Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado atavizia tarehe za mshahara kunililia shidaAcha kunywa bia, Anza kwenda kwenye ibada, Automatic atakukwepa maana itakuwa njia yako sio yake.
Nimsitiri kwani yupo uchi? We unaona achokifanya ni sawa?Wewe una tabia ya uchoyo na ubinafsi. Mtu mwenye busara angemsitiri jamaa yake na sio kuja kuandika uzi hapa. Wewe kama unashindwa ku-handle suala dogo kama hilo hata hiyo ajira unaweza ukaipoteza. Ninaungana na mwanauvinza kwamba uache kazi ili kumkomesha
Hadi ujipange kusavaivu nje ya hiyo kaziHadi lini Sasa?
Dah tupo nae kazn Sasa apaBadili mfumo wa maisha kwa ajili yake, au kama unaroho ngumu mkatae
Apige moyo konde mwezi mmoja ajinyime amtie miliooElf hamsini haitoshi ampe laki tatu 300k au 500k
Jamaa atatulia
fanya hayo vinginevyo jamaaa atakufanyia hila utolewe kazini
Mm yamenikutaaa hayo
Umenikumbusha kuna habari moja ya mshua mmoja na Kigogo wa CCM.Wasalaam,
Nilikuwa down bad, Yani nimepigika kinoma, Yani apeche alolo, Yani mbombo ngafu, Yani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee.
Kula ya mashaka, kulala kama ndege.
ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila sku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru Kila mshahara ukitoka.
Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia.
Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso Sasa .... nifanyaje?
😅 😅 😅 😅 😅 😅 Naunga mkono hoja! Aache kazi ili amkomeshe!Acha kazi kumkomesha,simple
DuhApige moyo konde mwezi mmoja ajinyime amtie milioo
Yap washkaji wengine feki wanadhani kila ikiwika jogoo ni asubuhJapo alikusaidia ila huyo jamaa mshamba na snitch sio mshkaji wa kweli. Mshikaji wa kweli huwa tunapeana deal halafu tunasahau... Yaani huwazi.
Kwahyo nimfanyeje?Mkuu never let anyone disgrace you, kisa ali kusaidia.
👉Enjoy your time on your own way, hatukatai kusaidiana ni muhimu ila too much blabbing is harmful.
Shida bro ya jamii yetu ni blabbing and blabbering isiyo faa.Umenikumbusha kuna habari moja ya mshua mmoja na Kigogo wa CCM.
Huyo mshua alikuw mtumishi wa shirika moja kubwa la umma kwa muda mrefu, alikuwa anakaribia kupata kazi ya juu kabisa ya uteuzi wa rais katika shirika hilo, moja kati ya kazi nzuri kabisa Tanzania.
Alikuwa anajuana na kada mmoja mkubwa sana wa CCM. Sasa yule kada akamwambia mshua yule, hizi kazi kubwa huwezi kupata bila kupewa introduction kwa rais, kwa hivyo jiandae nikakupe introduction kwa rais. Ukiwa tayari nipigie simu nikuunganishie tuende Ikulu ukaongee na rais.
Yule mshua kwa heshima akakubali. Halafu akaipotezea kabisa ile issue.
Yuke kada mkubwa wa CCM akawa anasubiri kupigiwa simu, lakini akawa hasikii kitu. Yule mshua akaipotezea issue.
Mwishowe kabisa, rais akamteua yuke mshua, bika ya yule mshua kupewa introduction kwa rais na kada wa CCM.
Siju moja miaka mingi baadaye, nikamuuliza yule mshua, kwa nini hukumpigia simu yule kada wa CCM ukapewe introduction kwa rais? Huoni kama ulikuwa unachezea shilingi chooni? Huoni kwamba ungeweza kukisa uteuzi kwa ajizi zako tu?
Yule mshua akaniambia, Kiranga, ningepelekwa kwa rais tu na yule kada wa CCM, basi miaka yote angejitapa kwamba yeye ndiye kanipatia ike kazi, na nisingeweza kufanya kazi yangu kwa uhuru. Najivunia sana ukweli kwamba rais ameniteua mwenyewe bila ya mimi kuoelekwa kwake na mtu kupewa introduction.
Tatizo lako umepata kazi kwa cinnection ya ntu, na huyo mtu anajiona ana nguvu juu yako kwa sababu kakutafutia wewe hiyo kazi.
Yep manJapo alikusaidia ila huyo jamaa mshamba na snitch sio mshkaji wa kweli. Mshikaji wa kweli huwa tunapeana deal halafu tunasahau... Yaani huwazi.