Jakaya Mrisho Kikwete, Wafanyakazi wa Tanzania wanakumiss sana. Pumzika baba, jipe raha, wewe ni binadamu!

Usijitoe ufahamu
Mkapa aliacha unga sh 300 huyo msanii akafikisha sh 1800+
Kipindi cha huyo msanii.
Mkapa aliacha bia sh 300-600.
Mzee wa sanaa katufikisha 1500-2000
Kwa ujumla kila kitukilipanda kipindi Cha kikwete .
Hata ivyo usilie sababu ndie anaeongoza hadi sasa. Endelea kufurahia radha
 
Kwani bei ya bidhaa alizo zikuta jiwe ndo alizo ziacha?
Wafuasi wa jiwe ni mazero vichwani.
 
Mimi nikajua amepumzika ile ya kiukweli kweli
 
Sasa hapo Kikwete anasifiwa kvp kwa kuteleza sheria inavyotaka?
anayemsifu anazo sababu. unapoajiriwa kuna kitu kinaitwa annual increment. ongezeko la mshahara la kila mwaka. hii inaelezwa kwenye barua yako ya ajira. wakati wa kikwete aliachana na hiyo annual increment akawa anaongeza mshahara kila mwaka mfno unaongezewa elfu 70 au 50 badala ya 12000/= ambayo ipo kisheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…