Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Sasa bro kazi ya milioni 30 kwa mwaka unalalamika jamaa kuwa hivyo?

Hata mimi kwakweli nisingekaa kimya au unaielewa vipi milioni 30?

Kimsingi ningekuwa mimi ndio jamaa ningehamia kwako kabisa ili unitunze kama mzazi wako. Jamaa ana moyo wa kiutu sana.
We jamaa [emoji16][emoji16]
 
Hamna siyo manyanyaso ni wewe ndo umeanza kiburi, nikikutafutia kazi usizuie ni wapi ni kusimange ntakusimanga popote napotaka mimi , kukataa kusimangwa hiyo ni kiburi
 
Mbona wengine michongo kama hiyo mshahara wa Kwanza anachukuwa aliyedalalia mchakato?

Kwa kifupi wewe ni mduwanzi Fulani tu.

Kama unalipwa kweli 2.5 unashindwa Vipi kumpa jiwe tano kwenye bahasha na kumwambia Thank you

Mafala mafala mpo wengi Sana, halafu ajabu ndio mnaotobowa wakati watu wenye akili wanaendelea kutubu tu.
Sema kama jamaa analamba 2.5 yeye ampe hata million then ampe asante..
Ila kama mwamba ataendelea kukomalia kila mwezi iwe hivyo basi amkatae kabisa lakini pia asiwahi kumkataa kama ajaweka mambo fresh coz mwamba anaweza tibua mambo kazini hapo.
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Khaaa
Ila ndo maana watu hawapendi kusaidiwa na watu!
Hasa ndo nn,mbona unakuwa km mtumwa?
This is not Fair 😞
 
Mpe kiasi ambacho unaona kinafaa, mimi huwa siendekezi wapuuzi kama huyo jamaa yako, mwambie ukweli brother nashukuru Kwa kunisaidia lkn kiukweli hili na hili sipendezwi nalo. Lakini kama nimekukwaza kukuambia hili nisamehe brother wangu. Mimi naamini kama IPO IPO tu nakama haipo haipo hata ufanyeje.
Ukiona kamconnect na kazi ujue ana maelewano mazuri na wakuu hapo kazini
 
Ampe kila anapotaka, km hataki aache kazi ili awe huru.
Mbona simple tyuuh
Wewe unaweza kufanya hivyo?.Kila mtu hupata riziki kupitia mtu ningekuwa mimi ningemkataa mazima akitaka hio kazi aniharibie ingawa sio rahisi kama anavyodhani labda angekua yeye ndio kamuajiri sawa.
 
Watu hamjui kula na vipofu ingekuwa mimi ningekuwa namtia hata 100k kila mwezi pasipo kuombwa
 
Kwahio anaouwezo pia wakumfukuzisha?. Sio rahisi kama unavyodhani kumfukuza mtu kazi ambae hujamuajiri. Labda awe hawezi kujisimamia katika kazi.
kama ni private company unatimuliwa vizuri tu, wanakuambia una under peform, kisha wanakuondoa.
 
Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
Huyo jamaako kuolewa ni sehemu ndogo sana, haifai mwanaume kujidhalilisha kwa gharama ya shs 40 elfu, yan anataka kila mkienda out gharama ulipe wewe wakati hata yeye anaweza kulipa, nna uhakika hawez maliza bia za elfu hamsin, na hiyo hamsini ana uwezo nayo, akikosa kazi atakuwa mke wa mtu, nakuhakikishia…Au nasema uongo ndugu zangu, Tufanze kazi(In the late Magufuli’s voice)
 
Back
Top Bottom