha tu wafanyakazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lkn pia neno UFISADI lilikua maarufu sana enz hizo ........

Pia uchumi ulishuka sana
Uchumi ulishuka?! Hivi umeshawahi kuangalia takwimu za ukuaji uchumi Tanzania wewe?! Enzi zile uchumi ulikuwa unakua kwa kati ya 6% hadi 7%, na kuna mwaka ulikuwa kwa 8%!! Awamu hii uchumi unakua kwa kati ya 5% hadi 6% na mwaka huu WB wanatuambia utakua kwa less than 5%!!
 
Kwa tafsiri rahisi inaonesha wewe jamaa ni choko mitaa flani,haiwezekani uwe unaokota elfu 5,10,20,50 hata laki yani wewr tu ndio uokote hizo ela....kuna watu kwa makusudi kabisa walikuwa wanakutegeshea hizo ela ukiinama kuziokota wanakupa nao hapo hapo juu kwa juu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JK Alipata kunena haya "sawa mimi ni dhaifu, hamjui anayefuta atakuaje, mtanikumbuka"
...........
Miss u JK.
 
Back
Top Bottom