Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
kwa umri huu hayawezi kunikuta. Ila ukweli ndo huo nimesemaUsije yakakukuta ya Msichana wa Yombo sijui unamkumbuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa umri huu hayawezi kunikuta. Ila ukweli ndo huo nimesemaUsije yakakukuta ya Msichana wa Yombo sijui unamkumbuka?
Angekuwa anaweza kuvumilia asingeenda kuliwa na jamaa mwingine. Bila hisia havumiliki, na bila pesa havumiliki pia. Basi vurugu tupuHizi fix sio kwamba mwanaume kinganganizi semeni ukweli mwanamke anapata hudumu anavumilia ata kama hana hisia na mwanaume.
Huyo ndiye mwanamamaHii kitu imenishangaza sana kwa Hawa Viumbe.
Mshikaji ana muhudumia Demu kwa Kila Kitu, jioni anamfuata Kazini, na asubuhi anampeka Kazini (Privet Car).
Sasa Cha kushangaza Demu ananiambia "mi yule Bwana hata Sina hisia nae" mi nikajiongeza kumsemesha mambo ya mapenzi kajaa nimemvua chup, sasa hivi usiku huu, tupo Lodge.
Mimi tena, Kaingia bafuni mi Lete mama, akipumzika navuta pumzi Lete mama kataka mwenyewee mi ni mwendo wa kuweka tu. Iwe kitandani, sakafuni, mi nimwendo wa kumshona tu, kesho tukiamka Kila mtu kwako.
Jamaa anamjari Demu anasema Hana hisia nae, sasa hisia zake nimemwambia alete kwangu mm niwe namuweka Kila anapokua na mda aje alete papuchi.
Suala la kuliwa na mwanaume mwengine hiio ni nature ata mume na mke wana hisia tuwards each other lakini kuonja nje muhimuAngekuwa anaweza kuvumilia asingeenda kuliwa na jamaa mwingine. Bila hisia havumiliki, na bila pesa havumiliki pia. Basi vurugu tupu
Maaan sio kwa mda ule mkuu daaah,
Sijui Nina Tatizo Gani Itabidi siku nionane na Daktari huwa nalala Mda mcheche sana.. 1hrs Au 2hrs
Kuna mmoja sehemu ninayotafutia mkate aliwahi niambia nitashangaa sana ukiacha fursa hii, toto zuri kweli, nikasema wewe siwezi kuwa mfano wa uzembe kwa kukanyaga gridi ilihali ninauwezo wa kurukaa 🤣🤣🤣Kuna mmoja kapata VVU juzi alikuwa anajisifia kama wewe, alipotuonyesha demu, tukamwambia huyo dada mumewe ni mgonjwa, alipofuatilia akakuta kweli ni mgonjwa na alikuwa hataki kutumia dawa akisema hawezi kujichoresha eti anaenda kupewa dawa.
Jamaa alipoujua ukweli akaliuliza hilo pisi kali kuhusu ugonjwa, hilo pisi likasema nani ka kwambia, likamwambia hata wao hawajui maradhi ya huyo mumewe, wao waliambiwa ana kisukari sugu, na siyo VVU.
Jamaa alipoenda kupimwa kakutwa na maambukizi, katudanganya kaambiwa majibu yatatoka baada ya miezi 3 hadi 6.
Sisi tunamfahamu, kawa mpole ghafla, anakunywa pombe sio za kawaida, hataki kusema ukweli, habari za pisi kali hazisemi tena.
Ujanja umemuisha. Ana mke na watoto wawili wakubwa wako chuo.
Mnapolegezewa masharti muwe mnajiuliza pia kuhusu magonjwa. Unaweza kudhani umepata kumbe umepatwa.
Wengi wanasema hivyo umuone yeye wa maana sana...cha ajabu anamsema lakini anarudi kitanda kile kile kulala nae power breakfast anaiomba 😀Usidanganyike hizo ni akili za mwanamke kimalaya, (sina hisia nae simpendi) akipata mwingine atasema huko pia kwamba hakua na hisia na wewe...
Lakini angalia jamaa naye asije kukuweka katika MIXX Yako ya YASHii kitu imenishangaza sana kwa Hawa Viumbe.
Mshikaji ana muhudumia Demu kwa Kila Kitu, jioni anamfuata Kazini, na asubuhi anampeka Kazini (Privet Car).
Sasa Cha kushangaza Demu ananiambia "mi yule Bwana hata Sina hisia nae" mi nikajiongeza kumsemesha mambo ya mapenzi kajaa nimemvua chup, sasa hivi usiku huu, tupo Lodge.
Mimi tena, Kaingia bafuni mi Lete mama, akipumzika navuta pumzi Lete mama kataka mwenyewee mi ni mwendo wa kuweka tu. Iwe kitandani, sakafuni, mi nimwendo wa kumshona tu, kesho tukiamka Kila mtu kwako.
Jamaa anamjari Demu anasema Hana hisia nae, sasa hisia zake nimemwambia alete kwangu mm niwe namuweka Kila anapokua na mda aje alete papuchi.
Kuna mmoja huyo jamaa yake kampangia bonge la nyumba, kila akija anamfungashia mahitaji kama yote, anaweza akaja na mkaa gunia mbili, gesi anajaza, mchele gunia yaana mazaga kama yoye, na wadogo zake demu anawahudumia ikiwemo shule. Lakini demu hampendi 😂 hawa viumbe hawa
Ulichokiandika hapa ni utoto, kuliko kumla huyo daemunna kujisifia? How about ungenmsave huyo bro kwa kumpa ukweli?Hii kitu imenishangaza sana kwa Hawa Viumbe.
Mshikaji ana muhudumia Demu kwa Kila Kitu, jioni anamfuata Kazini, na asubuhi anampeka Kazini (Privet Car).
Sasa Cha kushangaza Demu ananiambia "mi yule Bwana hata Sina hisia nae" mi nikajiongeza kumsemesha mambo ya mapenzi kajaa nimemvua chup, sasa hivi usiku huu, tupo Lodge.
Mimi tena, Kaingia bafuni mi Lete mama, akipumzika navuta pumzi Lete mama kataka mwenyewee mi ni mwendo wa kuweka tu. Iwe kitandani, sakafuni, mi nimwendo wa kumshona tu, kesho tukiamka Kila mtu kwako.
Jamaa anamjari Demu anasema Hana hisia nae, sasa hisia zake nimemwambia alete kwangu mm niwe namuweka Kila anapokua na mda aje alete papuchi.
Wengi huwa hawaoni mitego iliyowazi, huwa wanadhani wanapendwa/kuzimikiwa kwa fikra zao, kumbe wanapewa kidonge cha sumu ambacho kiko coated na sugar.Kuna mmoja sehemu ninayotafutia mkate aliwahi niambia nitashangaa sana ukiacha fursa hii, toto zuri kweli, nikasema wewe siwezi kuwa mfano wa uzembe kwa kukanyaga gridi ilihali ninauwezo wa kurukaa 🤣🤣🤣
Mara nyingi wengi wanaona ni bahati wakiambiwa mambo kama hayo, wanawake ni viumbe wajanja sana...kuna mwingine ni mke wa rafiki yangu kipindi hicho ananiambia unaniona mimi mpolee mimi ni motowa kuotea mbali, baadae nilikuja pata taarifa zake nikasemaa eeh kweli maneno yale alikuwa anamaanishaWengi huwa hawaoni mitego iliyowazi, huwa wanadhani wanapendwa/kuzimikiwa kwa fikra zao, kumbe wanapewa kidonge cha sumu ambacho kiko coated na sugar.
Macho yanakurubuni yanaziba na brain unakuwa mjinga kabisa, halafu wewe binafsi unajiona mjanja.
Unakuja kushtuka, it is a little too late.
Leo akili zangu nii mbovuu sanaaaHii kitu imenishangaza sana kwa Hawa Viumbe.
Mshikaji ana muhudumia Demu kwa Kila Kitu, jioni anamfuata Kazini, na asubuhi anampeka Kazini (Privet Car).
Sasa Cha kushangaza Demu ananiambia "mi yule Bwana hata Sina hisia nae" mi nikajiongeza kumsemesha mambo ya mapenzi kajaa nimemvua chup, sasa hivi usiku huu, tupo Lodge.
Mimi tena, Kaingia bafuni mi Lete mama, akipumzika navuta pumzi Lete mama kataka mwenyewee mi ni mwendo wa kuweka tu. Iwe kitandani, sakafuni, mi nimwendo wa kumshona tu, kesho tukiamka Kila mtu kwako.
Jamaa anamjari Demu anasema Hana hisia nae, sasa hisia zake nimemwambia alete kwangu mm niwe namuweka Kila anapokua na mda aje alete papuchi.
Ni vijana wasiojielewa ndio hu fall kwenye hizo cheap traps.Mara nyingi wengi wanaona ni bahati wakiambiwa mambo kama hayo, wanawake ni viumbe wajanja sana...kuna mwingine ni mke wa rafiki yangu kipindi hicho ananiambia unaniona mimi mpolee mimi ni motowa kuotea mbali, baadae nilikuja pata taarifa zake nikasemaa eeh kweli maneno yale alikuwa anamaanisha