Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Jambo la uzuri ni kwamba walosoma na mzee Kikwete wapo khasa wale alochangia chumba kimoja cha bweni pale Kibaha.
Na pia wapo wale walosoma nae intake moja pale UDSM.
Wengi tunasahau kwamba familia ya Kikwete ilipewa nafasi gani katika serikali ya awamu ya kwanza na jinsi hayati Mwalimu alivyohakikisha aingalia uzuri familia hii.
Ingawa hapo baadae ikawa shida kidogo na ikawa hadi leo hii. Wakumbukeni mzee Mrisho, Shehe Ramiya na wengineo.
Ila kiukweli baadae mzee Mwinyi alifanya kama anasawazisha pale palipoharibika na JK akaanza kusogea juu na amshukuru sana rafikie Ditopile wa Mzuzuri.
Na pia wapo wale walosoma nae intake moja pale UDSM.
Wengi tunasahau kwamba familia ya Kikwete ilipewa nafasi gani katika serikali ya awamu ya kwanza na jinsi hayati Mwalimu alivyohakikisha aingalia uzuri familia hii.
Ingawa hapo baadae ikawa shida kidogo na ikawa hadi leo hii. Wakumbukeni mzee Mrisho, Shehe Ramiya na wengineo.
Ila kiukweli baadae mzee Mwinyi alifanya kama anasawazisha pale palipoharibika na JK akaanza kusogea juu na amshukuru sana rafikie Ditopile wa Mzuzuri.