Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

ndo hvo ss unafanyeje kujitenga na mtu kama huyo, akiniomba hela nafungua bible namsomea kuhusu fungu la kumi na malimbuko, nampa ufafanuzi kwamba tunatakiwa kuwasaidia wenye uhitaji na sio ambao hawana, namwambia wewe una kazi kwa hyo unatakiwa kusaidia na sio kusaidiwa, namtaka tuende kwenye kituo cha watoto yatima kutoa msaada mshahara ukitoka, hajakaa sawa namwambia hata pombe, soda, juice etc anatakiwa kuacha awe anakunywa maji tu, mbona ataniona kama nimechanganyikiwa na atanikimbia mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
we nae ni fala tu mshahara wote huu unalia lia nini kumnunulia mtu tubia na tunyama?

bila yeye ungeshaanza kutumia madawa ya Kulevya Kima wewe😡😡😡
Screenshot_20240127-090510.jpg
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?

Chai...
Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"

Thread 'Kwa huu mshahara, take home ni shingapi?' Kwa huu mshahara, take home ni shingapi?
 
Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
Hongera mil 30 per annual. Wengine tuna earn 12 mil per annual, ukizingatia mtu una direct dependants 7.

Da kazi kweli kweli/ job true true Mjanja M1

Cha kufanya kama ulivyosema kuwa ni jamaa Yako, lakini tunajua huyo hafai hata kuwa rafiki. Chukua mil 1 iweke kwenye bahasha kishi mfuate kwake, piga naye stori za kukumbushia alipokutoa kipindi unapitia wakati mgumu, halafu mkabidhi hiyo bahasha na uwambie kabisa kuwa hiyo ni shukrani.

Kingine mkuu kama unaweza anza taratibu kumukwepa kwenye kujumuika naye, ila usimteme kabia kwani wahenga walisema usitupe jongoo na mti wake Wala usijaribu kunyea kambi.
 
Hongera mil 30 per annual. Wengine tuna earn 12 mil per annual, ukizingatia mtu una direct dependants 7.

Da kazi kweli kweli/ job true true Mjanja M1

Cha kufanya kama ulivyosema kuwa ni jamaa Yako, lakini tunajua huyo hafai hata kuwa rafiki. Chukua mil 1 iweke kwenye bahasha kishi mfuate kwake, piga naye stori za kukumbushia alipokutoa kipindi unapitia wakati mgumu, halafu mkabidhi hiyo bahasha na uwambie kabisa kuwa hiyo ni shukrani.

Kingine mkuu kama unaweza anza taratibu kumukwepa kwenye kujumuika naye, ila usimteme kabia kwani wahenga walisema usitupe jongoo na mti wake Wala usijaribu kunyea kambi.
Ntafanya ivi
 
kuna jamaa ndugu ayangu nilisha mtoa kama hivyo...nikikutana nae ananicare hadi nakataa bill anataka kulipa yeye..hadi na mkwepa...japo yangu yalienda mrama yeye yupo safi na sihesabu..nkimkopa namlipa..simdai kitu...aqjifunze kufanya yake...
 
Dah uyu jamaa anataka niwe namuabudu sasa
Kuna jamaa ni km ndugu alinisaidia kipindi changamoto.
Sasa imekua km tabu,na nishamtoa sana tu.
Kwasiku misscall zake 10 kawaida tu.
Sasa nashindwa kuelewa ananidai?
Jibu NO,
Sikuwai kukopa hela kwake.
Nikazima data mpk akome,na mara ya mwisho nilimwambia siku ingine tuwe tunajuliana hali kwa msg basi,sio hela,hela,hela tu.
Unamkataa mazima tu isiwe tabu.
 
Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
Sasa bro kazi ya milioni 30 kwa mwaka unalalamika jamaa kuwa hivyo?

Hata mimi kwakweli nisingekaa kimya au unaielewa vipi milioni 30?

Kimsingi ningekuwa mimi ndio jamaa ningehamia kwako kabisa ili unitunze kama mzazi wako. Jamaa ana moyo wa kiutu sana.
 
Back
Top Bottom