The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"Si haki, chukua shillingi elfu 50 mwambie kaka asantee Kwa mchango wako sina kikubwa chakukupa lakini hiki kinatosha. Kisha baada yahapo mkatae, kwani lazima utoke nae out?. Akikuambia mtoke ukamuambia hauko vizuri kifedha atakulazimisha?.
Jifunze kusema hapana.
Asante...nifanyaje?Pole mkuu
Huyo sio Jamaa,mkatae .Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
Acha kunywa bia, Anza kwenda kwenye ibada, Automatic atakukwepa maana itakuwa njia yako sio yake.Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia.
Elf hamsini haitoshi ampe laki tatu 300k au 500kSi haki, chukua shillingi elfu 50 mwambie kaka asantee Kwa mchango wako sina kikubwa chakukupa lakini hiki kinatosha. Kisha baada yahapo mkatae, kwani lazima utoke nae out?. Akikuambia mtoke ukamuambia hauko vizuri kifedha atakulazimisha?.
Jifunze kusema hapana.
Dah uyu jamaa anataka niwe namuabudu sasaHuyo Si Jamaa Anataka Commission Kila Mwezi Kama Fungu La Kumi.
Note: Jamaa Wa Kweli Ni Yule Mnaoendelea Kuwa Vyema (Mutual Benefit) Pande Zote Mbili Hapa Inajumuisha Kimawazo Pia.
ilkuwaje?Elf hamsini haitoshi ampe laki tatu 300k au 500k
Jamaa atatulia
fanya hayo vinginevyo jamaaa atakufanyia hila utolewe kazini
Mm yamenikutaaa hayo
Hadi lini Sasa?Vumilia, narudia tena vumilia hakuna marefu yasiyo na ncha
Nmefanyaje Tena?Mpuuzi wewe