Jamaa anamjali demu wake lakini demu anasema hana hisia na jamaa

Kuna mmoja sehemu ninayotafutia mkate aliwahi niambia nitashangaa sana ukiacha fursa hii, toto zuri kweli, nikasema wewe siwezi kuwa mfano wa uzembe kwa kukanyaga gridi ilihali ninauwezo wa kurukaa 🀣🀣🀣
Hahah
 
Huyo ni malaya tu.
 
Kataa ndoa
 
Hahaha nimecheka sana
Gily Gru acha kula wake za watu litakukuta jambo
 
Hahahah nimecheka sana

Cc Gily Gru tumia akili dogo
 
Taarifa ganj mkuu za kukigawa au!
 
"Karma is a real bitch; a few years later, the same shit will come around."
 
Wakuu uhuni sio sifa,sifa ni welevu..huku ni kutufanya wajinga
 
very true , ila aqe makini kwenye dini tumwfundishwa ukipenda kuchezea dada au wake za wenzako, wakwako pia watachezewa hivyo hivyo tu ,kwahiyo huyu ndugu yetu asijione mjanja
 
very true , ila aqe makini kwenye dini tumwfundishwa ukipenda kuchezea dada au wake za wenzako, wakwako pia watachezewa hivyo hivyo tu ,kwahiyo huyu ndugu yetu asijione mjanja
Tena watachezewa buuuuuuuree
 
Npe connection yakin shangz
 
C vyema san unalotenda , , mwambie ajifunze kumpend jamaa kwakuw anamjali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…