Jamaa yangu Kwa wazazi wake ni pachafu Sana. Mama yake anaishi Kama mnyama

Jamaa yangu Kwa wazazi wake ni pachafu Sana. Mama yake anaishi Kama mnyama

HILI NI FUNZO..TUMUOMBE SANA MUNGU ATUSAIDIE TUWE NA MAISHA BORA ILI HAPO BAADAE TUSITEGEMEE WATOTO MAANA WATOTO TUMEWAZAA SISI WAZAZI.

SEMA NAE MTOTO KIDOGO AJIONGEZE KUPABORESHA NYUMBANI JAPO SIO LAZIMA.
Jidah samahani mkuu wewe unakaa maeneo gani hapa mjini...

Daaah umeongea kitu kimenigusa sana hii leo..
Mkuuu leo umeongea kitu..
Ndo mana kule jukwaa la chitchat walikufukuza maana naona ulikua una wachoma kunako
 
HILI NI FUNZO..TUMUOMBE SANA MUNGU ATUSAIDIE TUWE NA MAISHA BORA ILI HAPO BAADAE TUSITEGEMEE WATOTO MAANA WATOTO TUMEWAZAA SISI WAZAZI.

SEMA NAE MTOTO KIDOGO AJIONGEZE KUPABORESHA NYUMBANI JAPO SIO LAZIMA.
 
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Inabidi umshauri huyo ''rafiki'' yako kama wewe ni rafiki wa kweli. Ungekuwa rafiki yake usingekuja kufungua thread bali ungemshauri. Halafu uchafu hauna ''race'' kwani kuna watu wahindi, wazungu, waarabu etc ni wachafu kweli kweli.
 
Inabidi umshauri huyo ''rafiki'' yako kama wewe ni rafiki wa kweli. Ungekuwa rafiki yake usingekuja kufungua thread bali ungemshauri. Halafu uchafu hauna ''race'' kwani kuna watu wahindi, wazungu, waarabu etc ni wachafu kweli kweli.


Jamaa huwa anapialta hapa JF , so atajikiria na huu ujumbe utawafikiwa watu wengi wenye roho za kimasikini .
 
Njia sahihi ni kuwaanika watu Kama hao.

Hauwezi kuwa na uchumi mzuri , unatembelea latest cars then mama yako mzazi anaishi maisha ya hovyo .

That is bullshit
Ingekuwa mimi ningemwangalia kwa macho makavu huku nikimwambia siamini ninachoona. Njia unayotumia ni ya kinafki zaidi na pengine ulipokuwa naye ulikuwa unamsifu.
 
Ndiyo maana hata nikipata msiba sitaki kusindikizwa na wafanyakazi nyumbani. Naenda kimya kimya tu.

Nyie marafiki wa kazini mwapenda kutangaza mambo ya watu. Mnakuja kama marafiki kumbe ni wapumbavu tu🖕🏿🖕🏿
Lazima wahakikishe wanapiga picha na kurudi nazo wanakuwa wanaoneshana kimya kimya huku wakicheka.

Lakini hii inawakuta wale ambao makazini wanajifanya matawi ya juu, watu wa bata.

Lakini yule ambaye hana nyodo kazini, hata wakikuta mazingira ya home ni machafu wanapotozea tu coz wanajua jamaa ni njaa tu mpaka home
 
Sijamsifia Ila nilimwambia ajitafakari Ila hii post akiisoma lazima ajue nimemlipua na hii ndo njia nzuri ya kuwalipua watu wa hivi wanaofanya showoff mjini huku wazazi wao wanalala Kama mifugo

Ingekuwa mimi ningemwangalia kwa macho makavu huku nikimwambia siamini ninachoona. Njia unayotumia ni ya kinafki zaidi na pengine ulipokuwa naye ulikuwa unamsifu.
 
Huko vijijini kuna mambo ya ajabu sana ndugu zangu, watu wana wivu sana, ukijaribu kufanya hamjo lolote la maendeleo it’s either unaondoka ww au wale wanufaika wako, this may sound as joke but believe me haya mambo yapo sana especially vijijini.
 
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Ungeonyesha mfano wa usafi na kumwambia rafiki Yako ukweli,tunsishi hivi!Wengi tunasahau tulikotoka na kuanzia kuishi maisha ya kuigiza .
 
Ndiyo maana hata nikipata msiba sitaki kusindikizwa na wafanyakazi nyumbani. Naenda kimya kimya tu.

Nyie marafiki wa kazini mwapenda kutangaza mambo ya watu. Mnakuja kama marafiki kumbe ni wapumbavu tu🖕🏿🖕🏿
Ndio mmboreshe kwenu,Mimi mabosi walikuwa wananiogopa, maana kwetu nilipaboresha vizuri mno,nikawa naheshimiwa kazini kama Boss!
 
Back
Top Bottom