Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa kiongozi huwezi kufurahisha woteHakuna binadamu aliyekamilika lakini JK alijitahidi sana uongo mbaya
Mmojawapo ni huyu aliepo sasa hivi ashajivika cheo cha baba wa taifa tayari hata nyerere wanaona hafai tena mpaka wanafikiria kumpa atawale mileleUkiwa kiongozi huwezi kufurahisha wote
Unaweza kuamini Nyerere mwenye heshima zake kuna watu hawamkubali?
Ndio maana halisi ya uchumi,uchumi sio kujaza mifuko ya hela na kuzijaza kwenye soksi,Akikujibu nitag
Hamna Mkuu sema nyie mna hasira za maisha na MkuuSASA hivi Ndio kuna RUSHWA na UFISADI WA KUTISHA tena Umehalalishwa kabisa.
Labda nikupe mfano mwingine.Amna mkuu sema nyie .......mna hasira za maisha na mkuu
[emoji23][emoji23]Mmojawapo ni huyu aliepo sasa hivi ashajivika cheo cha baba wa taifa tayari hata nyerere wanaona hafai tena mpaka wanafikiria kumpa atawale milele
Tuvumiliane mkuu, Jk nae tukizungumza kama taifa alikuwa na shida zakeMmojawapo ni huyu aliepo sasa hivi ashajivika cheo cha baba wa taifa tayari hata nyerere wanaona hafai tena mpaka wanafikiria kumpa atawale milele
Kweli kabisaYule mzee wa Msoga alikuwa bomba sana aisee.Alijali Sana uchumi wa wananchi.
Maelezo yamejitosheleza kabisa mkuu. Hongera kwa ufafanuziUnasema fedha zote ziliishia mifukoni mwa watu binafsi lakini mleta mada anasema kila mwaka mishahara ilikuwa ikipanda je ndio ilikuwa ikilipwa na hao watu binafsi? Unazungumzia habari ya tenda je unaweza kutuambia tenda ya kujenga uwanja wa ndege Chato ilifanyika vipi au bajeti ya kwanza ya ununuzi wa ndege ilipitishwa na chombo gani zaidi ya maagizo na amri tu ambazo hazitakiwi kuhojiwa zaidi ya kusifu na kuabudu tu na hayo mabarabara unayodai yalijengwa chini ya usimamizi wa nani kama sio waziri husika na Tanroad ambao mpaka leo hao wahusika ni marafiki wa kufa na kuzikana ebu fikiria wao ndio wajenzi wa hizo barabara mbovu na bado wameshikana kama pete na chanda huku wakiendelea kupiga dili za huku wakipeana zawadi ya majina ya madaraja,vipi ununuzi wa ile boti ya mwendo kasi iliyotakiwa kupiga ruti za Dar to Bagamoyo ambayo haikuwa kupiga hata ruti moja mnunuzi unamjua na ndio huyo unayemsifia lakini unadai wakati huo watu walikuwa wanafanya vibarua tu kwenye maduka ya hao unaowaita mafisadi je leo ajira zipo? Leo hii kila mtu anatamani kuwa machinga ambao yeye anajifanya kuwatetea sana lakini ukiangalia kiundani ni anachonganisha watu kwa sababu huwezi kuwaambia hao machinga eti wafanye biashara kokote hata ikiwa kwenye baraza ya mtu bila idhini ya muhusika leo huko Kariakoo na maeneo mengine kote kumekuwa vurugu kuanzia magari hadi wapita njia kwa mguu kupita kwa tabu na wao ndio wababe yeye ametulia kimya anaangalia kama haoni kama sio uchonganishi ni nini? Haya ukiangalia barabara za mwendo kasi zilizongwa wakati wa Kikwete hadi zipo imara angalau hilo walilolianza wao kabla halijaanza kutumika limeanza kumong'onyoka huu sio ufisadi wa wazi kabisa? Kwa ufupi huyo unayempia debe amefeli kabisa.
Awamu hii sijaona lolote jipya mkuu uingo mbaya mimi Rais wangu bado ni jkJOESKY umesahau kuwa na ufisadi ulishamiri pia freedom of express ilikuwepo na hatukuona mapungufu Zaidi watu tulifurahia maisha ,ila awamu hii tunaweza kujiuliza izo ela zinaenda wapi? Na Tushafika uchumi mdogo wa Kati.
Ajira hamna.
Mishahara haingozeki,
Semina na posho zimefutwa ,
Lakini ngoja tusubiri JNHP , SGR, ujenzi wa vituo vya afya, shule, viwanja vya ndege viishe hafu tuone itakuaje,
Sent using Jamii Forums mobile app