spinderella
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,393
- 1,905
Roho ya JK inaendana kabisa na muonekano wake and the same applies to his successor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli awamu hii Yani Basi tu.Awamu hii sijaona lolote jipya mkuu uingo mbaya mimi Rais wangu bado ni jk
Mkuu, hii reply yako inawezakuwa HEADING ya Uzi mpya kabisa! Hebu tuliza kichwa utushushie nondo mzee!Hakuna kama JK wala hakuna airport Msoga
Ha ha ha , ila Mkuu SURA SIO ROHO!Roho ya JK inaendana kabisa na muonekano wake and the same applies to his successor.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila binadamu ni dhaifu .....that's y viongoz hufanya majukumu kwa muongozo wa katibaLabda nikupe mfano mwingine.
Ummy Mwalimu alikuwa dhaifu ila huyu Gwajima ni takataka kabisaa.
Mkuu hapoKWA KIFUPI,WAKATI WA UTAWALA WA KIKWETE FEDHA NYINGI ZILIZOKUWA ZIINGIE KWENYE HAZINA YA SERIKALI,ZILIINGIA MIFUKONI MWA WATU BINAFSI NA TAASISI BINAFSI KUPITIA UFISADI WA VIONGOZI NA WAFANYABIADHARA WACHACHE WAKUBWA..Unanikumbusha enzi za EPA,IPTL,MEREMETA,ISUE YA UMEME ILIYOKATISHA UWAZIRI MKUU WA LOWASA n.k.Tender nyingi za Serikali zilichukuliwa na WAKUBWA na watoto wao na WAFANYABIAshara WAKUBWA ambao Ni marafiki zao,HUKU WAKILIPA KODI KIDOGO SERIKALINI.Wananchi tulikuwa tunaliShwa makombo TU KUPITIA KUFANYA vibarua kwenye maduka yao makubwa,na vibarua kwenye miradi yao ya ujenzi wa mahekalu yao.Tender nyingi za Barabara na madaraja vilijengwa CHINI ya viwango.Barabara zilizojengwa enzi hizo lami yake leo Ni mashimo tupu,madaraja yao Karibu yote yalishazombwa na mvua za kawaida TU za masika.Kupitia tender "fake na miradi fake" HAZINA YA TAIFA ILIKAUSHWA.Wananchi wenzangu tuvumilie kidogo,matunda ya juhudi za RAIS Magufuli mtayaona baadaye.Chakula ndo kipo Jikoni Kinapikwa,Subirini kitaiva.KWA KWELI,RAIS MAGUFULI MUNGU AMUJALIE AFYA NA MAISHA NAREFU NA MIAKA MINGINE YA YA KUITAWALA TANZANIA HADI ATAKAPOFIKISHA UMRI WA KAMA RAIS JOE BIDEN NA AU UMRI WA The Late Maalum Sharifu Hamadi,NDIPO AACHE URAIS.
Magu siyo dhaifu ila ni takataka kabisaa. Utakosoa kipi uache kipi. Ndio maana wenye akili timamu wamebaki kuduwaa tu.Kila binadamu ni dhaifu .....that's y viongoz hufanya majukumu kwa muongozo wa katiba
Huyu wa sasa amejawa tu na roho ya ubinafsi. Yeye mwenyewe anaishi kama yuko peponi. Ila anapenda wengine waishi kama vile wapo Jehanamu.
Sitokuja nimsahau huyu mzee! Yaani tangu 2015, hakuna kupanda daraja wala nini! Wakati enzi za JK, kila baada ya miaka 3 unatoka daraja moja, kwenda lingine! Huyu wa sasa, amalize tu muda wake aondoke. Anatuchosha tu wafanyakazi.
Umesahau wapinzani aliwaachia pia waongee wanavyotakaWasaalam ndugu wana jamvi!!
Nimefikiri kwa marefu na mapana bila kupata majibu ya baadhi ya maswali yahusuyo utawala wa Dr Jakaya Kikwete enzi za utawala wake. Ni miaka kadhaa imepita sasa toka mzee wetu arudi kijijini kwao Msoga kuendelea na maisha yake ya kawaida baada ya kumaliza muda wake wa kuongoza.
Kuna vitu vingi na vikubwa mno vilifanyika enzi za Jakaya Kikwete lakini havikuzuia mambo mengine kwenda sawa bin sawia.
Kuna nyakati mambo yalikuwa yanakwama lakini yanatatulika ndani ya muda mfupi mambo yalikuwa yanakaa sawa.
Mfano wa vitu ambavyo alivimudu Jk pasi na kuteteleka ni pamoja na:
- Nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma kila ufikapo mwaka mpya wa bajeti
- Ajira za uhakika pasi na urasimu
- Miundo mbinu ya barabara
- Ujenzi wa madarasa na shule za kata
- Ujenzi wa zahanati na hospitali
- Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu
- Uwekezaji wa pesa kwenye tafiti mbali mbali zihusuzo mambo ya Uchumi kwa ujumla
- Vikao na semanars kwa maafisa wa idara mbalimbali(hawa wote walipata posho zao bila bughuza?)
*NA MENGINE MENGI.
Lakini nchi ilienda na Mzunguko wa pesa mtaani ulikuwa mkubwa biashara zilikuwa zinakua kila uchao kukaongeza wimbi la wafanyabiashara na wawekezaji wa nje na ndani ya mipaka ya nchi yetu. Mashirika na makampuni yalinawiri kwa utajiri na yalitoa ajira kwa ukubwa usio kifani.
Sasa swali langu kwa awamu hii pamoja na kubana matumizi na uzibaji wa mianya ya Rushwa kwa ukali wa hali ya juu ni nini kinachofanya tusione matunda ya huo mfumo? kama mishahara ya watumishi imebaki constant bila kuongezwa tokea JK aondoke???_Suala la ajira lipo wazi sitaki hata kuligusia kwa kifupi hakuna ajira za uhakika awamu hii lakini bado kunaonekana kuna uhaba na umasikini mkubwa kwa taifa na mtu mmoja mmoja??
Nawakaribisha mezani tutete!!
Lete ushahidi kwa JK ushahindi upoMagu wa wapi mwenye uafadhali? yaani katika matapeli nae ni mmoja wapo mwizi wa kupindukia.
Mnyika anajutiaJK yule dhaifu wa Mnyika?
Kati ya mambo ambayo hayaleti tofauti kati ya awamu ya 4 na ya 5, ni rushwa. Ipo pale pale.Mnaolalamika maisha magumu mlikuwa wapigaji tu kipindi cha JK. Eti "naweza toka mishe ghafla nakuta pochi imejaa minoti". Hivi pesa inaweza kuwa rahisi kiasi hicho mahali gani pengine wapi duniani? Siyo kipindi cha JK watu walikuwa wanajilia rushwa wanavyotaka.
Sio hayo tu,ni mengi mno ya hovyoo kabisa,ila siwezi kuyaandika yoote,mengine ongezea na wewe,tulikuwepo woote kipindi cha mzee kikweteHayo tu umeyaona sio?
Kwa tafsiri rahisi inaonesha wewe jamaa ni choko mitaa flani,haiwezekani uwe unaokota elfu 5,10,20,50 hata laki yani wewr tu ndio uokote hizo ela....kuna watu kwa makusudi kabisa walikuwa wanakutegeshea hizo ela ukiinama kuziokota wanakupa nao hapo hapo juu kwa juuKatika kipindi cha huyu mzee aisee niliokota sana pesa kwangu elfu 5, 10, 20, 50 hata laki,... hazikunipiga chenga.
Naweza toka mishe gafla nakutana na pochi au waleti zimejaa minoti hatari.
Kipindi kile pesa zilikuwa nje nje na mzunguko ulikuwa mzuri sana. Ila toka huyu mkulu aingie madarakani pesa kubwa niliyookota ni mia tano huwezi amini.
Hiyo inaleta tafsiri kuwa hali ni ngumu sana sasa hivi, hata mzunguko wa hela umekuwa finyu sana kiasi kwamba hata mia tano ukiwa nayo unailinda kama mboni ya jicho.
Abarikiwe sana huko alipo huyu mzee kikwete japo na yeye hakuwa perfect ila itoshe kusema alikuwa bora sana.
Kwangu mimi huyu alikuwa bora sana kuliko huyu mpenda sifa na mapambio.
Ni mtazamo tu.
You are the captivity of your own negativities!Hukuona jema hata robo!?Mungu akurehemu.Nikiri hata mimi kweli alikuwa bomba sana, kila mtu alimwacha afanye anavyotaka, majambazi yaliba mchana kweupe, banki zilivamiwa hadharani na wazi, mafisadi yaligawana pesa kwa magunia, rushwa ilikuwa waziwazi na watumishi ilikuwa ni halali kuingia kazini akiwa kachelewa au haingii kabisa kazini
Machoko ao na wauza nyapu.Mnaolalamika maisha magumu mlikuwa wapigaji tu kipindi cha JK. Eti "naweza toka mishe ghafla nakuta pochi imejaa minoti". Hivi pesa inaweza kuwa rahisi kiasi hicho mahali gani pengine wapi duniani? Siyo kipindi cha JK watu walikuwa wanajilia rushwa wanavyotaka.