Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
umeamua kuja kunisema humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jidah samahani mkuu wewe unakaa maeneo gani hapa mjini...HILI NI FUNZO..TUMUOMBE SANA MUNGU ATUSAIDIE TUWE NA MAISHA BORA ILI HAPO BAADAE TUSITEGEMEE WATOTO MAANA WATOTO TUMEWAZAA SISI WAZAZI.
SEMA NAE MTOTO KIDOGO AJIONGEZE KUPABORESHA NYUMBANI JAPO SIO LAZIMA.
Inabidi umshauri huyo ''rafiki'' yako kama wewe ni rafiki wa kweli. Ungekuwa rafiki yake usingekuja kufungua thread bali ungemshauri. Halafu uchafu hauna ''race'' kwani kuna watu wahindi, wazungu, waarabu etc ni wachafu kweli kweli.Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu
Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.
Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.
Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.
Is all about shit.
Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Inabidi umshauri huyo ''rafiki'' yako kama wewe ni rafiki wa kweli. Ungekuwa rafiki yake usingekuja kufungua thread bali ungemshauri. Halafu uchafu hauna ''race'' kwani kuna watu wahindi, wazungu, waarabu etc ni wachafu kweli kweli.
Siyo njia sahihi hii na hasa unaposema wewe ni rafiki yake.Jamaa huwa anapialta hapa JF , so atajikiria na huu ujumbe utawafikiwa watu wengi wenye roho za kimasikini .
Ingekuwa mimi ningemwangalia kwa macho makavu huku nikimwambia siamini ninachoona. Njia unayotumia ni ya kinafki zaidi na pengine ulipokuwa naye ulikuwa unamsifu.Njia sahihi ni kuwaanika watu Kama hao.
Hauwezi kuwa na uchumi mzuri , unatembelea latest cars then mama yako mzazi anaishi maisha ya hovyo .
That is bullshit
Lazima wahakikishe wanapiga picha na kurudi nazo wanakuwa wanaoneshana kimya kimya huku wakicheka.Ndiyo maana hata nikipata msiba sitaki kusindikizwa na wafanyakazi nyumbani. Naenda kimya kimya tu.
Nyie marafiki wa kazini mwapenda kutangaza mambo ya watu. Mnakuja kama marafiki kumbe ni wapumbavu tu🖕🏿🖕🏿
Ingekuwa mimi ningemwangalia kwa macho makavu huku nikimwambia siamini ninachoona. Njia unayotumia ni ya kinafki zaidi na pengine ulipokuwa naye ulikuwa unamsifu.
Ungeonyesha mfano wa usafi na kumwambia rafiki Yako ukweli,tunsishi hivi!Wengi tunasahau tulikotoka na kuanzia kuishi maisha ya kuigiza .Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu
Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.
Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.
Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.
Is all about shit.
Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Ndio mmboreshe kwenu,Mimi mabosi walikuwa wananiogopa, maana kwetu nilipaboresha vizuri mno,nikawa naheshimiwa kazini kama Boss!Ndiyo maana hata nikipata msiba sitaki kusindikizwa na wafanyakazi nyumbani. Naenda kimya kimya tu.
Nyie marafiki wa kazini mwapenda kutangaza mambo ya watu. Mnakuja kama marafiki kumbe ni wapumbavu tu🖕🏿🖕🏿