ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Mkuu kila mtu ana haki ya kusema yamfurahishayo. Yeye kasema yake ITV na wewe umesema yako Jamiiforum ngoma draw and thread closed.kuna mbuzi moja inaongea itv sasaivi anasema ukanda wa pwani ilikuwa mali ya zanzibar, bila kujua kuwa sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasaivi wazenji tu. jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi. kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Wapemba mnawasema sio wazanzibar Kwasababu ni weupe ndio ije kuwa sultan?
Dawa yao ni kuwafanya wilaya ya mkoa wa Pwanikuna mbuzi moja inaongea itv sasaivi anasema ukanda wa pwani ilikuwa mali ya zanzibar, bila kujua kuwa sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasaivi wazenji tu. jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi. kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Waende wakadai na huko sasa waache kuionea Tanganyika.sio pwani ya kwetu tu ni kuanzia pemba mozambique mpaka huko somalia ilikuwa inaitwa zanzibar kwa ujumla
Sasa waliuziwa wajerumani na sio nyinyi watanganyika.
Vipi hakutaja karne gani hiyo? Sikumsikia, ila pia sitaki kuamini kuwa hakuwa na weledi wa kutanabaisha kipindi au muda ili kuepuka sintofahamu.Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.
Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
hii ni sehemu ya historia tu hakuna aliyekuwepo wakati huo. Ni kama fundisho tu hakuna aliyesema 'undoing things'Yaani ukitaka kuangalia yaliyomo kwenye Heligoland Treaty ya 1890 inahusisha Malawi, Zanzibar kisiwa cha Heligoland kilichopo karibu na Germany ambacho kilikuwa mali ya Denmark kabla Uingereza haijakimiliki. Haya mambo yabaki kama yalivyo. You can't UNDO them
Hata ingekuwa kweli kwanini tuendelee kutetea mipaka waliyoweka wakoloni na kabla ya wakoloni ilikuwa inamilikiwa na nani?Sio Pwani ya kwetu tu ni kuanzia pemba mozambique mpaka huko somalia ilikuwa inaitwa zanzibar kwa ujumla
halafu unaona fahari kuita mwenzako mbuzi, wewe uitwe mnyama gani?Kuna mbuzi moja inaongea ITV sasa hivi anasema ukanda wa Pwani ilikuwa mali ya Zanzibar, bila kujua kuwa Sulatan aliuza kwa wajerumani, hadi visiwa vya Mafia vikauzwa kwa mjerumani yeye akabaki na visiwa vile wanavyomiliki sasa hivi wazenji tu.
Jamaa ana sura ya kiarabu fulani hivi, kama kuongea muungano waongee tu ila waache kuleta sera za uongo kwamba kuna maeneo bara ni ya kizazibar.
Sasa waliuziwa wajerumani na sio nyinyi watanganyika.
hiyo ilikuwa kabla ya berlin conference, hence mipaka ya wakoloniHata ingekuwa kweli kwanini tuendelee kutetea mipaka waliyoweka wakoloni na kabla ya wakoloni ilikuwa inamilikiwa na nani?
Hujui mipaka ya Afrika inatambuliwa kwa kutumia sheria zipi. Mipaka iliyorithiwa kwenye uhuru ndio inatumikaSasa waliuziwa wajerumani na sio nyinyi watanganyika.
Mambo mengine yanachekesha sana, yani Mwarabu atoke zake huko Oman aje kutua Zanzibar kisha auze ardhi ya Wandengereko, Wazaramo, Wasukuma, Wachaga, Wapogoro n.k kwa Wajerumani halafu watu watilie maanani upumbavu kama huo.
Hata ingekuwa kweli kwanini tuendelee kutetea mipaka waliyoweka wakoloni na kabla ya wakoloni ilikuwa inamilikiwa na nani?
Technically na wao Waliuziwa, historia ipo ila watu wanai ignore na kufuata tu Utashi wao.Hehehe ila aliyeuza alivitoa wapi, maana Mwarabu Sultan sio Mbantu, yeye katokea huko Uarabuni na kuja kuuza ardhi ya watu aliyoikuta.
Mwarabu hawezi kuwazuia Wazungu ardhi ya Waafrika. Hakuna kitu kama hicho.
Hujui mipaka ya Afrika inatambuliwa kwa kutumia sheria zipi. Mipaka iliyorithiwa kwenye uhuru ndio inatumika