Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani

Na wachukue tu sehemu za tuone hizi mbu zinazoishi Dar ati zinatuita sisi wabara zitaenda wapi.
 
Katumwa kupima upepo
 
halafu unaona fahari kuita mwenzako mbuzi, wewe uitwe mnyama gani?

Hata ustaarabu huna, kama hujui historia si utulie tu ujifunze kwa ustaarabu.
mimi ni simba. ila wewe nahisi ni kuku.
 

Kwa hivyo tukifuata nadharia yako ya kuuziana, basi huyo mwarabu hana chake, alishauza na kutia hela mfukoni.
 
Hiyo ilikuwa biashara ya utapeli,
 
Hivi kwani kila mmoja akila hamsini zake ni dhambi?maana hawa wazenji wanaonaga tunawanyonya kumbe the viceversa is true....labda kama kuna ishu za kiusalama hapo sawa
 
Jitahidini kusoma, msikubaki kuondoka/kumaliza shule kama ujinga haujawatoka.
 
Kwa hivyo tukifuata nadharia yako ya kuuziana, basi huyo mwarabu hana chake, alishauza na kutia hela mfukoni.
Kwani mada inasemaje? Yani Nyie jamaa mna chuki mpaka zina Cloud judgement zenu, mada ipo clear inazungumzia past Tense,

"

Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani"​


Anazungumzia Historia kwamba Zanzibar ilikua ni Ukanda wote wa Pwani kuanzia Msumbiji hadi Somalia, mpaka Mombasa ilikua ni zanzibar.

Tayari wewe na michuki chuki yako umeshatafsiri zanzibar wanaitaka Pwani ya Africa Mashariki.

Hao waoman sasa hivi Wana pesa Chafu hata hawana time na Hio pwani yenu.
 
Sio iliyogawiwa Berlin 1984?
Iliyogawanywa Ujerumani ilifanywa na wakoloni, iliyopokelewa kwenye uhuru ilifanywa na wakoloni vilevile. Hivyo sheria au amendment inayofuata ndio hutumika badala ya iliyotumika previous. Ukiwa unaitwa Michael kisheria, kisha ukabadili jina na kuitwa Rashid kisheria, jina litakalotumika kisheria ni Rashid.

Baada ya Berlin Conference bado kulikuwa na treaties mbalimbali kama Heligoland na inatumika hadi leo kwa nchi kama Namibia hadi Tanzania
 

Kama ni historia basi tuanze kabla ujio wa mwarabu...
 
Ooh kumbe una ujamaa na mbuzi?
 
Kuna mbuzi mmoja anaongea hivi ndio sawa.
 
Sisi watu wa bara kiswahili sio lugha yetu alipo sema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa pwani tatizo liko wapi?(ilikuwa inamiliki)au chuki tu ya kuwachukia wazazibar inakusumbua
 
Kwa hiyo bara ni aridhi ya mjerumani sio?
 
Huyo kavimbiwa uji aisee anataka kuja kuharishia huku bara tumpuuze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…