Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

Yaleyale ya Chato 2021!!! Mnafiki sana huyu jamaa, na kama atawaachia watoto hiyo tabia basi ni hasara kubwa kwa kizazi chake, alimtosa mwenzake kwenye Richmond haikutosha akamtosa kwenye uchaguzi mkuu 2015 leo anasema alikuwa rafiki yake
Nyie si ndio mlisema hana ubavu wa kumkata ?

Binadamu gani Duniani kapata mafanikio ya kisiasa kama ya Jakaya akakwepa chuki za watu kama wewe ?

Leo imepita miaka 15 ndio Mnajua kuwa Mwakyembe na kina Slaa na Mbowe walichezeza ngoma wasioijua ?

Hiyo ndio Siasa
 
ila mzee aisee ana moyo. ningekuwa mimi hata kuongea nisingeongea. tuwe wakweli. lowasa alipiga sana kampeni mzee awe rais, ila sikuile alipoachia ngazi imeweka picha kubwa sana. sitaki kuendelea kusema, ila nimalize kwa kusema pengine ulikuwa mpango wa Mungu manake tungetawaliwa na lowasa leo hii aisee tungekuwa tumeibiwa pesa hadi nchi ingekuwa masikini kuliko ilivyo. thanks JK.
Ngumu kujua, huenda tungekuwa vizuri pia.
Issue sio Lowassa au Kikwete kama mtu, issue ni Chama Cha Madamu.

Kinazingatia WAO(ndugu,familia na jamaa) kimaslahi binafsi taifa baadae, kisha mwananchi atajua atakavyopambania kombe.
 
Na ukiangalia ile kashfa hakuna mahali ambapo kamati ya bunge ilimlazimisha ajiuzulu.
Alihamaki kwa kuwa kamati ya Bunge hakumuhoji.
Jiulize kama kamati haikuona haja ya kumhoji nani aliyemlazimisha kujiuzulu?

Marehemu hakuwa na kifua cha kukabili mikiki mikiki ya kisiasa.
Angetulia aone rais atachukua hatua gani dhidi yake.


Tafadhali rudi ukatafiti vizuri scandal ya Richmond na investigations zake.
 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).

Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.


. Kwanza lilezengwe la Richmond alimpikia mshikaje wake. EDO akawa anapiga kazi kweli kweli na kutatua kero za wananchi zaidi hata ya Boss wake.


Ben akamwambia mkwer usipomuweka kando now huyu bwana….. huko mbele utamshindwa…… utashindwa kushawishi umma mtu awe PM for 10 years halafu uje kusema HAFAI kuwa Rais.


Mwamba akascot na timu yake, akaona ampige kirusi cha Richmond.

ila EDO was not smart upstairs yani au ni TRUST kwa mwana ? . I wonder why hakujua it was a set up.

Shida alimchukulia mshikaji kama mwana kichizi. …… he failed to realize kuwa they are not friends, wanajuana tu .

Rafiki wa kweli wa mkwere ni Dittopile marehemu, kinana na Makamba Yusuph hawa ndio washikaji zake hata totoz walikuwa wanapigiana.

Kirusi kilipompiga EDO , akaitwa kando….. jiachie nitakulinda along the way .

EDO akaingia kwenye set up ya pili.

Akautangazia UMMA.

Habari ya kumuweka kando ikaishia hapo in a very simple way.

Edo , with patience , akasubiri nyakati, wakati ulipofika akamfuata mshikaji wake.

my brother , tumetoka mbali remember our promise , ninachukua form ; tell me the truth nakusikiliza should I proceed ?

Nisiingie gharama kumbe kuna mpango mwingine.

Mwamba akajibiwa very simple ;

proceed , you have my back .

Politics is a shame !


Edo , akajikoki, na nyimbo zikaanza ; lowasaa wee…. Kukupenda…. Siachi, mtetezi wa wanyongee…….na blah blah

Only to be told kuwa hata jina lake haliendi halmashauri kuu. Na mshikaji wake akaanza kumpiga fimbo za mbali. Fisadi hawezi kupewa nchi.

Edo , ni mtu safi snaa , hakulipa kisasi, as a result alimpongeza JPM.

Tushukuru hekima za EDO, otherwise wangetafutana mtaani sana.
Ila naamini mkwere alifanya kwa maslahi ya nchi but mm siyajui

Haya maisha bwana

Lala salama Edo
 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).

Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.

JK Mungu anakuona walahi
 
Unamsema mtu ambae hawezi kukujibu? Hii mada kaleta marehemu?

Una ugonjwa wa akili?
Acha nyege. Sijamsema marehemu. Nawasema nyie mnaowashwa kumtetea Lowasa, kwani waliochukua fomu si walikuwa 40? Na alikuwa anatakiwa achaguliwe mmoja? Asa kwanini mnalazimisha awe lazima Lowasa? Hii nchi sio mali ya mtu binafsi. Ndio siasa ilivyo. Nashangaa Lowasa mwenyewe hakuumia kama nyie mnavyoumia kwa niaba yake. Tulieni. Ndio siasa ilivyo. Deal with it
 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).

Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.

Linafiki hili, lina roho ya kichawi sana.
 
.
20240213_044014.jpg
 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).

Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.

Sura tu inakupa jibu shida apatayo kuieleza hii kitu
 
Back
Top Bottom