Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Umenikumbusha kuna habari moja ya mshua mmoja na Kigogo wa CCM.

Huyo mshua alikuw mtumishi wa shirika moja kubwa la umma kwa muda mrefu, alikuwa anakaribia kupata kazi ya juu kabisa ya uteuzi wa rais katika shirika hilo, moja kati ya kazi nzuri kabisa Tanzania.

Alikuwa anajuana na kada mmoja mkubwa sana wa CCM. Sasa yule kada akamwambia mshua yule, hizi kazi kubwa huwezi kupata bila kupewa introduction kwa rais, kwa hivyo jiandae nikakupe introduction kwa rais. Ukiwa tayari nipigie simu nikuunganishie tuende Ikulu ukaongee na rais.

Yule mshua kwa heshima akakubali. Halafu akaipotezea kabisa ile issue.

Yuke kada mkubwa wa CCM akawa anasubiri kupigiwa simu, lakini akawa hasikii kitu. Yule mshua akaipotezea issue.

Mwishowe kabisa, rais akamteua yuke mshua, bika ya yule mshua kupewa introduction kwa rais na kada wa CCM.

Siju moja miaka mingi baadaye, nikamuuliza yule mshua, kwa nini hukumpigia simu yule kada wa CCM ukapewe introduction kwa rais? Huoni kama ulikuwa unachezea shilingi chooni? Huoni kwamba ungeweza kukisa uteuzi kwa ajizi zako tu?

Yule mshua akaniambia, Kiranga, ningepelekwa kwa rais tu na yule kada wa CCM, basi miaka yote angejitapa kwamba yeye ndiye kanipatia ike kazi, na nisingeweza kufanya kazi yangu kwa uhuru. Najivunia sana ukweli kwamba rais ameniteua mwenyewe bila ya mimi kuoelekwa kwake na mtu kupewa introduction.

Tatizo lako umepata kazi kwa cinnection ya ntu, na huyo mtu anajiona ana nguvu juu yako kwa sababu kakutafutia wewe hiyo kazi.
Dah kwa saivi kibongo bongo bila connection hutoboi
 
Wasalaam,
Nilikuwa down bad, Yani nimepigika kinoma, Yani apeche alolo, Yani mbombo ngafu, Yani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee.
Kula ya mashaka, kulala kama ndege.

ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.


Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila sku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru Kila mshahara ukitoka.
Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia.
Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso Sasa .... nifanyaje?
Acha kazi mkuu, haiwezekani jamaa akutese hivyo na wakulungwa tunaangalia tu
 
kuna jamaa kakupa ushauri wa kwenda kanisani ili kumkwepa jamaa ako, mm nakushauri ukoka kimchongo, kila ukitoka kazini nenda kanisani na umwambie kabisa jamaa kuwa umeamua kuokoka kwani ya dunia yamekurhinda, weekend yote we kanisani tu, akikuchek mjbu kwa sms nipo church, huko kwenye ulokole usje ukazama mazima utajuta, uwe unaenda kwa pw, jamaa atajitenga na ww bila shida yoyote.
ukisema unamkataa jamaa kitabe atakuharibia nakuapia.
 
Wasalaam,
Nilikuwa down bad, Yani nimepigika kinoma, Yani apeche alolo, Yani mbombo ngafu, Yani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee.
Kula ya mashaka, kulala kama ndege.

ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.


Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila sku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru Kila mshahara ukitoka.
Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia.
Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso Sasa .... nifanyaje?

Si ajabu kwa wenye kusaidiwa kuwachukia na hata kuwasengenya waliowafikisha walipo:

IMG-20230724-WA0002.jpg


Wanasema shukurani ya punda ni mateke.
 
kuna jamaa kakupa ushauri wa kwenda kanisani ili kumkwepa jamaa ako, mm nakushauri ukoka kimchongo, kila ukitoka kazini nenda kanisani na umwambie kabisa jamaa kuwa umeamua kuokoka kwani ya dunia yamekurhinda, weekend yote we kanisani tu, akikuchek mjbu kwa sms nipo church, huko kwenye ulokole usje ukazama mazima utajuta, uwe unaenda kwa pw, jamaa atajitenga na ww bila shida yoyote.
ukisema unamkataa jamaa kitabe atakuharibia nakuapia.
Muache ajichanganye amkatae kibabee, mbna kazi enyewe atakosaa.
 
Hii thread ikienda facebook, utasikia "Mdau wa JamiiForums anaomba ushauri..."*
Wanatudhalilisha Sana, huwa sichangii hata siku moja page ya JF Facebook.

Kuna miaka ya nyuma JF ilipigwa bonge Cyber attack ikawa down tulihamishiwa Facebook Kwa muda wakati main site wanapambana kurudisha hewani ndio Angalau nilikuwa na comment Kule Facebook.
 
Mueleze kwa uwazi (ila kwa busara) jinsi usivyoridhika na yeye kukufanya kitega uchumi baada ya kukusaidia.

Atachukia ila ujumbe utakuwa umefika na ninaamini hatakufuata tena.
Usiwe mnyonge hivyo..onyesha hisia zako kwa anayekufurahisha au anayekuudhi. Utaheshimika sana.
Kwa maelezo yako inaonesha wazi unaishi kinafiki na huyo rafiki yako.

Kwa kifupi wewe ni mnafiki.
 
Mueleze kwa uwazi (ila kwa busara) jinsi usivyoridhika na yeye kukufanya kitega uchumi baada ya kukusaidia.

Atachukia ila ujumbe utakuwa umefika na ninaamini hatakufuata tena.
Usiwe mnyonge hivyo..onyesha hisia zako kwa anayekufurahisha au anayekuudhi. Utaheshimika sana.
Kwa maelezo yako inaonesha wazi unaishi kinafiki na huyo rafiki yako.

Kwa kifupi wewe ni mnafiki.
Sasa mkuu nifanyaje wakati yeye ndo kanipa mchongo
 
Wasalaam,
Nilikuwa down bad, Yani nimepigika kinoma, Yani apeche alolo, Yani mbombo ngafu, Yani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee.
Kula ya mashaka, kulala kama ndege.

ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.


Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila sku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru Kila mshahara ukitoka.
Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia.
Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso Sasa .... nifanyaje?
Acha hiyo kazi aliyokutafutia. Halafu urudi kwenye maisha yako ya zamani.
 
Sasa mkuu nifanyaje wakati yeye ndo kanipa mchongo
Mbona wengine michongo kama hiyo mshahara wa Kwanza anachukuwa aliyedalalia mchakato?

Kwa kifupi wewe ni mduwanzi Fulani tu.

Kama unalipwa kweli 2.5 unashindwa Vipi kumpa jiwe tano kwenye bahasha na kumwambia Thank you

Mafala mafala mpo wengi Sana, halafu ajabu ndio mnaotobowa wakati watu wenye akili wanaendelea kutubu tu.
 
Back
Top Bottom