Pamoja ndg, haina shida yoyote.........tunafurahi tu humu, usijali.Nisamehe bure kaka! Naomba nifute hii comment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja ndg, haina shida yoyote.........tunafurahi tu humu, usijali.Nisamehe bure kaka! Naomba nifute hii comment
Kaka shida ni kwamba huenda Nyerere hakuandaa wenzake, au hakuweka mfumo wakuandaa wengine au hakuweka Sheria Kali zakuwafanya wengine wawajibikeMpaka Nyerere anastaafu urais 1985 Kikwete was a nobody kwenye chama au serikali.
Tulikuwa tunawajua kina Salim, Makweta, Makinda, Mkapa, Chiduo, Machunda etc. Nje ya waliosoma naye na kufuatilia DARUSO na habari za siasa za chama waliofuatilia makamisaa wa chama jeshini, not only Nyerere, but also the general public did not know Kikwete.
Kikwete kaanza kujulikana kwenye siasa za kitaifa wakati wa Mwinyi.
Kipindi cha Nyerere mimi nilikuwa na kidaftari, nilikuwa naandika mawaziri na manaibu waziri wote, nilikuwa natatizwa sana na wazo la kwamba Nyerere akifa katika hawa waliobaki wote hakuna Nyerere mwingine. Nikasema tukiwa wakubwa viongozi watakuwa dhaifu sana. Hapo mtoto wa darasa la nne.
Na utabiri wangu umetimia.
Mkuu,Kaka shida ni kwamba huenda Nyerere hakuandaa wenzake, au hakuweka mfumo wakuandaa wengine au hakuweka Sheria Kali zakuwafanya wengine wawajibike
Afe tu nayeye tuanze upya,Na ulipotuokota ( ulipotudanganya ) Wasikilizaji na Watazamaji ni pale uliposema kuwa Hayati Rais Mstaafu Mzee Mwinyi alikuambia kwa Kiingereza kuwa.... You're young, bright and I know you can make it....katika Nafasi za Uteuzi wa Wizara ikiwemo ya Fedha.
GENTAMYCINE nakukatalia kwakuwa Hayati Rais Mstaafu Mzee Mwinyi ( na hata Watu wake wa karibu Wamenithibitishia ) kuwa alikuwa hakizungumzi Kiingereza japo alikuwa akikijua kwa Wastani na kwamba hakukutamkia hayo kwa Kiingereza ila Wewe kwa kutaka tu Sifa zako umeamua kutembea nayo kama sehemu yako Tukuka ya kupenda Kujipakulia Minyama ( Kujisifu ) Kutwa tu japo Umeshastaafu.
Licha ya yote Kikwete ni mtu muungwana anajitahidi kuhudhuria misiba mingi
Ila sijui ni kwanini wa Hayati Magufuli alikuwa anaongea Kiuwoga, Kimaumivu ya Moyo na alikuwa Akijishtukia mno.Licha ya yote Kikwete ni mtu muungwana anajitahidi kuhudhuria misiba mingi
Binafsi jk wa kwanza na jpm ndo nliguswa, the rest nakua nahisi misiba yao hainihusu kabisaNi kawaida ya mtu mnafiki na mwenye ghilba daima kupenda kuonekana ni mwema zaidi na anapendwa zaidi.
Ila kwa Kikwete hampati mtu tena. Ulimwengu wote unamjua wa unafiki wake.
Magu ali bugi step ndogo Sana, la sivyo ange weka mpira kambanjIla sijui ni kwanini wa Hayati Magufuli alikuwa anaongea Kiuwoga, Kimaumivu ya Moyo na alikuwa Akijishtukia mno.
Hapo kwenye kuwa bright nakataa kwani 99% ya aliosoma nao hasa Chuo Kikuu wanasema alikuwa Mchovu kama akina Fred Michael na Papa Job wa Simba SC.And yes he was young and bright and he made it! Mkaruka
Ushawahi kukamatwa ukitoka kuiba nyama jikoni ulipokuwa mtoto??Ila sijui ni kwanini wa Hayati Magufuli alikuwa anaongea Kiuwoga, Kimaumivu ya Moyo na alikuwa Akijishtukia mno.
GENTAMYCINE nikikutana na Intelligent JamiiForums Members kama Wewe huwa nasikia Furaha mno kwani Mijuha ( Lumpens ) ndiyo Imetamalaki Kutwa hapa.Ni kawaida ya mtu mnafiki na mwenye ghilba daima kupenda kuonekana ni mwema zaidi na anapendwa zaidi.
Ila kwa Kikwete hampati mtu tena. Ulimwengu wote unamjua wa unafiki wake.