WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Ndiye Rais Mstaafu pekee aliyebaki nchini.Kwani hata sasa yeye ni nani kwenye nchi hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye Rais Mstaafu pekee aliyebaki nchini.Kwani hata sasa yeye ni nani kwenye nchi hii?
Kaka unambishia yeye mwenyewe JK ? Yaan kauli katoa yeye unakuja kukanusha, unahisi yeye hapajui Nachingwea? Mtu kasema Masasi unakuja kutema shudu hapaNachingwea Lindi na wala sio Masasi Mtwara! Huko Nachingwea ndiyo alikokutana na Salma Rashid!
Si lolote si chochote kile tofauti na ulivyo wewe; haya nenda kachochee maharage jikoni huko.Kwani hata sasa yeye ni nani kwenye nchi hii?
Sijaiona comment ukitoa pole mkuu. Hayati Mwinyi siyo classmate wako?Sijawahi kuwa na shaka na mkwere shekh, hajawahi kukosa neno huyu baba...😊
Kaka unambishia yeye mwenyewe JK ? Yaan kauli katoa yeye unakuja kukanusha, unahisi yeye hapajui Nachingwea? Mtu kasema Masasi unakuja kutema shudu hapa
Wewe ni Jakaya Kikwete? Ni mke wake? na una undugu nae? Au umegeuka kuwa katibu wake?
Acheni uchawa kwenye mambo yanayotumia teknolojia
Usiandike maneno ambayo hajayatamka leo hapo mikocheni kwa hayati mwinyi,Ametamka masasi wewe unakuja na ndoto zako za Nachingwea
Msipende kuwalisha maneno viongozi kwa mambo ambayo hawajayatamka
Leo ameongea akiwa mikocheni kuwa alikuwa katibu wa ccm masasi wewe unakuja na story za kukutana na Salma Rashid huko nachingwea
Kabla ya kujibu jaribu kupitia video za leo mikocheni ,Usipende kukurupuka
Jakaya ana historia ndefu!Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika kuhani msiba wa Hayati Ali Hassan Mwinyi huko Mikocheni Dar es Salaam ameonekana akiwa na huzuni kubwa sana na masikitiko makubwa akiwa anaongea na vyombo vya habari
Jakaya Kikwete amekiri kuwa yeye hakuwa lolote bali alikuwa katibu wa kawaida wa CCM wilaya ya Masasi huko Mtwara mara baada ya kutoka jeshini miaka hiyo ya 1980's
Kwa mujibu wa Jakaya Kikwete: Rais Mwinyi kwa maono yake ndiye aliyeamua kumtoa huko kijijini Masasi na kumpa ubunge wa viti maalum na baadae kumteua kuwa Naibu Waziri
Jakaya kikwete amesisitiza kwa yeye ni msiba mzito sana kwani amepoteza mtu muhimu kwenye maisha yake aliyamfikisha mpaka hapa alipo kwa sasa
Baada ya maneno hayo ya kukiri kutolewa kijijini Masasi na kuingizwa kwenye mfumo na hayati Rais Mwinyi, Jakaya Kikwete hakutaka kuulizwa maswali mengine toka kwa waandishi wa habari kutokana na majonzi aliyokuwa nayo
Niletee orodha ya makatibu wa CCM Wilaya ya Masasi,nitakuletea orodha ya Matibu wa CCM pia Wilaya ya Nachingwea, tuone kama Jina la Kikwete lipo Masasi au Nachingwea!Wewe ni Jakaya Kikwete? Ni mke wake? na una undugu nae? Au umegeuka kuwa katibu wake?
Acheni uchawa kwenye mambo yanayotumia teknolojia
Usiandike maneno ambayo hajayatamka leo hapo mikocheni kwa hayati mwinyi,Ametamka masasi wewe unakuja na ndoto zako za Nachingwea
Msipende kuwalisha maneno viongozi kwa mambo ambayo hawajayatamka
Leo ameongea akiwa mikocheni kuwa alikuwa katibu wa ccm masasi wewe unakuja na story za kukutana na Salma Rashid huko nachingwea
Kabla ya kujibu jaribu kupitia video za leo mikocheni ,Usipende kukurupuka
Umekurupuka ndg, mimi unayenitukana wala sihusiki katika ubishi huo. Mi nilikuwa namjibu mtu mmoja hapo juu aliyebeza kuwa kikwete ni nani katika nchi hii. Nimekusamehe hata hivyo, hv ni novel gani vile umechukua hayo maneno ya kiingereza?!! Beautyful ones are not yet born ee?!!Utakua ulizaliwa pre mature kabla ya siku zako! Kikwete hajawahi fanya kazi Masasi! Niambie ni mwaka gani kafanya kazi Masasi??
Kikwete kafanya kazi Lindi Nachingwea! Uncircumcised baboon kabisa wewe!
Mwinyi alitukosea Sana sana kutulelea mwizi wa mali za Uma, Maana matatizo ya mikataba mibovu na utendaji mbovu vingi vilianzia kwa Mkapa na Kikwete, Matatizo ya nchi hii ya ufisadi mkubwa chanzo ni Kikwete Cop ,by Slaa voice.Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika kuhani msiba wa Hayati Ali Hassan Mwinyi huko Mikocheni Dar es Salaam ameonekana akiwa na huzuni kubwa sana na masikitiko makubwa akiwa anaongea na vyombo vya habari
Jakaya Kikwete amekiri kuwa yeye hakuwa lolote bali alikuwa katibu wa kawaida wa CCM wilaya ya Masasi huko Mtwara mara baada ya kutoka jeshini miaka hiyo ya 1980's
Kwa mujibu wa Jakaya Kikwete: Rais Mwinyi kwa maono yake ndiye aliyeamua kumtoa huko kijijini Masasi na kumpa ubunge wa viti maalum na baadae kumteua kuwa Naibu Waziri
Jakaya kikwete amesisitiza kwa yeye ni msiba mzito sana kwani amepoteza mtu muhimu kwenye maisha yake aliyamfikisha mpaka hapa alipo kwa sasa
Baada ya maneno hayo ya kukiri kutolewa kijijini Masasi na kuingizwa kwenye mfumo na hayati Rais Mwinyi, Jakaya Kikwete hakutaka kuulizwa maswali mengine toka kwa waandishi wa habari kutokana na majonzi aliyokuwa nayo
Kila mwenye umri wa miaka 70 + ana historia ndefu. 🙏Jakaya ana historia ndefu!
Nipo bize kukaribisha wageni hapa msibani hapa mkuu, ila classmate kaniuma sana..😥Sijaiona comment ukitoa pole mkuu. Hayati Mwinyi siyo classmate wako?
*Tumebaki wote countdown inaendeleaAmebaki yeye......count down inaendelea.
Nisamehe bure kaka! Naomba nifute hii commentUmekurupuka ndg, mimi unayenitukana wala sihusiki katika ubishi huo. Mi nilikuwa namjibu mtu mmoja hapo juu aliyebeza kuwa kikwete ni nani katika nchi hii. Nimekusamehe hata hivyo, hv ni novel gani vile umechukua hayo maneno ya kiingereza?!! Beautyful ones are not yet born ee?!!
Utakua ulizaliwa pre mature kabla ya siku zako! Kikwete hajawahi fanya kazi Masasi! Niambie ni mwaka gani kafanya kazi Masasi??Kaka unambishia yeye mwenyewe JK ? Yaan kauli katoa yeye unakuja kukanusha, unahisi yeye hapajui Nachingwea? Mtu kasema Masasi unakuja kutema shudu hapa