The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
- Thread starter
- #81
Natakiwa nimpe ngapi?Kweli ndiyo uumpe 30!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natakiwa nimpe ngapi?Kweli ndiyo uumpe 30!!!
Kwani amemtaja jina? We umemfahamu huyo jamaa?Wewe una tabia ya uchoyo na ubinafsi. Mtu mwenye busara angemsitiri jamaa yake na sio kuja kuandika uzi hapa. Wewe kama unashindwa ku-handle suala dogo kama hilo hata hiyo ajira unaweza ukaipoteza. Ninaungana na mwanauvinza kwamba uache kazi ili kumkomesha
Kabla gari haijaondoka unamwambia tusali. Hamjakaa sawa unamsimulia kisa cha Absalomu mwana wa Daudi🤣Yeye mwenyewe ataanza kukukimbiaMbaya zaid wanafanya kazi sehemu moja, ningekuwa mm yaani ningeanza kutembea na bible kila niengapo, jamaa angejitenga na mm bila kupenda, maana kama tunakuwa kwenye usafir labda kanipa lift mm ni mapambio kwa kwenda mbele.
Acha hiyo kazi aliyokutafutia, tafuta kazi nyingine wewe mwenyewe.Wasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Kwa kazi ya 30m kwa mwaka ungempa hata 1m. Hiyo ni ahsante rasmi.Natakiwa nimpe ngapi?
Tafuta kazi nyingine. Ni rahisi kupata kazi ukiwa na kaziWasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Kabla gari haijaondoka unamwambia tusali. Hamjakaa sawa unamsimulia kisa cha Absalomu mwana wa Daudi
Inategemea mshahara wako ukoje kama unaweza mpe laki mbili halafu achana naye. Akiendelea kukwambia mtoke mwambie toka na mkeo!Wasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Basi mwambie ukweli kiakiliMimi ni atheist kote siendi
Wasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Acha kunywa pombe. Kumbuka ulikotoka mwambie rafiki yako umeamua kuacha pombe Anza kuhudhuria ibada mara kwa mara. Especially ukienda usabato kule utakuepo salama kwasababu hakuna ukiritimba wa michango mingi. Ukiendelea hivyo hivyo utakuepo mtumwa wake wa rafik yakoWasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
ndo hvo ss unafanyeje kujitenga na mtu kama huyo, akiniomba hela nafungua bible namsomea kuhusu fungu la kumi na malimbuko, nampa ufafanuzi kwamba tunatakiwa kuwasaidia wenye uhitaji na sio ambao hawana, namwambia wewe una kazi kwa hyo unatakiwa kusaidia na sio kusaidiwa, namtaka tuende kwenye kituo cha watoto yatima kutoa msaada mshahara ukitoka, hajakaa sawa namwambia hata pombe, soda, juice etc anatakiwa kuacha awe anakunywa maji tu, mbona ataniona kama nimechanganyikiwa na atanikimbia mwenyewe.Hii kali sasa daah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan uongo? Bila yeye ungekua uko kwenu unakula machungwa, km vipi acha hapo kazi afu uone km utatoboa. Ndo akili itakukaaa.Ye anataka Kila mwezi Sasa nimkumbuke...Kila tarehe za mshahara anasema "unaona dogo, bila mim ungekuwa nyumban saiv unaokota mapera"
Kuacha kazi hatakii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakazia
Ila yeye kukupa kazi aliweza? Bas ndo utakoma kudaiwa hela kila mda.We kuweza?
Nakazia.Acha hiyo kazi aliyokutafutia, tafuta kazi nyingine wewe mwenyewe.
Ukihisi huwezi basi jua jamaa anastahili kujimwambafy