Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

Wewe ndo una haraka ya kumjibu kama umetumwa kufanya
damage control...

Kikwete anajua ujumbe wake hasa unamlenga nani...
watu wa pwani wanaweza kumtukana mtu kwa kumsifia
Mnajitahidi sana kujifariji
 
Fundisho: Kuna Ujumbe bila shaka Umemfikia bwana yule, Ametengenezewa maadui pia hawezi Kuchukuliana Kama ilivyo kwa wanadamu hakuna aliyekamilika. Vyeo ni vya Muda tu na Kitambo kifupi tutaishi na Jamii hii hii tunayoitesa tukiwa na Vyeo.

Unaandika kama ukimbizwa. Unahofu gani wewe, au mwenzetu ni upande mwingine?
 
Leo mnapenda na kumuona na busara kibao ....mliyekuwa mnamwita kilaza sasa kawa lulu ....ngoja na JPM astaafu ...
Daima sisi siyo Wanafiki kama yule bwana anayesema Mimi Msema Mkweli na Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu. Anawapandisha vyeo wanaowanunua Madiwani wa Upinzani pia Kuruhusu Utawala wa Mabavu.
 
Siyo ilikuwa fundisho kwa hadhira yote iliyokuwepo pale eneo la tukio? Mh!
 
Leo mnapenda na kumuona na busara kibao ....mliyekuwa mnamwita kilaza sasa kawa lulu ....ngoja na JPM astaafu ...
Kumjua mzuri ni mpaka uone mbaya , yukoje, utamtambua mrefu baada ya kuona mfupi... Sifa nzuri au mbaya ni mpaka uone mbadala wake.... wamelinganisha A na B, wakagundua ni afadhali ya jana kuliko leo.
 
JK siku akienda muona Lissu ataongea maneno yatayosababishwa nchi itikiske
 
Kumjua mzuri ni mpaka uone mbaya , yukoje, utamtambua mrefu baada ya kuona mfupi... Sifa nzuri au mbaya ni mpaka uone mbadala wake.... wamelinganisha A na B, wakagundua ni afadhali ya jana kuliko leo.
Kukuelewa akili Ndogo hawa Kijani ni ngumu aisee! Wasamehe bure!
 
Unamsifia ikiwa ndie alietuletea huu Mkosi
 
Mmmmh
 
Wewe ndiyo hujasikia. Amesema 'Tengeneza Adui wako' lakini kwa Ushauri wangu 'Hakuna haya ya Kuyengeneza Maadui'.
 
Unamsifia ikiwa ndie alietuletea huu Mkosi
Nimeyazungumzia maneno yake Mkuu, hili balaa ndiyo limetukuta ndugu. Yamkini hata yeye anajuuta Kushiriki kuleta hili Janga!
 
Watu wa sympath hawana kurastration ooh frasgration ooh shittt fration ooo nooo frustration ndyo ivo eeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…