Mr Sir1
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,749
- 7,945
Inasadikika kudhoofu kwake hakukuwa sababu ya kukatwa bali walimdhoofisha maksudi kwa dhamira ya kumuua kabisa.ENL alidhoofu mara baada ya kukatwa jina na afya haikurudi tena hadi kufariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasadikika kudhoofu kwake hakukuwa sababu ya kukatwa bali walimdhoofisha maksudi kwa dhamira ya kumuua kabisa.ENL alidhoofu mara baada ya kukatwa jina na afya haikurudi tena hadi kufariki
Viongozi wengi wa upinzani hapa nchini wamesapotiwa sana na Jakaya ,kuna jamaa mmoja wa upinzani kurudi nchini kwanza alimpigia simu Jakaya ili aongee na Mh Rais Samia lkn leo wafuasi wao wanamshambulia Jakaya anyway ndio unafiki wenyewe huo
Lowasa alimwonya kikwete kabisa hii kitu ni mbaya aachane nayo!ila kwenye richmond lowasa alijua alikuwa na mapungufu. au walizungukana kwenye mpunga?
Mnafiki mkubwa huyu mkwere; "we do not need these kinds of politicians who use the community tragedy platform to paint the dented relationship in their favor such that is accoladed through generosity pretense."Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).
Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"
Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.
He is naive, he cannot read the politics of Kyela. Let him spend his ill gotten loot ; it will be a curse for Kyela people to allow a spent force to be their MP when there are many young men/ women who can do a better job than Mwakyembe!Anajiandaa kugombea tena Kyela '25
Richmondmwenye hela ana
hangaika kukuibia tena? yule alishajitafuta akajipata kitambo mzee wangu.
Ukitaka kuwa mnafiki hakikisha hauna soni wala nishai.
Yaani ondoa aibu.
Huyu mzee ana digrii za kutokuwa na soni
Kizee kinafiki sana hikiRais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).
Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"
Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.
yeye ndiye richmond? au ni uozo wa viongozi wenu wakuu waliokuwapo.Richmond
Huyu mkwere ni mchawi!Kizee kinafiki sana hiki
Unafiki ni dhambi kubwa sana na Mungu aliikataza sana!
Hata wakati wa magufuli tuliambiwa hayahaya!
Jamani tuache unafiki ktk maisha yetu!
Nimejifunza sana kuhusu watu wa kufanya nao deal. Nitazidisha umakini sana kwenye circle yangu! Sio kila mtu unatakiwa ufanya naye deal, hata kama ni rafiki yako!!Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).
Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"
Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.