Jamaa yangu Kwa wazazi wake ni pachafu Sana. Mama yake anaishi Kama mnyama

Jamaa yangu Kwa wazazi wake ni pachafu Sana. Mama yake anaishi Kama mnyama

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
 
Ndiyo maana hata nikipata msiba sitaki kusindikizwa na wafanyakazi nyumbani. Naenda kimya kimya tu.

Kuna mfanyakazi mwenzetu alifiwa na baba yake. Colleagues Waliomsindikiza wakaja kutangaza kuwa wazazi wa mfiwa Wana makazi Duni.

Nyie marafiki wa kazini mwapenda kutangaza mambo ya watu. Mnakuja kama marafiki kumbe ni wapumbavu tu🖕🏿🖕🏿
 
Kuhusu mambo ya maji ni mipango mibaya ya serikali kutokufikisha huduma hiyo.kwa kijijini huwezi kumjengea choo Cha kisasa Kwa sababu itahitajika MOTA ya kupandisha maji ambayo inatumia umeme wakati huo serikali haijapitisha umeme.kuhusu kuwajengea nyumba huenda huyo jamaa Yako Bado anajitafuta ili kuwajengea maana hata yeye lazima anamajukumu makubwa yamembana.
 
Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti .

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama .

Nyumba hovyo , choo cha makuti hamna maji , mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni , wanakunywa maji ya visima vichafu , hawana miundombinu mizuri.
Ukiona hivyo ujue jamaa ni mfalme wa chini
 
HILI NI FUNZO..TUMUOMBE SANA MUNGU ATUSAIDIE TUWE NA MAISHA BORA ILI HAPO BAADAE TUSITEGEMEE WATOTO MAANA WATOTO TUMEWAZAA SISI WAZAZI.

SEMA NAE MTOTO KIDOGO AJIONGEZE KUPABORESHA NYUMBANI JAPO SIO LAZIMA.
Kuboresha nyumbani ni muhimu sana kwa ajili ya Wazazi, watoto na sisi wenyewe, kama Uchumi unaruhusu.
Mimi napenda nyumbani kwetu pawe ni sehemu ya kukimbia kelele na purukushani za mjini. Kijijini pana utulivu, vyakula ni natural/organic.
 
Huyo rafiki yako anakuamini sana na anajua wewe ni rafiki yake wa kweli kabisa,
ndio maana hakua na wasiwasi akakupeleka kwao,

Cha ajabu badala ya kumshauri kama rafiki yako na mtu aliyekuamini,wewe umekimbilia kuja JF kumuanika hali ya kwao na kuja kutuuliza sisi hapa!

Kwanini usingemuuliza huyo rafiki yako huko huko?

Baada ya wewe kuona maisha ya huyo Mama mzee yalivyo,wewe ulitoa msaada gani au ushauri gani? au ndio umekimbilia tu huku JF?
Ungemsaidia huyo Mama ingependeza zaidi au ungemshauri Rafiki yako live ingekua sawa kabisa.
 
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Mbona husemi kama yeye yuko vizuri ki uchumi au laa maana unaweza kuleta umbea umu kumbe kipato chake yeye mwenyewe bada hajajipata
 
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Usafi ni tabia ya mtu usichanganye mada, kuna mtu ana nguo mbili na yuko safi siku zote anafuwa usiku na mwingine anazo nguo kibao lakini anavaa nguo mpaka inakuwa chafu ndio abadiri.

Hivi hujawahi kuingia chooni ukakuta maji yapo na brush ipo mtu kashusha kimba na hajafrush wala kusafisha sink? hiyo ni tabia ya mtu.

Kuna Mzee alikuwa jirani yetu ni marehemu kwa sasa ni mwanaume lakini uwanja wake asubuhi alikuwa anafagia mwenyewe na fagio kubwa, ukipita pale anaona kama umechafuwa lazima afute nyayo zako anataka uwanja wake ubaki msafi kabisa na hapo alikuwa yuko over 80 years old.
 
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Wewe ni rafiki yako una uwezo wa kumwambia kuliko kuja kututangazia huku jf vipi mtoto wa kiume huna kaba!
 
Back
Top Bottom