mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 664
Jeuri ipi jaman?Hata angekuwa bondeni kwa Mandela, angepata kashi kashi sana kwa hujuma aliyoifanyia nchi hii!! Enzi ya Magufuli HOME SHOPPING CENTRE [ GSM] uliwasikia? Huoni ajabu leo wameanza jeuri yao?
