Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

Viongozi wengi wa upinzani hapa nchini wamesapotiwa sana na Jakaya ,kuna jamaa mmoja wa upinzani kurudi nchini kwanza alimpigia simu Jakaya ili aongee na Mh Rais Samia lkn leo wafuasi wao wanamshambulia Jakaya anyway ndio unafiki wenyewe huo

Binafsi huwa nasema, kifua cha JK kimebeba mengi sana, ndio vile tu ni mtu wa kutabasamu na kuchukulia mambo simple.
 
Amefanya jambo jema kufika kwenye msiba na kutoa maoni yake!
Hata kama walikorofiana huenda kweli walikuwa na ukaribu!
Lakini vile vile kama binadamu hata yeye anatafakari hatima yake! Sote tunapita hapa duniani.
 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).

Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.

Mnafiki mkubwa huyu mkwere; "we do not need these kinds of politicians who use the community tragedy platform to paint the dented relationship in their favor such that is accoladed through generosity pretense."
 
Ukitaka kuwa mnafiki hakikisha hauna soni wala nishai.

Yaani ondoa aibu.

Huyu mzee ana digrii za kutokuwa na soni

Ukiangalia ile hotuba ya jana kwenye msiba ni dhahili kuwa urafiki wao ulishakwisha. Yale yote aliyaongelea unofficially kwenye TV za mtandaoni hakuweza kuyasema mbele ya familia. Toka Lowasa afariki dunia hakuna kitu JK amekiongea kuonyesha kuwa walikuwa ni marafiki wa karibu .....!!
 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).

Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.

Kizee kinafiki sana hiki
 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).

Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.

Nimejifunza sana kuhusu watu wa kufanya nao deal. Nitazidisha umakini sana kwenye circle yangu! Sio kila mtu unatakiwa ufanya naye deal, hata kama ni rafiki yako!!
 
Back
Top Bottom