Jamaa ameoa binti bila(shake well before use)baada ya ndoa amegundua mkewe ameharibiwa

Kwanini unukuu sehemu ndogo ya sentensi yangu kisha ufanye conclusion? Isome sentensi nzima utaelewa nilichokusudia... hata wewe siyo lazima uchangie posti yangu kama hujaelewa concept yangu...
Mimi nimeelewa kuwa wewe hujaelewa... πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Ye kajuajee
 
Inabidi ayajue madhara ya kufanya hivyo pia mshauri ampeleke kwa mwanasaikolojia ili aweze kumjenga
 
Aliwezaje kugundua kama na yeye cyo mdau wa hayo mambo(tgo),,,hapo inabidi aendelee kuishi na mkewe ila jambo lamsingi inabidi ampe ushauri mkewe juu ya madhara ya 0712,,, ili wasije wakaingia tena kwenye hiyo dhambi.
 
Mwambie aache ushamba ndoa itamshida jambo dogo kama hilo anashindwa kuvumilia sasa siku akipikiwa ugali mbichi si ndiyo atauwa kabisa
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!!!! Kwa hiyo hili dogo ila ugali mbichi kubwa????? Utakuwa mshirika si hivi hivi.......
 
Mwiteni yule mtunza Bk post ya juu hapo, ndo maana wanaume hawapendi kuuziwa Mbuzi kwenye gunia
 
Huyo jamaa anajuta kuwa angeduu before ndoa angejua matatizo hayo na asingemuoa huyo dada
 
Inasikitisha sana...

Kwa sababu haja "Shake well before use" kakuta kitu kime expire ni hasara yake..


cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…