Jamaa aliyechoma Qur'ani Tukufu Salwan Momika, amekutwa amekufa nchini Norway

BAKIIF Islamic

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2021
Posts
600
Reaction score
1,843
Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.

Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.

Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.



Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.

...........
 
Kwahiyo amekufa kwasababu ya kuchoma kuruani? Kama chanzo ni kuchoma kuruani mbona imepita muda mpaka umauti kumkuta? Je asingeichoma asingekufa? Ndiyo maana afande sele aliwekwa ndani baada ya shehe kusema atakufa ndani ya siku 7 ili kumuepusha na wahuni kumdhuru kwa kisingizio cha dua kutimia.
 
Wamemtia SINDANO huyoo
 

Sababu yoyote iwayo lakini ndiyo kazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…