The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
- Thread starter
- #41
Mimi ni atheist kote siendiKama wewe ni unaenda kwa waganga mloge . Kama ni wamaombi mfungue siku kadha itafurahia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni atheist kote siendiKama wewe ni unaenda kwa waganga mloge . Kama ni wamaombi mfungue siku kadha itafurahia
Dah kwa saivi kibongo bongo bila connection hutoboiUmenikumbusha kuna habari moja ya mshua mmoja na Kigogo wa CCM.
Huyo mshua alikuw mtumishi wa shirika moja kubwa la umma kwa muda mrefu, alikuwa anakaribia kupata kazi ya juu kabisa ya uteuzi wa rais katika shirika hilo, moja kati ya kazi nzuri kabisa Tanzania.
Alikuwa anajuana na kada mmoja mkubwa sana wa CCM. Sasa yule kada akamwambia mshua yule, hizi kazi kubwa huwezi kupata bila kupewa introduction kwa rais, kwa hivyo jiandae nikakupe introduction kwa rais. Ukiwa tayari nipigie simu nikuunganishie tuende Ikulu ukaongee na rais.
Yule mshua kwa heshima akakubali. Halafu akaipotezea kabisa ile issue.
Yuke kada mkubwa wa CCM akawa anasubiri kupigiwa simu, lakini akawa hasikii kitu. Yule mshua akaipotezea issue.
Mwishowe kabisa, rais akamteua yuke mshua, bika ya yule mshua kupewa introduction kwa rais na kada wa CCM.
Siju moja miaka mingi baadaye, nikamuuliza yule mshua, kwa nini hukumpigia simu yule kada wa CCM ukapewe introduction kwa rais? Huoni kama ulikuwa unachezea shilingi chooni? Huoni kwamba ungeweza kukisa uteuzi kwa ajizi zako tu?
Yule mshua akaniambia, Kiranga, ningepelekwa kwa rais tu na yule kada wa CCM, basi miaka yote angejitapa kwamba yeye ndiye kanipatia ike kazi, na nisingeweza kufanya kazi yangu kwa uhuru. Najivunia sana ukweli kwamba rais ameniteua mwenyewe bila ya mimi kuoelekwa kwake na mtu kupewa introduction.
Tatizo lako umepata kazi kwa cinnection ya ntu, na huyo mtu anajiona ana nguvu juu yako kwa sababu kakutafutia wewe hiyo kazi.
Kwa mshahara wa TZS 2,500,000, ulikuwa sawa kumpa 30k?Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
Acha kazi mkuu, haiwezekani jamaa akutese hivyo na wakulungwa tunaangalia tuWasalaam,
Nilikuwa down bad, Yani nimepigika kinoma, Yani apeche alolo, Yani mbombo ngafu, Yani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee.
Kula ya mashaka, kulala kama ndege.
ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila sku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru Kila mshahara ukitoka.
Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia.
Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso Sasa .... nifanyaje?
Ukizidiwa na kero zake mtoe out halafu mwekee sumu kwenye bia akafie mbali uepukane na kero zakeKuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
Let the brain work.Kwanzaa huyo jamaa muelezee matatizo yako kila mwezi yaani wewe kila kukicha mpe misala mpaka ahisi una mikosi. Ata achana na wewe.
Usikae umwambie jambo lako zuri ata moja wewe simulia matatizo tu. Hii itamfanya afurahie na apunguze kukusumbua. Tumia akili sana
Kumbe unajua bila connection ya jamaa usingetoboa? Sasa ndo uwe unampa kila anapotaka maokoto, km vipi acha kazi aliyo kuunganisha afu upambane mwenyewe kwa uhuru.Dah kwa saivi kibongo bongo bila connection hutoboi
Wasalaam,
Nilikuwa down bad, Yani nimepigika kinoma, Yani apeche alolo, Yani mbombo ngafu, Yani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee.
Kula ya mashaka, kulala kama ndege.
ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila sku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru Kila mshahara ukitoka.
Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia.
Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso Sasa .... nifanyaje?
Muache ajichanganye amkatae kibabee, mbna kazi enyewe atakosaa.kuna jamaa kakupa ushauri wa kwenda kanisani ili kumkwepa jamaa ako, mm nakushauri ukoka kimchongo, kila ukitoka kazini nenda kanisani na umwambie kabisa jamaa kuwa umeamua kuokoka kwani ya dunia yamekurhinda, weekend yote we kanisani tu, akikuchek mjbu kwa sms nipo church, huko kwenye ulokole usje ukazama mazima utajuta, uwe unaenda kwa pw, jamaa atajitenga na ww bila shida yoyote.
ukisema unamkataa jamaa kitabe atakuharibia nakuapia.
Mbaya zaid wanafanya kazi sehemu moja, ningekuwa mm yaani ningeanza kutembea na bible kila niengapo, jamaa angejitenga na mm bila kupenda, maana kama tunakuwa kwenye usafir labda kanipa lift mm ni mapambio kwa kwenda mbele.Muache ajichanganye amkatae kibabee, mbna kazi enyewe atakosaa.
Wanatudhalilisha Sana, huwa sichangii hata siku moja page ya JF Facebook.Hii thread ikienda facebook, utasikia "Mdau wa JamiiForums anaomba ushauri..."*
Sasa mkuu nifanyaje wakati yeye ndo kanipa mchongoMueleze kwa uwazi (ila kwa busara) jinsi usivyoridhika na yeye kukufanya kitega uchumi baada ya kukusaidia.
Atachukia ila ujumbe utakuwa umefika na ninaamini hatakufuata tena.
Usiwe mnyonge hivyo..onyesha hisia zako kwa anayekufurahisha au anayekuudhi. Utaheshimika sana.
Kwa maelezo yako inaonesha wazi unaishi kinafiki na huyo rafiki yako.
Kwa kifupi wewe ni mnafiki.
Acha hiyo kazi aliyokutafutia. Halafu urudi kwenye maisha yako ya zamani.Wasalaam,
Nilikuwa down bad, Yani nimepigika kinoma, Yani apeche alolo, Yani mbombo ngafu, Yani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee.
Kula ya mashaka, kulala kama ndege.
ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila sku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru Kila mshahara ukitoka.
Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia.
Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso Sasa .... nifanyaje?
Mbona wengine michongo kama hiyo mshahara wa Kwanza anachukuwa aliyedalalia mchakato?Sasa mkuu nifanyaje wakati yeye ndo kanipa mchongo
Hii kali sasa daah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbaya zaid wanafanya kazi sehemu moja, ningekuwa mm yaani ningeanza kutembea na bible kila niengapo, jamaa angejitenga na mm bila kupenda, maana kama tunakuwa kwenye usafir labda kanipa lift mm ni mapambio kwa kwenda mbele.