jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Aliyekunywa sumu ndiyo hana akili timamu!!Huyo jamaa sura yake tu inaonesha hana akili timamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekunywa sumu ndiyo hana akili timamu!!Huyo jamaa sura yake tu inaonesha hana akili timamu
Bora angempiga risas afe haraka kuliko kushudia kifo cha mateso kiasi kileMbona yaonesha anapewa maziwa anakataa tumia?
Binafsi mtu akitaka jiua namsaidia ajiue mapema kwa kumpa mbinu bora
Wewe umemuona wa kumlaumu mwanaume tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hamna mtu anayetaka stress duniani, mwanaume akiwa pekeyake, anakuwa na amani na hamna madrama ndani ila mkija nyie mnataka mlete drama na stress halafu huyohuyo mwanaume unamtaka akusaidie na kukujali wakati nyie wenyewe mnawatukana na kuwadharau waume zenu na kuwaona kama vile mafala[emoji23][emoji23][emoji23] huku ukiona umemfanyia favor kuruhusu akuoe[emoji23][emoji23][emoji23], nyie wazima kweli. Muanze dharau, mumtukane na kumdharau mtu na kumpa majina yote huku mkimtenga kwakujikweza kuwa wewe ni bora kuliko mumewe. Makongamano na semina kibao za kujikweza na hapohapo kumdharau mmewe zimejaa kipindi hiki. Chakushangaza sasa, ukipata shida, mwanaume aje akusaidie chapu kama slave wako[emoji23][emoji23][emoji23]. Hivi kwani mwanaume hana moyo, mwanaume haoni anayofanyiwa, mwanaume haumii au mwanaume ni mtumwa wako. Dhana ya ndoa muiharibu wenyewe, leo useme usiolewe, unafikiri kuna mwanaume atakupinga, hata siku moja, kwasababu mmejikweza juu mno na kushusha position ya mme katika ndoa. Kama kujiua,wewe jiue tu maana mlishajitenga na dhana ya familia na kuwa miungu watu na kujiona wa thamani sana kuzidi mwenzako katika familia. Women, you're self centered people kuwahi kutokea ila hamjitambui, chakushangaza mkiwa na shida ndio mnataka huruma za mwanaume. Ishini matunda mliyoyapanda aisee. Acheni, kujifanya wanyonge wakati nyie ni sawa na mwanaume[emoji23][emoji23][emoji23]. Confused gender!
Nakataa sasaUnazingua ww
Doh, RIPNilishawahi kuwa na mahusiano ya namna hii, tena na Mwana JF wa humuhumu.
Niwaambie tuu this kind of relation ni ngumu sana ku handle na anytime unaweza jikuta behind bars. Ukiweza basi kitu inayoitwa mahusiano ama ndoa haitakusumbua maishani.
Huyo dada kwa sasa ni marehemu(RIP).
Wewe umeangalia upande mmoja tu, hivi unajua mtu akiteseka kupita kiasi anakuwa kama zombie na hajali tena. Ngoja nikwambie, mmechochea moyo wa chuki na hasira kwa wanaume mpaka basi ila kwakuwa hatuongei mnaona kila kitu kipo fresh. Roho mmezipandikiza nyie namnazichochea tu, usidhani mwanaume haumii. Tambua hili, mtu ambaye ni mkimya na mpole sana basi jua upande wake wa kushoto ni mbaya sana vilevie. Mkeo wa miaka 7, mbona ndoa fupi, hata hivyo kuwa wake sikuizi hamtaki mnataka kuitwa wanawake wa nguvu, wewe unavyoona jamaa amevumilia mangapi😂😂😂😂, mtu anafika point hajali yaani ndio anakusahau maradufu, watu wanasahau wazazi na ndugu wa damu wewe ni nani zaidi ya hao!!!! Yaani jua unapokichochea kitu na kupigilia msumari ndio moyo wa mtu hujaa ganzi maradufu, My sista, mwanaume atafika point mtaishi kama hamjuani. Unapanda chuki unategemea kuvuna upendo na huruma😂😂😂😂, nyie sio wazima. Tambua kwanza historia ya huyo mkewe na ujue alivyochochea maradufu moyo wa ganzi kwa mwanaume. Amejaribu several times kujiua sio mara moja. Halafu, mambo ya kuwaita wanaume wanaroho mbaya au sijui ndoa ni changamoto, tafuta chanzo au mzinzi. Mnashida na drama nyingi, nyie wenyewe hamjielewi tu😂😂😂. Nyie wenyewe kwa wenyewe mnauana(tafuta statistics za lesbian relationships au divorce) na mmeshindwana ndio mjue mlivyo dramatic. Halafu mwanaume hakutaka kumuua wala hakutaka mwanamke afe, yeye mwanamke alitaka afe probably apate kuprove anapendwa na mwanaume na bila yeye mwanaume hajiwezi. Stupid thoughts kama hizo, sizientertain, kama ndoa yako imedumu 7yrs na bado hujiamini basi fanya ufanyalo kwakuwa maisha yako yote utatafuta dramas kuprove kwamba unapendwa au ndoa yako nzuri sana. Makosa kama hayo jilaumuni nyie wenyewe wanawake msitaje kabisa wanaume kwakuwa kwanza mlishatudharau na kutudemeanize, leo ndio mnatukumbuka, 😂😂😂😂, jilaumuni wenyewe.My dear sikubaliani na wanawake kuleta drama, kuwadharau wanaume ambacho sikubaliani ni kuangalia mtu anakufa bila kumsaidia kabisa hata angekua adui yako usingemfanyia ivo sembuse mkeo wa miaka saba kwenye ndoa... muombe Mungu akuepushe na hiyo roho ya kikatili au usije kufa mbele ya mtu ambaye anataka ufe kiasi hicho i can imagine the pain
Lets be humans