Jamaa anamjali demu wake lakini demu anasema hana hisia na jamaa

Jamaa anamjali demu wake lakini demu anasema hana hisia na jamaa

Hii kitu imenishangaza sana kwa Hawa Viumbe.

Mshikaji ana muhudumia Demu kwa Kila Kitu, jioni anamfuata Kazini, na asubuhi anampeka Kazini (Privet Car).

Sasa Cha kushangaza Demu ananiambia "mi yule Bwana hata Sina hisia nae" mi nikajiongeza kumsemesha mambo ya mapenzi kajaa nimemvua chup, sasa hivi usiku huu, tupo Lodge.

Mimi tena, Kaingia bafuni mi Lete mama, akipumzika navuta pumzi Lete mama kataka mwenyewee mi ni mwendo wa kuweka tu. Iwe kitandani, sakafuni, mi nimwendo wa kumshona tu, kesho tukiamka Kila mtu kwako.

Jamaa anamjari Demu anasema Hana hisia nae, sasa hisia zake nimemwambia alete kwangu mm niwe namuweka Kila anapokua na mda aje alete papuchi.
Duh! Mzee unafaidi hadi naona wivu, vp mashine ya kunasia au Tokyo Tokyo?
 
Daaah sana mkuu its so 😢 😢 😢
Mkuu mi mwanamke kama huyo huwa anakata stimu kabisa..

Just imagine men mwenzangu ana pambana kunprovide all basic need but see how reaction anayopata aiseee..

Ukiwa hustle utajua how to respect wake za watu au mademu wa watu..

Unaweza jiona mjanja ila ukikua kiakili utajua ni ushamba tuu
Mkuu ni wewe au umemuazimisha mtu simu?
 
Kuna mmoja huyo jamaa yake kampangia bonge la nyumba, kila akija anamfungashia mahitaji kama yote, anaweza akaja na mkaa gunia mbili, gesi anajaza, mchele gunia yaana mazaga kama yoye, na wadogo zake demu anawahudumia ikiwemo shule. Lakini demu hampendi 😂 hawa viumbe hawa
Kuna wanaume ving'ang'anizi sana nyie hamjui tu. Ndo hao wanaishia kuchunwa wapenzi wao hawana hisia na wao.
Jifunzeni kukubali mkikataliwa.
 
Mwanangu uliye anzisha uzi

Kiukweli nimecheka ila daaah its so sad aiseeee mi mwanamke kama huyo wa kumponda man mwenzangu sijawi mwelewa aiseee...
Yaani mi sipendi mtu anaye mponda mwingine ili awe na chance ya kuliwa na mimi ...

Niliwahi acha maza moja hvi baada ya kuleta story zake sijui mumewe mlinZi , mara mumewe yupo bize mara hv mara vile..

Mi nafocas na wewe tuu mambo ya mumeo kaa nayo huko huko..

Kingine nikisikia mtu ni mke wa mtu huwa na ongeza despline sana maana kitu kingine ambacho sipendi ni kuona men mwenzangu ana struggling for her women alafu mi najilia tuu daaah hiyo siwezi..

Why na deal na mashangazi...
Ni kwa sababu ni watu ambao unakuta wapo lonely kinoma...

Washapitia magumu hvo hawana tena tumaini kutoka kwa rika lao..

Wanaishia kujifanya bize ila deep down wana upwiru ule wa kilogram 863Kg..

Broo never eat a woman who always talk about her man.... Huyo ni toxic
Kuna Jamaa alikuwa anakula Mke wa Mtu, mwenye mke alipogundua alikausha kama mwaka hivi ili jamaa ajisahau! Mwamba akatafuta Masela watatu na Mwanamke Mmoja, yule mwanamke ndio alikuwa kama chambo na alikuwa ni Malaya OG wale wa kujiuza kabisa alipopewa kazi ya kumnasa ilichukua kama wiki1 tu jamaa akajaa, akategeshewa dawa za kulevya kwenye Maziwa ya mwanamke, Nusu saa nyingi jamaa usingizi ukamkuta demu akawapigia wazee wa kazi, akapata Kifilo cha Maana huku yule mwanamke anakazi ya kumpiga picha tu, tena zilipigwa za style zote! baada ya tukio wadau wakaa kimya kwanza kama wiki mbili ili kumsikilizia muhanga kama atajisema au atakausha! kwa kuwa ni Tukio la Aibu mwamba akajikausha, picha zikasafishwa zikaenda kubandikwa kwenye vijiwe karibia vinne ambavyo mwamba huwa anapenda kuvimbia! hivi nnavyoandika hapa Mwamba amekimbia Mji na kwa sasa karudi kijijini kaenda kulima Mahindi.

MKE WA MTU SUMU.
 
Mwanangu uliye anzisha uzi

Kiukweli nimecheka ila daaah its so sad aiseeee mi mwanamke kama huyo wa kumponda man mwenzangu sijawi mwelewa aiseee...
Yaani mi sipendi mtu anaye mponda mwingine ili awe na chance ya kuliwa na mimi ...

Niliwahi acha maza moja hvi baada ya kuleta story zake sijui mumewe mlinZi , mara mumewe yupo bize mara hv mara vile..

Mi nafocas na wewe tuu mambo ya mumeo kaa nayo huko huko..

Kingine nikisikia mtu ni mke wa mtu huwa na ongeza despline sana maana kitu kingine ambacho sipendi ni kuona men mwenzangu ana struggling for her women alafu mi najilia tuu daaah hiyo siwezi..

Why na deal na mashangazi...
Ni kwa sababu ni watu ambao unakuta wapo lonely kinoma...

Washapitia magumu hvo hawana tena tumaini kutoka kwa rika lao..

Wanaishia kujifanya bize ila deep down wana upwiru ule wa kilogram 863Kg..

Broo never eat a woman who always talk about her man.... Huyo ni toxic
Kama ana akili timamu ameelewa,
 
Kuna Jamaa alikuwa anakula Mke wa Mtu, mwenye mke alipogundua alikausha kama mwaka hivi ili jamaa ajisahau! Mwamba akatafuta Masela watatu na Mwanamke Mmoja, yule mwanamke ndio alikuwa kama chambo na alikuwa ni Malaya OG wale wa kujiuza kabisa alipopewa kazi ya kumnasa ilichukua kama wiki1 tu jamaa akajaa, akategeshewa dawa za kulevya kwenye Maziwa ya mwanamke, Nusu saa nyingi jamaa usingizi ukamkuta demu akawapigia wazee wa kazi, akapata Kifilo cha Maana huku yule mwanamke anakazi ya kumpiga picha tu, tena zilipigwa za style zote! baada ya tukio wadau wakaa kimya kwanza kama wiki mbili ili kumsikilizia muhanga kama atajisema au atakausha! kwa kuwa ni Tukio la Aibu mwamba akajikausha, picha zikasafishwa zikaenda kubandikwa kwenye vijiwe karibia vinne ambavyo mwamba huwa anapenda kuvimbia! hivi nnavyoandika hapa Mwamba amekimbia Mji na kwa sasa karudi kijijini kaenda kulima Mahindi.

MKE WA MTU SUMU.
Huyo jamaa aliyebuni hiyo njia na uhakika asilimia 99 ni usalama wa taifa au ni mtu ambaye ana IQ 176..

Kwa mtu wa kawaida awezi fikilia utaalamu kama huo aiseeee..
Huyo jamaa ni genius

Sasa kuna watu watakuja hapa wataanza kusema jamaa alivyo fanyiwa sio fair imagine...
Ndo hapo naposemaga kuna watu wana mavi na matope kichwani..

Mkuu mke wa mtu ni sumu, hata asingekua sumu kama mtu unayejitambua kuwa na mipaka why unakula chakula halali cha mwenzio...

Mi sasa hv nikifatwa na mke wa mtu kwanza nampelekea kibio heavy vibao vibao alafu baada ya hapo namtafuta mumewe nae nachezeshea vitasa vitasa..

Alafu nawakalisha chini wote wawili nawakanda kisha nawapa somo kuhusu ndoa
 
Hii kitu imenishangaza sana kwa Hawa Viumbe.

Mshikaji ana muhudumia Demu kwa Kila Kitu, jioni anamfuata Kazini, na asubuhi anampeka Kazini (Privet Car).

Sasa Cha kushangaza Demu ananiambia "mi yule Bwana hata Sina hisia nae" mi nikajiongeza kumsemesha mambo ya mapenzi kajaa nimemvua chup, sasa hivi usiku huu, tupo Lodge.

Mimi tena, Kaingia bafuni mi Lete mama, akipumzika navuta pumzi Lete mama kataka mwenyewee mi ni mwendo wa kuweka tu. Iwe kitandani, sakafuni, mi nimwendo wa kumshona tu, kesho tukiamka Kila mtu kwako.

Jamaa anamjari Demu anasema Hana hisia nae, sasa hisia zake nimemwambia alete kwangu mm niwe namuweka Kila anapokua na mda aje alete papuchi.
Sample za mademu kama hao wapo wengi, ila ukichunguza kuna mwana/muhuni mmoja anagonga bila kutoa hata senti.

Siku hizi mapenzi ni hovyo unaweza ukawa mzuri kitandani ukapigwa chini na kibabu cheny kitambi chake ambacho kinakata mshiko ila kimoja chali. Unaweza ukajali sana kwa kutoa mshiko,ila kuna muhuni anagonga bila kutoa hata senti.
 
Kuna wanaume ving'ang'anizi sana nyie hamjui tu. Ndo hao wanaishia kuchunwa wapenzi wao hawana hisia na wao.
Jifunzeni kukubali mkikataliwa.
Kuwa mkweli demu gani amkatalie mwanaume mwenye hela? Kwenye hela mademu mnajipeka wenyewe na si sababu ya kupenda bali ni hela huku mkiwa na wahuni wenu.

Hii kitu nimesha ishuhudia hata huku makazini hasa kwenye mabank, utakuta demu kazi katafutiwa na kibopa, kapangishiwa na still hela anatumiwa, ila kuna muhuni anampenda ila huyo muhuni hana mkwanja. Akifikiria yy mwenyewe nidhamu ya matumizi hana na kiburi anapewa na huyo kipopa,anabaki kumuigizia tu ili aendelee kuvuna. Kwa mademu wa sasa ni watatu kati ya kumi wanaoweza kumkataa mwenye hela na haijalishi huyo jamaa ana umri gani.

Halafu siku hizi wengi wenu mnapresha kujitakia vikoba viwili, michezo miwili majina matatu kila mchezo, bado trend za mjini za fashion,simu,ndinga nk then mumkatalie mwanaume mwenye hela?
 
Kuwa mkweli demu gani amkatalie mwanaume mwenye hela? Kwenye hela mademu mnajipeka wenyewe na si sababu ya kupenda bali ni hela huku mkiwa na wahuni wenu.

Hii kitu nimesha ishuhudia hata huku makazini hasa kwenye mabank, utakuta demu kazi katafutiwa na kibopa, kapangishiwa na still hela anatumiwa, ila kuna muhuni anampenda ila huyo muhuni hana mkwanja. Akifikiria yy mwenyewe nidhamu ya matumizi hana na kiburi anapewa na huyo kipopa,anabaki kumuigizia tu ili aendelee kuvuna. Kwa mademu wa sasa ni watatu kati ya kumi wanaoweza kumkataa mwenye hela na haijalishi huyo jamaa ana umri gani.

Halafu siku hizi wengi wenu mnapresha kujitakia vikoba viwili, michezo miwili majina matatu kila mchezo, bado trend za mjini za fashion,simu,ndinga nk then mumkatalie mwanaume mwenye hela?
Yeah upo sahihi. Tufe njaa for what? Ni ujanja wako wewe kutambua kwamba hapa napendwa au napigwa. Sio shida zetu.
 
Back
Top Bottom