Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubalikiwe sana ndugu yanguHuwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane ten ten na ile buku yao.
Be blessed bro, do more kindnessHuwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane ten ten na ile buku yao.
Ulifanya vyema, ndugu.Huwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane ten ten na ile buku yao.
Nina miaka sitoi sadaka makanisani badala yake huwa nafanya hivi huwa nawapa wahitaji moja kwa moja michango ya kanisani nimshaacha muda sasaBe blessed bro, do more kindness
Ubalikiwe sana ndugu yangu
AMENUlifanya vyema, ndugu.
Ubarikiwe!
Sikuhizi umekuwa na maneno ya hekima.Ubalikiwe sana ndugu yangu
AMINA tumekuwa sasaSikuhizi umekuwa na maneno ya hekima.
Kongole!! Kwako
Asante sana ubalikiweNina miaka sitoi sadaka makanisani badala yake huwa nafanya hivi huwa nawapa wahitaji moja kwa moja michango ya kanisani nimshaacha muda sasa
Mkuu mi nimeshakuwa kiongozi kanisani kwa awamu tofauti tofauti hivyo hadi nafikia kuacha na kukataa uongozi najua ninacho kifanya 100%.Asante sana ubalikiwe
Lakini sasa mtumish Kuna sadaka za aina mbili
Yaan aina za sadaka ni mbili
1. Kwa makuhani, yaan kanisani
2. Kwa wahitaji, yaan masikin, hospital wagonjwa wafungwa na omba omba
Kwahiyo jitaid utoe kote kote mtumish
Yote kwa yote nakusapot sana
MUNGU MWENYEZI AKUBARIKI SANA
Buku 10 wagawane ten ten. Mkuu samahani lakini huo mgawanyo ulikuwa na waina gani mpaka hizo ten ten mbili zikapatikana kwenye 10 mojaHuwa nafanya hivyo kuna siku nilikutana na mawakala wanaotembea kwa mguu wanasijiri laini wamechoka na wana njaa hallafu hawana hela.
Nilikuwa na pikipiki wakaniomba lift wakasema hawana wana buku yaani wamesajiri laini moja toka asbuhi hadi saa9 nikawaambia bila buku2 sibebi wakasema haya .... Yote ilikuwa zuga tu kuona kama kweli hawana hela nikawasha niende mara yule wa kike akasema ni mbebe yeye kwa buku1 maana hata nguvu hana amechoka sana nikaichukua ile buku nikamuita na jamaa nikawabeba.
Niliwauliza maswali kadhaa wa kadhaa then tukafika kwa mama ntilie nikawashusha nikawaambie waagize msosi wa nguvu wale washibe walitumia kama buku6 wote nikawaacha wanakula nikawapa na buku10 wagawane ten ten na ile buku yao.
Nilikosea buku ten wagawane 5-5 nimerekebisha ahsante sanaBuku 10 wagawane ten ten. Mkuu samahani lakini huo mgawanyo ulikuwa na waina gani mpaka hizo ten ten mbili zikapatikana kwenye 10 moja