King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Hao ni mites wanaitwa scabies, dawa Yao ni scaboma lotion utumie wiki nzima family yote na nguo na mashuka yafuliwe yote, lasivyo ukitibu Ngozi unajiambukiza Tena kupitia nguo zakoKUNA KADOGO KETU KANATESEKA NA HII SIJUI N KANIN na dawa yake kanapona kanamrudia
N kwelinmkuu mama yao kaupata ahsante sanaa hauna na vidonge vya kumeza naugopa sanaHao ni mites wanaitwa scabies, dawa Yao ni scaboma lotion utumie wiki nzima family yote na nguo na mashuka yafuliwe yote, lasivyo ukitibu Ngozi unajiambukiza Tena kupitia nguo zako
Barikiwa sana mkuu src n uchafu ama ...Hao ni mites wanaitwa scabies, dawa Yao ni scaboma lotion utumie wiki nzima family yote na nguo na mashuka yafuliwe yote, lasivyo ukitibu Ngozi unajiambukiza Tena kupitia nguo zako
Scaboma lotion ya kupaka inamaliza tatizo kabisaN kwelinmkuu mama yao kaupata ahsante sanaa hauna na vidonge vya kumeza naugopa sana
Sio uchafu ni parasite ambao unaweza kuwapata Kwa kumgusa mtu mwenye nao au sehemu aliyogusa mwenye nao, Kwako panaweza pakawa pasafi kama state house lkn ukawapata kupitia seat za mwendokasi au Kwa kugusa kitasa maofisini sehemu aliyogusa mwathirika wa hao waduduBarikiwa sana mkuu src n uchafu ama ...
Aje kwanza na ID yake ya zamaniHadi sasa sijaona majibu ya mwanetu mleta uzi Emanuel Platnumz
Mwenye namba yake amcheki 😂😂😂
Ni sahihi. Kuna dawa pia hua zinapunguza virus kuzaliana sana ila kutoka kabisa mwilini uongo.that's means kama virusi haviondoki mwilini, anakua na uwezo wa kumuambukiza mtu mwingine sio?
Hii ni mbaya sana, Ukute nae aliambukiza kwa aina hyo ya binti alie zani katibiwa kapona, kumbe bado anavo ndani.
Tuongeze umakini wazee wa mbususu 🤣
Muhimu😋Kwanii kinatakiwa kuwa na vein tena !!!!!
Kaka unanicheka😂Poyeee🤣
Na umekionaNamna heading ya uzi ilivyo nilijua tu nitakutana na kitu !!😂😂😂
Wacha tuNa umekiona
Hadi nawe ukacheka🤣Kaka unanicheka😂
Ngozi imekomaa kama kenge...Unaona kifungo cha boksa, unauliza kiungo gani?
Uchi haujawahi kuwa na sura nzuri, ndio maana ukaitwa sehemu za siriNgozi imekomaa kama kenge...
Mi nilijua kisigino...
Pole yake sana.Uchi haujawahi kuwa na sura nzuri, ndio maana ukaitwa sehemu za siri
Scabies(upele)