Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No!!!Myuzlim
Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.
Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.
View attachment 2951183
Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.
...........
View attachment 2951184
Wa Sweden kafufuka😀😀Hata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.
• Sidhana kama ukichoma Qur'an, unaweza kufa.....
Na wewe choma basi mkuu,,wacha kutishia kujamba huku una tumbo la kuhara.• Sidhana kama ukichoma Qur'an, unaweza kufa.....
Wanafanya kwa ajili ya nafsi zao. Funga za hivyo Mungu Huwa Hana haja nazo.Ila Wenzetu Jamani ufahamu wao Huwa umefungwa Sijui 😁Yaani Wana mambo ya kitoto vile!! Hadi Huwa ninawaza Huwa Wana Akili timamu kweli?? Hapa wamefunga but wanafutumusha matusi,wengine Wanafunga machoni Mwa Watu akiwa Pekee anakula😂Sasa sijui wanafañya kwaajili ya Nani sasa.
Choma mkuu,,usitishwe na kiberenge yeyote,,Huwezi kufa Hakika, labda uuwawe
Ulifurahi eeeh,huwa mnaroga eehHata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.
Halafu mbona watu wanapenda sana bikra? Mi naona shida sana kutoa, vurugu nyingi, aagh...Adhabu yake hapewi mabikra 72
Hata Mimi siamini hivyo.• Sidhana kama ukichoma Qur'an, unaweza kufa.....
Jaribu mzee.• Sidhana kama ukichoma Qur'an, unaweza kufa.....
Choma mkuu,,usitishwe na kiberenge yeyote,,
Halafu utatupa mrejesho.
Mkuu Likud,Hata kama hauamini kuhusu uwepo wa Mungu unapaswa kuheshimu watu wanao amini pamoja na njia wanazo tumia kumuamini.
Halafu kuna Watu watasema Allah ndio kamuua😆Wamemuua