Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Itakuwa kunut
Kifo gani?
Mauaji ya kimwili au albadri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo gani?
Mauaji ya kimwili au albadri?
Tutaamini vpHata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.
Kwakuwa huna uhakika mi naona kesho kachome mkuu.• Sidhana kama ukichoma Qur'an, unaweza kufa.....
Vipi yule dogo wa Mbagala aliyeambiwa akiijolea atakuwa nyoka, dogo akasema msinitishe kamwaga kojo. Kilimkuta nini vile? Yaani kitabu aandike mudy akiwa mapangoni huko alafu mtu ukichome ufe? acheni mzaha kwenye vitu seriousHata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.
Kwani wewe unapendelea wenzeo watangulie!Mbona yeye hafi sasa?
Mmemuwinda weee!
Ila nae watamuotea tu, magaidi wapo kila mahali.
Vipi yule dogo wa Mbagala aliyeambiwa akiijolea atakuwa nyoka, dogo akasema msinitishe kamwaga kojo. Kilimkuta nini vile? Yaani kitabu aandike mudy akiwa mapangoni huko alafu mtu ukichome ufe? acheni mzaha kwenye vitu serious
hujajibu hoja yangu, Hoja yangu inahoji yule dogo wa Mbagala aliyekojolea hicho kitabu kilimpata nini?Hicho ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake.
Muongozo kwa wacha Mungu.
😂😂😂Wameaminishwa kwamba atakaekuua ataenda peponi, kwa hiyo watakugombania kama mpira wa kona.
Kala khasara, khasara iliyokuwa kubwa kabisa.Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.
Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.
View attachment 2951183
Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.
...........
View attachment 2951184
Swala la kufaaa halihusiani na.kuchoma.Kuruani kama.ulivyoandishi na mawazo yako yalivyowazaaSalwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.
Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.
View attachment 2951183
Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.
...........
View attachment 2951184
Amepata hasara iliyokuwa kubwa kabisa 😂Hehehee. Kazi anayo
kwa bahati mbaya sana, kama alikuwa hajaokoka, atakutana na aliyeleta kitabu cha uongo, cha wauaji, waleta fujo kule motoni, anaungua moto mkali sana. Mungu wa kweli hakuleta icho kitabu, kinajicontradict kabisa na Mungu wa kweli. hivyo hataadhibiwa kabisa kwa kuchoma icho kitabu. nakuhakikisha hili. though hakutumia hekima, hata mimi siwezi kuchoma kitabu hicho kwasababu najua nitawaudhi wanaokiamini, ila Mungu hahusiki nacho kabisa.Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.
Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.
View attachment 2951183
Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.
...........
View attachment 2951184
Wee subiri mabikira zako wameshapatikana 50 bado 22 ili ukapige mzigo. Huwa mnanifurahisha sana nyie viumbe.
Huujinga we u wa kutishia kuhusu quran ndio unasababisha watu wainyee kabisa. Kwani we unayeisoma na kuikariri huta kifa? uJiaribu
Nani ambaye hafi sasa? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 . Tuongee kama watu wenye akili🤣🤣🤣🤣🤣Hata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.