Jamaa amrekodi mkewe akinywa sumu, mpaka kufariki dunia

Mbona yaonesha anapewa maziwa anakataa tumia?

Binafsi mtu akitaka jiua namsaidia ajiue mapema kwa kumpa mbinu bora
Bora angempiga risas afe haraka kuliko kushudia kifo cha mateso kiasi kile
 

My dear sikubaliani na wanawake kuleta drama, kuwadharau wanaume ambacho sikubaliani ni kuangalia mtu anakufa bila kumsaidia kabisa hata angekua adui yako usingemfanyia ivo sembuse mkeo wa miaka saba kwenye ndoa... muombe Mungu akuepushe na hiyo roho ya kikatili au usije kufa mbele ya mtu ambaye anataka ufe kiasi hicho i can imagine the pain
Lets be humans
 
Doh, RIP
 
Wewe umeangalia upande mmoja tu, hivi unajua mtu akiteseka kupita kiasi anakuwa kama zombie na hajali tena. Ngoja nikwambie, mmechochea moyo wa chuki na hasira kwa wanaume mpaka basi ila kwakuwa hatuongei mnaona kila kitu kipo fresh. Roho mmezipandikiza nyie namnazichochea tu, usidhani mwanaume haumii. Tambua hili, mtu ambaye ni mkimya na mpole sana basi jua upande wake wa kushoto ni mbaya sana vilevie. Mkeo wa miaka 7, mbona ndoa fupi, hata hivyo kuwa wake sikuizi hamtaki mnataka kuitwa wanawake wa nguvu, wewe unavyoona jamaa amevumilia mangapiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, mtu anafika point hajali yaani ndio anakusahau maradufu, watu wanasahau wazazi na ndugu wa damu wewe ni nani zaidi ya hao!!!! Yaani jua unapokichochea kitu na kupigilia msumari ndio moyo wa mtu hujaa ganzi maradufu, My sista, mwanaume atafika point mtaishi kama hamjuani. Unapanda chuki unategemea kuvuna upendo na hurumaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, nyie sio wazima. Tambua kwanza historia ya huyo mkewe na ujue alivyochochea maradufu moyo wa ganzi kwa mwanaume. Amejaribu several times kujiua sio mara moja. Halafu, mambo ya kuwaita wanaume wanaroho mbaya au sijui ndoa ni changamoto, tafuta chanzo au mzinzi. Mnashida na drama nyingi, nyie wenyewe hamjielewi tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Nyie wenyewe kwa wenyewe mnauana(tafuta statistics za lesbian relationships au divorce) na mmeshindwana ndio mjue mlivyo dramatic. Halafu mwanaume hakutaka kumuua wala hakutaka mwanamke afe, yeye mwanamke alitaka afe probably apate kuprove anapendwa na mwanaume na bila yeye mwanaume hajiwezi. Stupid thoughts kama hizo, sizientertain, kama ndoa yako imedumu 7yrs na bado hujiamini basi fanya ufanyalo kwakuwa maisha yako yote utatafuta dramas kuprove kwamba unapendwa au ndoa yako nzuri sana. Makosa kama hayo jilaumuni nyie wenyewe wanawake msitaje kabisa wanaume kwakuwa kwanza mlishatudharau na kutudemeanize, leo ndio mnatukumbuka, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, jilaumuni wenyewe.
 
Ana kunywa uku ana frahia alizani mende ni bibi zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…