Jakaya Kikwete atabaki kuwa Baba wa Demokrasia bora Tanzania kupita Marais wote waliopita na wajao

Jakaya Kikwete atabaki kuwa Baba wa Demokrasia bora Tanzania kupita Marais wote waliopita na wajao

Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Nimefikilia sana leo juu ya uchaguzi ulivyo fanyika, kulinganisha na chaguzi zingine zilizo pita chini ya maraisi mbalilmbali Tanzania

Nikabaini kuwa mh.kikwete miaka yake kumi alifanya bora zaidi ya katika kuruhusu democrasia ya kweli.
- Watu wali mtukana ,hakuwazuru
  • Watu walikuwa huru kutoa maoni yao
  • Vyombo vya habari vilikuwa huru
  • Uchaguzi ulifanyika kwa amani kabisa bila kumwaga damu za watu
  • Watu hawakupotea ,kutekwa, kuuwawa, nk, ni kesi tu ya mwangosi, ambayo nayo ilikuwa bahati mbaya.
  • Wapinzani walifanya siasa na wakachaguliwa, bila shida yoyote .
  • Raisi ambaye kwa kweli mm binafsi alifanya vizuri sana ukilinganisha na wengine.

NB. Wengine huwa wanasifa mtu akiwa amekufa, mm mzee nakupa maya Yako wakati u hai , uishi maisha marefu sana. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hakuna binadamu mkamilifu kila mmoja ana mabaya yake ila mzee Kikwete utawala wake ulikuwa vizuri sana kuzidi hawa waliofuata!
Ingekuwa katiba yetu ni kama kwa kina Trump basi huyu mzee angerudi kugombea hata bila kampeni angeshinda kwa kishindo bila hata kuiba kura kama wengine
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Nimefikilia sana leo juu ya uchaguzi ulivyo fanyika, kulinganisha na chaguzi zingine zilizo pita chini ya maraisi mbalilmbali Tanzania

Nikabaini kuwa mh.kikwete miaka yake kumi alifanya bora zaidi ya katika kuruhusu democrasia ya kweli.
- Watu wali mtukana ,hakuwazuru
  • Watu walikuwa huru kutoa maoni yao
  • Vyombo vya habari vilikuwa huru
  • Uchaguzi ulifanyika kwa amani kabisa bila kumwaga damu za watu
  • Watu hawakupotea ,kutekwa, kuuwawa, nk, ni kesi tu ya mwangosi, ambayo nayo ilikuwa bahati mbaya.
  • Wapinzani walifanya siasa na wakachaguliwa, bila shida yoyote .
  • Raisi ambaye kwa kweli mm binafsi alifanya vizuri sana ukilinganisha na wengine.

NB. Wengine huwa wanasifa mtu akiwa amekufa, mm mzee nakupa maya Yako wakati u hai , uishi maisha marefu sana. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kubakwa ama kubaka humaanisha nini huwa nasikia demokrasia pia hubakwa
 
Hakuna binadamu mkamilifu kila mmoja ana mabaya yake ila mzee Kikwete utawala wake ulikuwa vizuri sana kuzidi hawa waliofuata!
Ingekuwa katiba yetu ni kama kwa kina Trump basi huyu mzee angerudi kugombea hata bila kampeni angeshinda kwa kishindo bila hata kuiba kura kama wengine
Hakika he is a man of people
 
Of course, alikuwa na uvumilivu kwa kiasi fulani, hata akikosolewa. Lakini hakuwa mfano wa demokrasia. Ilikuwa wakati wa utawala wake ambapo wanafunzi wa vyuo vikuu walipigwa mabomu kugoma na kufanya maandamano. Wapinzani wakiandamana walikuwa wakipigwa sana. Kuanzia wakati huo sijasikia tena vyuo vikuu vikitoa kauli kupinga mambo mbalimbali yanayokiuka haki za binadamu na utawala wa sheria. Sehemu nyingine vyuo vikuu vinatetea haki za watu na kwa kutumia usomi wao kuwa sauti ya jamii. Lakini hapa kwetu vimekuwa as if havipo kabisa! Kuna kitabu nilikuwa nakisoma kwamba Mwalimu Julius Nyerere alikuwa anakwenda kwenye mijadala Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Alithamini elimu na mchango wa wasomi, lakini baada yake sioni Rais mwingine aliyekuwa na utamaduni huo wa kuthamini wasomi - kukaa nao, kubalishana nao mawazo, na kuwasikiliza. Ilikuwa pia wakati wa Kikwete ilipofanyika 'operesheni tokomeza ujangili' na mambo yaliyofanyika wakati huo ilikuwa balaa, kwa mujibu wa taarifa ya Kamati ya Bunge iliyoundwa kuchunguza malalamiko yaliyotokana na hiyo operesheni. Nilikuwa na ripoti nzima ya Kamati ya Bunge. It was appalling! Ila wakati huo Bunge lilikuwa moto Moto kweli kweli chini ya Samuel Sitta.
Ni kweli mkuu, bungee kuwa huru ni sehemu ya democrasia
 
Kikwete huyu wa RICHMOND, DOWANS na ESCROW? Kikwete huyu wa Dr Ulimboka na Daud Mwangosi?

Demokrasia yake ilikusaidia kujua mazuri na madudu yake. Wengine hayo madudu yao wanayalinda kwa wivu mkubwa na ukijitia kukosoa hata wanavyotawala Unatekwa na kupotezwa Mazima!. Unajua alipo Ben Saanane na Soka?
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Nimefikilia sana leo juu ya uchaguzi ulivyo fanyika, kulinganisha na chaguzi zingine zilizo pita chini ya maraisi mbalilmbali Tanzania

Nikabaini kuwa mh.kikwete miaka yake kumi alifanya bora zaidi ya katika kuruhusu democrasia ya kweli.
- Watu wali mtukana ,hakuwazuru
  • Watu walikuwa huru kutoa maoni yao
  • Vyombo vya habari vilikuwa huru
  • Uchaguzi ulifanyika kwa amani kabisa bila kumwaga damu za watu
  • Watu hawakupotea ,kutekwa, kuuwawa, nk, ni kesi tu ya mwangosi, ambayo nayo ilikuwa bahati mbaya.
  • Wapinzani walifanya siasa na wakachaguliwa, bila shida yoyote .
  • Raisi ambaye kwa kweli mm binafsi alifanya vizuri sana ukilinganisha na wengine.

NB. Wengine huwa wanasifa mtu akiwa amekufa, mm mzee nakupa maya Yako wakati u hai , uishi maisha marefu sana. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kweli kabisa
 
Demokrasia yake ilikusaidia kujua mazuri na madudu yake. Wengine hayo madudu yao wanayalinda kwa wivu mkubwa na ukijitia kukosoa hata wanavyotawala Unatekwa na kupotezwa Mazima!. Unajua alipo Ben Saanane na Soka?
💯
 
Demokrasia yake ilikusaidia kujua mazuri na madudu yake. Wengine hayo madudu yao wanayalinda kwa wivu mkubwa na ukijitia kukosoa hata wanavyotawala Unatekwa na kupotezwa Mazima!. Unajua alipo Ben Saanane na Soka?
Kabisa ndio ya kweli
 
Ukiachiwa kusema ila bila utekelezaji wa kinachosemwa ni yaleyale ni maigizo (kutumika kwa kodi za wananchi kwenye maigizo)

Si ndio huyu alisema Kelele za Chura hazimzuii Ng'ombe kunywa Maji ? Au watu kwenda Ikulu kupewa Juice na michakato isiyokwisha....

Labda useme alijua kula na Vipofu...,
 
Demokrasia yake ilikusaidia kujua mazuri na madudu yake. Wengine hayo madudu yao wanayalinda kwa wivu mkubwa na ukijitia kukosoa hata wanavyotawala Unatekwa na kupotezwa Mazima!. Unajua alipo Ben Saanane na Soka?
Mfano mzuri na WA karibu zaidi ni WA Mpina.....alipotaka kuibua madudu wakamfukuza na bungeni bila kujali na mbogamboga mwenzako.....ila Kwa JK aliruhusu mpk upinzani uibue madudu na yawekwe hadharani


Jamaa alikuwa mtu sana....haswa Kwa kubaliki na kutuachia wananchi tuwachague viongozi wetu wenyewe kuanzia ngazi ya Mitaa mpk uwakilishi bungeni
 
Yule ni dhaifu tu, kuna speech alikuwa anaongea eti wazungu wana pesa ukiongea nao vizuri wanakusaidia, sasa mtu kama huyo anafaa kuwa rais wa Tanzania kweli?
Ndio Rais pekee ambaye chadema walifanikiwa kupata viti vingi na kuunda kambi rasmi ya upinzani bila kushirikiana na chama chochote, baada ya kuondoka yeye chaguzi zilizofata kama ulivyosikia nchi nzima hata wabunge 5 wakateuliwa ni miujiza
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Nimefikilia sana leo juu ya uchaguzi ulivyo fanyika, kulinganisha na chaguzi zingine zilizo pita chini ya maraisi mbalilmbali Tanzania

Nikabaini kuwa mh.kikwete miaka yake kumi alifanya bora zaidi ya katika kuruhusu democrasia ya kweli.
- Watu wali mtukana ,hakuwazuru
  • Watu walikuwa huru kutoa maoni yao
  • Vyombo vya habari vilikuwa huru
  • Uchaguzi ulifanyika kwa amani kabisa bila kumwaga damu za watu
  • Watu hawakupotea ,kutekwa, kuuwawa, nk, ni kesi tu ya mwangosi, ambayo nayo ilikuwa bahati mbaya.
  • Wapinzani walifanya siasa na wakachaguliwa, bila shida yoyote .
  • Raisi ambaye kwa kweli mm binafsi alifanya vizuri sana ukilinganisha na wengine.

NB. Wengine huwa wanasifa mtu akiwa amekufa, mm mzee nakupa maya Yako wakati u hai , uishi maisha marefu sana. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

Huyu si ndiye aliyeiba uchaguzi wa 2010 na 2015. Au ni mwingine....!?

Haya yote yanayoendelea sasa kwenye chaguzi zetu yameaasisiwa na JK.
 
Ukiachiwa kusema ila bila utekelezaji wa kinachosemwa ni yaleyale ni maigizo (kutumika kwa kodi za wananchi kwenye maigizo)

Si ndio huyu alisema Kelele za Chura hazimzuii Ng'ombe kunywa Maji ? Au watu kwenda Ikulu kupewa Juice na michakato isiyokwisha....

Labda useme alijua kula na Vipofu...,
He is a man of the people
 
Back
Top Bottom