Jamaa aliyechoma Qur'ani Tukufu Salwan Momika, amekutwa amekufa nchini Norway

Jamaa aliyechoma Qur'ani Tukufu Salwan Momika, amekutwa amekufa nchini Norway

Allah siyo Kama Mungu wako aliyepigwa mitama na makofi usiku kucha na yakobo
Ungekuwa Muislam wala usingesema maana Maislam wanasema Katika Story ya Nabii Mussa alipogomea Kifo,

Allah alimtuma Malaika Israil aende kuchukua roho ya Mussa... Bahati mbaya Nabii Mussa alikuwa Mcheza karate.. Malaika Israil alipomtokea Mussa ili achukue roho yake Mussa akamchapa makonde hadi Jicho moja la Malaika likachomoka.. Malaika akaondoka zake kusema kwa Allah, Malaika Israil alipofika kwa Allah akaanza kulia jicho mkononi Allah akalirejesha jicho vizuri...

Ipi kali kati ya Yacob kushikana na Malaika au Mussa Kumpiga Malaika hadi Kumtoa Jicho na kugoma Kufa?
 
Kwahiyo amekufa kwasababu ya kuchoma kuruani? Kama chanzo ni kuchoma kuruani mbona imepita muda mpaka umauti kumkuta? Je asingeichoma asingekufa? Ndiyo maana afande sele aliwekwa ndani baada ya shehe kusema atakufa ndani ya siku 7 ili kumuepusha na wahuni kumdhuru kwa kisingizio cha dua kutimia.
Jaman km kunaukweli hiv
 
Kwani mtu hawezi kufa mpaka mchome kurani. This is nonsense.
 
M

Ma shaa Allah, wa hai hao, hujuwi tu.
Uongo wenu umepitiliza Hivi Mtume wenu alisema Muislam huwa hafi akiwa kaburini? Malaika wanamsubiri wamuululize Maswali na akishindwa kujibu wanampiga na nyundo kubwa kichwani hadi apatie majibu? au Mtume wenu alisema yeye ndie atakuwa wa kwanza kufufuliwa katika wafu? sasa hao walio kufa wanakuwa hai kivipi? Taqiyya..

Mnamuabudu Muhammad sababu alisema sarat zenu zipitie kwake na kesha kufa dua zenu hazifiki alisema hataoza ila baada ya siku ya tatu alivimba na harufu kila eneo... sijui ilikuwaje maana nasikia alikuwa hata akinya mavi yananukia perfume
 
Wagalatia wa JF wale wenye chuki na Uislam moja ajaribu kuchomo Quran aende pale Mnazi Mmoja au Jangwani aone kitakachotokea.
 
• Ivi umekaza kabisa fuvu unaamini kabisa kitabu kinaua 🤔🤔??. Mbona tunakosa maarifa kiasi hiki!!

• Kama ni kitabu kweli cha Mungu yani kiue mtu kisa amekichoma???

• Mungu ashindwe kuua wahalifu sugu waliomwaga damu za watu... Aje ahahangaike na kakitabu kamoja??


… Semeni tu ukweli kuwa : wamemua kwa hasira za udini, hakuna kingine Zaidi ya hicho.
Ndy na wewe choma basi,,wacha kutishia kujamba huku una tumbo la kuhara..
 
Hata ukichana biblia huwezi kufa, acheni upumbavu wenu, hivi vitabu vina maana na nguvu sana, kwa watu wanabyoviamini na kufunuliwa kuviamini, kwa wengine ni magazeti, wakichana hakuna shida
Bible haiwezi kukufanya chochote sababu ina edition nyingi sana ,,.
Hata Trump ana bible yake mpya .
 
Wote wamekufa tu. Haijalishi.

Eti kwamba ndio watakuwa wamekufa zaidi ya kufa?

Sio dini wala imani na sayansi kwa ujumla inasema mtu fulani anakufa zaidi ya kufa.
Maisha ya kufa.
Ukifa muislam tena muumini -minailfazin. Ukifa muislam na makando kando'- Wallag aalam. Ukiwa nje ya uislam- Hasara kubwa
 
Wamemuua Ili kuiprove kuwa Quran ina nguvu

Kifupi ni kwamba wameamua kupigana kwa niaba ya Quran

Quran imeshindwa kujitetea ikabidi watu waiboost
Mwambie na huko aliko akusunye makafiri wenziwe wafanye maandamo kupinga kukaa ktk giza chini ya ardhi
 
Back
Top Bottom