Hao walichezwa ngoma tu tunaita, sio kutailiwa wala kukeketwa. Hao wamefundishwa tu tamaduni, nadhani kikwete amefikiria yeye yupo pale msoga ila hafanyi hivo vtu wakati jamii inayo mzunguka hucheza ngoma kila mara watoto wao wakifika umri flani.
Na kikwete wala mwanae hawakua wageni rasmi. Wao ndio wenye shughuli, hao ni wajukuu wa kikwete wote. Hamna haramia hapo, na pia ni watoto baadhi ya ridhiwani kikwete,ally kikwete na watoto wa wajukuu wa dada wa kikwete.
Hyo ilikua shughuli ya kifamilia. Na hata siku ya pili,familia nyingine hapo msoga ilifanya kitukama hiko.
Wakwere kwa ngoma. Ndio hyo sasa