Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?



We Una taaluma ya udaktari ? Au unajiongelea tu
 
sema wadada wanajielewa sana huwezi kuta mdada amepost kifanyio chake humu

huyu ni mwanaume kama wa tatu hivi nakuta anapost kifanyio chake

si uende hospitali tu hili jukwaa halina maana zaidi ya kudanganyana mambo ya mitishamba tu
sio wanajielewa hawawezi post sababu kifanyio chao kina sura mbaya sana kinaweza sababisha Jf ikajilock automatically isipatikane hewani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…