Jamaa aliyechoma Qur'ani Tukufu Salwan Momika, amekutwa amekufa nchini Norway

Jamaa aliyechoma Qur'ani Tukufu Salwan Momika, amekutwa amekufa nchini Norway

Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.

Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.

Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.

View attachment 2951183

Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.

...........
View attachment 2951184
Ni kawaida tu siku yake ilifika.
 
Vipi na Salman Rushdie allah kashindwa kumuua hadi ikabidi mumsadie kwa kumvizia na kisu mungu wenu ni mwehu kweli hana tofauti na mchawi.
 
kwa bahati mbaya sana, kama alikuwa hajaokoka, atakutana na aliyeleta kitabu cha uongo, cha wauaji, waleta fujo kule motoni, anaungua moto mkali sana. Mungu wa kweli hakuleta icho kitabu, kinajicontradict kabisa na Mungu wa kweli. hivyo hataadhibiwa kabisa kwa kuchoma icho kitabu. nakuhakikisha hili. though hakutumia hekima, hata mimi siwezi kuchoma kitabu hicho kwasababu najua nitawaudhi wanaokiamini, ila Mungu hahusiki nacho kabisa.
Hata hiyo biblia ambayo unaipigia chapuo kuwa haijicontract, ina contradictions tele.

Quran na biblia, yote yale yale tu.
Biblia umeletewa na wakoloni, wakubrainwash na wakutawale..
Wale quran waliletewa na miarabu kwa malengo yanayoshabihiana na ya wakoloni.

Ushauri: jifunze kuhusu mila na tamaduni za kwenu...zifuate na kuziheshimu hizo.
Achana na ngano za mungu wa waisrael na waarabu.
#Backtoafroroots
 
Umechomeka kupata taarifa ya mchoma Qur'an?
Hata hiyo biblia ambayo unaipigia chapuo kuwa haijicontract, ina contradictions tele.

Quran na biblia, yote yale yale tu.
Biblia umeletewa na wakoloni, wakubrainwash na wakutawale..
Wale quran waliletewa na miarabu kwa malengo yanayoshabihiana na ya wakoloni.

Ushauri: jifunze kuhusu mila na tamaduni za kwenu...zifuate na kuziheshimu hizo.
Achana na ngano za mungu wa waisrael na waarabu.
#Backtoafroroots
MaaIslamists wamewaweza kweli kweli na nyinyi kwa Ushetani wenu mkaingia King ati amekufa🙄🙄🙄
Kwa taarifa yenu yupo yupo sana na ataendelea kuchoma Kitabu chenu cha Allah, the Satan
 
Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.

Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.

Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.

View attachment 2951183

Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.

...........
View attachment 2951184
Alichokifanya sio kizuri ila ni kitendo cha kuleta uhasama tu.

Tujifunze uvumilivu wa kiimani
 
Vipi na Salman Rushdie allah kashindwa kumuua hadi ikabidi mumsadie kwa kumvizia na kisu mungu wenu ni mwehu kweli hana tofauti na mchawi.
Kasome history ya Vita vya msalaba,walikua wanamsaidia Mungu gani!?..unapotoa fungu la kumi,huyo Mungu wako hela Hana!?..si umwambie abeti,unapomtolea sadaka ya kuteketeza huwa na hamu ya nyama choma!?..muwe mnampikia ugali na kachumbari alie nyama choma,Ila vipi Hana wanyama na moto!?..unapojenga nyumba ya Mungu(kanisa) yeye Mungu wako hawezi kujijengea mkaabudu humo!?..mnapomuhubiri mwenyewe Hana Domo la kuhubiei huko aliko tumsikie mpaka mhahe kuhubiei jua Kali na miauti yenu mate yakiwaruka!?
 
Back
Top Bottom