Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?

Jamani huu ni ugonjwa gan na dawa zake ni zipi?

Huyo Manzi aliemuambukiza sijui ana hali gani huko na hapo sijui kaambukiza wangapi na ukimcheck bonge ya Pisi kali kalio km chungu cha mpishi
Vijana wawe Makini, Dunia sasa imeharibika usimuamini mtu, watembee na mpira hata kwenye wallet wa Emergency. Unakuta kadada kenyewe ka elfu 2000 na dalili hazijaanza kuonekana na unajaa hapo, matokeo yake ndo haya.
 
Genital warts zinatafuna hizo balaa. Inabidi uende hospital utapata tiba sahii. Usikomae kujitibu mwenyewe utapata tabu na maumivu hadi ushangaae.
Usipende kutomba tomba hovyo bila kinga ,ukichelewa vitaanza kusamba sehemu nyingine za mwili mikononi hadi mkundn
 
Nje ya Mada:

Wapwa kuna tatizo linanitokea huu unaenda Mwezi wa pili au wa tatu km sijakosea na sielewi shida Ila ipo hivi nikivaa nguo zangu sikuhizi zinakua km zina Sumaku yaan nahisi km kuna kani ya mvutano kati ya Mwili wangu na nguo niliyoivaa halafu Muda mwingine nikiwa navua naona km sparkles zinatoka kabisa yaan cheche km umewahi kuona Moto ukiwa unamwaga cheche

Au zile zinarushwagwa angani kipindi cha Mwaka mpya na sherehe zingine sasa hio inatokea kwenye nguo km zinatoa cheche pia Muda fulani nikitembea nahisi km ninatembea na moto yaan mfano natembea gizani nahisi nimezungukwa na Mwanga naona vizuri sina hata haja ya kuwasha tochi, sasa hii hali imenitokea huu unaenda Mwezi wa 3

Na Mwezi uliopita ilibakia kidogo nikimbie kitanda maana nimelala na blanket nikawa nahisi cheche nikijigeuza nikajiuliza hizi cheche zinatoka wapi najigeuza geuza naona cheche zinatoka kwenye blanket naona cheche tupu yaan nikipitisha Mkono naona ni cheche tupu nikalitupa blanket kulishika tena nihakikishe nikigusa na Mkono ni cheche balaa sasa nikaanza kujiuliza hizi cheche zinasababishwa na nini nikivaa shati nahisi hio hali t-shirt the same hali inakua hio hio

Wajuvi wa mambo ya afya naombeni msaada sio afya ya akili nikiweza nitachukua Video muone km mnabisha nikigusa shati au t-shirt au shuka na Mwili wangu nguo inatoa cheche sielewi nina shida gani
Kuna kitu kinaitwa Static Electricity, some times human skin and hair are more likely to accumulate electric charges and have static electricity, hii hutokea pale pande mbili zinaposuguana kama vile ngozi yako na nguo uliyovaa ama kujifunika vikisuguana.
 
Sincerely Speaking In My Humble Opinion Without Being Sentimental And Judgemental And Of course Without Offending Anyone Who Thinks Differently From My Opinion, But Rather Looking Into This Serious Matter Without Perspective Distinction And Views. I Honestly Think And Believe That I Have Nothing To SayπŸ™
 
Sincerely Speaking In My Humble Opinion Without Being Sentimental And Judgemental And Of course Without Offending Anyone Who Thinks Differently From My Opinion, But Rather Looking Into This Serious Matter Without Perspective Distinction And Views. I Honestly Think And Believe That I Have Nothing To SayπŸ™
Nyie ndo huwa mnapigwa makofi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu sikutishi sana ila....
Ukienda hospitali cha moto utakiona dadek..

Utakubali show ile sindano aisee.. picha linaanza kwenye dawa

.. kuivuta tuu shighuli.. dawa ina viscosity kubwa kuliko asali...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sincerely Speaking In My Humble Opinion Without Being Sentimental And Judgemental And Of course Without Offending Anyone Who Thinks Differently From My Opinion, But Rather Looking Into This Serious Matter Without Perspective Distinction And Views. I Honestly Think And Believe That I Have Nothing To SayπŸ™
Ukipigwa kidole cha jicho utamlaumu nani?
 
Niingie moja kwa moja kwenye MADA hii kitaalamu inaitwa GENITAL HERPES
tumesha ijadili humu na kina DR HAYALAND, DR MAMBO JAMBO na wengineo kadha wa kadha unaweza ku search nyuzi zipo humu jukwaani..

Screenshot_20240901-022242.png


Screenshot_20240901-022523.png


Kwa kuongezea antibiotics may be helpful if you have both an infection caused by bacteria as well an infection with the herpes virus. In this case, an antibiotic will treat the bacterial infection and may make those symptoms go away, but the herpes virus will remain in your body.

Huu ugonjwa ni common Sana kwa Malaya wachafu

Ntarud hapa baadae kukushaur Cha kufanya..
 
Back
Top Bottom