Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

Hii chai umeweka pilipili nyingi sana, wapelekee wahindi
Soma post yangu hapo juu, Siwezi kuleta masihara KWENYE vitu serious Kama hivi.
Binafsi Naongea nnachokijua 100%
 
😂😂😂😂😂😂🤣
 
Update......
Mda huu shoga Ake katwambia Yuko kwao ila anaonekana Yuko normal kabisa anaendelea na shughuli zake.

Sisi huku tumeamua kuachana Naye, na dogo usiku wa Leo atalaa hapa hapa kwangu.

Kesho nayo tutaangalia tunaliwekaje.

Tunafikiria kuwahusisha wazazi wake dogo Ila tuone tunainusuru vipi hili suala, ila dogo kakataa kata kata hataki wazazi wake wajue chochote kinachoendelea.

Nawaza vitu vingi Sana,
Usingiz na uchovu wote umekata.

Sijui niamue lipi khs hili.
 
Mwajuma paka shume
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Unacheka ila unatakiwa kujua sijawai kuleta Uzi wowote Humu wa kuomba ushaur hata siku moja.

Siko hapa kutafta huruma au kufurahia kijiwe.

Na Kama unanifahamu vizur,
Sijawai kuleta nyuzi za kitoto kitoto Humu.

Am very serious with this brother, Naomba na wewe ulichukulie serious na kwa uzito wa Aina yake.

JF Ni kisima cha maarifa mkuu
 
Uyo mwanamke bado yuko hai adi saivi?


Papuchi ina nguvu
Mkuu,
afu mwanamke mwenywe anayezua hili balaa ukimuangalia wa kawaida Sana afu mpole ukimuona hata uwezi amini.
 
Akili za wanawake huwa wanazijua wenyewe

Huongwa na hisia sio uhalisia

Ndio wanawake na wanaume hata siku moja hawaweza kuwa sawa

Pamoja na campaign za mafeminists nature huwa inawakata fasta sana .

Liverpool VPN yuko sahihi kabisa
 
Akili za wanawake huwa wanazijua wenyewe

Huongwa na hisia sio uhalisia

Ndio wanawake na wanaume hata siku moja hawaweza kuwa sawa

Pamoja na campaign za mafeminists nature huwa inawakata fasta sana .

Liverpool VPN yuko sahihi kabisa
Yaan mkuu Kuna vitu unavitafakari hata haviingii akilini
 
Aisee nimesoma kama movie vile kumbe kweli, huyo dada hajamfanyia vizuri kabisa mwenzake yaani katema bigijii kwa karanga za kuonjeshwa shauri yake, tena anaenda kuolewa mke wa pili kweli🤔 Aargh siku atakiona kisanga cha mke mkubwa ndiyo atakumbuka umuhimu wa kumvumilia mwenzie ili waje kuoana awe mke halali kwenye ndoa yake peke yake.

Ushauri mi naona huyo kaka aendelee tu na maisha yake, aachane na huyo binti hana msimamo na hana shukrani licha ya yote mazuri aliyofanyiwa, angekuja kumsumbua huko baadaye. Ni kipindi kigumu ila with time he will be fine. Mpeni company asikae mwenyewe asijekujidhuru.

Ila wewe dada wewe umeshindwa kuwa na huruma hata kidogo kwa mtoto wa mwanamke mwenzio🙌
 
Shukran Sana mkuu[emoji120]
 

Mnahangaika nae wa kazi gani??? Mwacheni aende.
 
Dogo kawa Kama kachizi flan hivi, tangu kafika hapa home hata KWENYE Kochi hajakaa.

Analia TU chini Kama mtoto mdg
 
Mmmh! Sasa kama aliweza kumpangia bibie nyumba nzima ikaweje sasa ashindwe kuishi naye kwanza kwenye hizo nyumba za kupanga?
 
Aachane na huyo mwanamke apambanie maisha yake

Mimi sina imani na wanawake kabisa [emoji1787] yaani siwaamini kabisa ,
 
Aachane na huyo mwanamke apambanie maisha yake

Mimi sina imani na wanawake kabisa [emoji1787] yaani siwaamini kabisa ,
Yaani unawaza kabisa Kama kaweza mtendea hivi Ni binadamu gan uyu mwenye moyo wa kikatili namna Hii[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…