Jamani likaka langu limelogwa

Jamani likaka langu limelogwa

Duh huyu mke angeolewa na mume kama wangu sasa hivi angekuwa milembe, ukiwa mchoyo mwanakme unafunga hata baraka kwa family na kwa mume kwa ujumla, coz jinsi mnavyoweza kutoa na kusaidia wasiojiweza na wazazi kwa ujumla na ndivo Mungu anavyozidi kuwabariki, mie kuna mwanamke namjua ni mchoyo hadi wageni wakiingia wakati anatenga chakula mezani ananuna ile mbaya, all in all mdada nyie wengine vipi? labda mngejaribu kusaidia japo kupunguza makali sababu mshajua tena wifi yenu ndio yuko hivo na hakuna mtakaloweza kubadilisha, but msichoke kumkumbusha kaka yenu mlipotokea
<br /> <br / nadhani hy mwanamke unayemzungumzia ni huyu wifi ye2 yani we acha 2 sijawah ona
 
&lt;br /&gt; &lt;br / alianza kuish na mke huyu kwa siri mke alipopata ujauzijo ikabidi amweleze mama, kama familia 2kampokea wifiye2 kwa furaha na muda wa kujifungua ukafika akajifungua hapo ndo akanza kuonyesha makucha pale alipokua mzaz wa siku 2 akamkuta mamy anakunywa chai na mandaz akamwambia mumewe kanyimwa mandaz na mama (kwe2 mzaz anakula mtori, supu na uji) na pia kama alipenda mandaz kwanini asingesema mpaka amwambie kaka?
<br />
<br />
Huyo wifi ana shida ya roho tu na vilevile anafurahia attention ya kaka...khaaaa! Unadai maandazi !?! My bad!

Nyie kusanyeni nguvu msaidieni mzazi wenu huyo wifi na kaka mpotezeeni, ila msiache kuwapa taarifa kama kuna michango etc

Wanawake wa jinsi hii ndio wanadhalilisha saaana mahousegirls na wana visasi hata makazini hawapandi vyeo,

Kuna familia niliishi kwa muda ili nifanye mitihani coz nilikuwa mgonjwa nikatolewa boarding so nikaombewa kukaa hapo nifanyie day...looooh yule mama alikuwa amejifungua, chakula changu nina amini kabisa nikishakula pia anapewa mbwa! Sikuwahi kunywa chai na nililazwa store mpaka namaliza mtihani hata kusoma yenyewe ilikuwa shughuli hataki taa iwashe ikabidi ninunue chemli na kuna umeme, huyo ni family friend!!

Anyways ndio akina mama sumu hao!! Ww usijikoseshe amani na wifi mwovu
 
hhhhahaha nyumba kubwa so inawezekana na huyo mama mkwe naye hii ndo comes around yake !! Kuwa naye ndo anayapokea malipo yake sasa?&lt;br /&gt;<br />
Hii mada bwana!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Kama no hivyo itakuwa kama hadithi ya kuku na yai.
 
Huyo mdada nafikiri ni YATIMA. Cha kufanya mwacheni tu siku moja atajua kwamba mama mkwe si mtu wa kuchezea kama anavyofikiri. Hivi nyie wanawake wapumbavu, kuwa na control na midomo inawashinda nini?

Ulimbukeni siyo mzuri.
 
Mbu yuko bizee anakutungia mashairi, hehehe si unajua Mbu hapa mtaani anaitwa &quot;titanic&quot;?, yeye akipenda hata meli ikizama basi yeye anaelea na mapenzi yake. Balaa wallahi!<br />
<br />
bek to red hapo: Mimi wamenifurahisha kweli aisee! unajua wanakuja kwa wingi ili kuonesha msisitizo! Ole wenu muwashauri kinyume na wanavyotegemea hakyababu patakuwa hapatoshi kwenye hii sredi!
<br />
<br />

...lol, klorokwini na mwj1 mmenikumbusha mapenzi ya kate winslet na Leonardo di Caprio kwenye TITANIC...
 
Kweli kabisa mkuu, watu tunasahau tulikotoka sana aisee
<br /> <br / hasa huyu kaka ye2 kasahau kabisaa alikotoka tn mama ye2 alikua anampenda klk wengne wote mpaka, aisee amekuwa m2 wa ajabu sn
 
Hiyo red inaashiria tofauti na unavyotaka tuamini. <br /> Waswahili wanasema <b>&quot;Fahari wawili hawakai zizi moja&quot;,</b> yaani ,kama mke wa kaka yenu ni mzee yussuf na nyinyi ni hadija kopa basi nadhani keshokutwa utaanzisha sredi nyengine <b><i>&quot; wifi katia diesel kwenye ugali wa mamkwe&quot;.</i></b><br /> <br /> Suluhisho ni upande mmoja ukubali kujishusha na kuona thamani ya upande mwengine na sio kuona makasoro tu kama hapo juu ulivyoandika, Pia muache kumuingilia ingilia sana bro wenu kwenye maisha yake ya kifamilia, nasema hivi kwasababu inaonekana chimbuko la matatizo ni kwamba nyinyi hamumtaki na hamumpendi huyo mke wa kaka yenu.<br /> <br /> <b>WARNING</b>: mkiendelea kumkera kera sana bro wenu kwenye ndoa yake nitaripoti hii hali kwa Mods.<br /> <br /> Nimemaliza na niko serious kweli kwenye hii post.
<br /> <br / siwez kukulaumu lkn lait mzaz wk angefanyiwa haya naimani ungechukua uamuz mgumu sn
 
Je kaka yenu anasaidia ukweni labda zaidi ya kwenu na mna uhakika?, manake inawezekana kweli kabanwa na ujenzi ila ninyi mnahisi ana hela na kuhisi chuki zote hizo kwa wifi yenu kuwa na faidi etc. Hilo ni tatizo common sana kwa familia nyingi. Hata kama atasaidia kwenu pia,bado hamtaridhika mtaona bado wifi anafaidi zaidi.
Nashauri wewe kwa kuwa umeolewa na ndoa ya miaka kumi na dada zako wengine basi muungane mumsaidie mama yenu kama anavyofanya wifi yenu.Kumbuka kuwa kama mtamuachia huyo kaka yenu mmoja ni mzigo mkubwa, kumbuka ana kwenu na kwa wakwe zake pia, na bado familia yake na maisha yenyewe haya mtamtoa kichogo cha mbele mapema bure... jiungeni ma dada watano na mumsaidie kaka yenu, ikiwezekana peaneni ratiba.
 
wife amsemee mbovu mama yangu mie nichekelee?kha!

Kwa kweli jamani hili hata mimi nashindwa kukubali, labda sasha kasema tu kwa hasira ya kumchukia wifi yake. Yaani kweli mtu amtukane mamako na wewe unakubali? Kwa hili kama ni kweli basi kuna mushkeri mkubwa kwa huyu bwana kaka.
 
hapa lipo tatizo,wife amuandikie hivyo mama! Alafu wengine mnashabikia huo upuuzi!kuna heshima kwa wakwe hata kama umepinda,hicho full kimeo!
 
ipo namna na busara jinsi ya kumaliza foleni ya misaada na mahusiano yakabaki salama,kama ni mama bora nimtukane mimi sio mke wangu hilo tatizo!
 
Navopendana na mkwe naomba Mungu asinibadili hata nikija olewa tuwe hivihivi, loooo nisione kitende mwenzangu nachukua, yaani huyu mama mungu amzidishie, akisafiri zawadi naletewa hata ofisini, akitaka kumwambia kitu mwanawe sometimes ananipigia simu, looo nahitaji nini tena,labda gunia la chawa nijikune mpaka kunakucha,Najiandalia mwenzangu makao yangu,huyu dada dawa yake ndogo sana na iko jikoni, Mungu hawezi angalia huyu mama akiteseka na kutukanwa kiasi hiki, imagine wadada tumbo linavyotesa, leo hii nitukanwe kweli, kwa kweli leo nimeelewa kuna baba mmoja alimtolea dudu yake mwanawe wa kiume, akamwonyesha unaona hiki kitundu ndio nilikukojoa hapa, sasa endelea na unayoyafanya....imagine hiyo ni laana ya aina gani
Lakini mjue... mama siku zote akitaka msaada hatokwenda kwa watoto wake wa kike walio olewa... atakimbilia kwa mwana wake wa kiume aliyeoa... hapa mimi nichoona huyu kijana anakimbia majukumu yake ukiangalia ustaarabu wetu wa kiafrika.. yeye kama mtoto wa kiume ndiye anatakiwa amtunze mama iwe anaumwa... anataka kula... sio dada zake amabo wameolewa na kwenda familia nyengine... hawa wanatakiwa wawe last option!

ningekuwa karibu huyu kijana ningempiga VIBAO!!:yell:

nani kama mama!.....
 
hasa wanaounga mkono humu ni akina dada waki reflect yanayowakuta!ila je waume zao wakiwatukana mama zao? Kweli hekima na busara wamepewa wachache,matatizo yasiwe chanzo cha kuharibu mahusiano na watu.
 
Hii ni kasumba. Mtu akioa au kuolewa huachana na wazazi wake. Wewe umeshaona huyo mama yenu akipeleka pesa kwa mama mkwe? Acheni hizo. Ubinafsi umewajaa. Kila mtu amezaliwa hata yeye mama yenu amezaliwa na akaolewa na baba yenu na baba yenu akaachana na babu yenu na akaishi kivyake. Kimsingi wazazi waqna wajibu wa kuwalea watoto hadi miaka 18 na baada ya hapo hustaafu kulea na kujilea wenyewe. Huyu kaka yako hawezi kujenga familia mbili kwaa kuwa hata mama yako hakujenga familia mbili. Think outside the box
 
kwa niaba ya ndgu yangu sasha natoa shukrani sn kwa wachangiaji wote kwani naimani kwa michango yenu kaka yetu pamoja na wifi wanaweza wakatambua mapungufu yao na wakajirekebisha na kuomba msamaha. MUNGU AWABARIKI SANA WANA JF
 
kwa niaba ya ndgu yangu sasha natoa shukrani sn kwa wachangiaji wote kwani naimani kwa michango yenu kaka yetu pamoja na wifi wanaweza wakatambua mapungufu yao na wakajirekebisha na kuomba msamaha. MUNGU AWABARIKI SANA WANA JF
tunashukuru pia Angel kwa kuhitimisha huu mjadala. Hapo kwa michango yetu kakio na wifio watajirekebisha I hope hawamo humu nao!! Maana ndo wasijesusa kabisaaa
 
Navopendana na mkwe naomba Mungu asinibadili hata nikija olewa tuwe hivihivi, loooo nisione kitende mwenzangu nachukua, yaani huyu mama mungu amzidishie, akisafiri zawadi naletewa hata ofisini, akitaka kumwambia kitu mwanawe sometimes ananipigia simu, looo nahitaji nini tena,labda gunia la chawa nijikune mpaka kunakucha,Najiandalia mwenzangu makao yangu,huyu dada dawa yake ndogo sana na iko jikoni, Mungu hawezi angalia huyu mama akiteseka na kutukanwa kiasi hiki, imagine wadada tumbo linavyotesa, leo hii nitukanwe kweli, kwa kweli leo nimeelewa kuna baba mmoja alimtolea dudu yake mwanawe wa kiume, akamwonyesha unaona hiki kitundu ndio nilikukojoa hapa, sasa endelea na unayoyafanya....imagine hiyo ni laana ya aina gani
Uwii duh hii nayo mzee alizidisha, ila msicheze na laana ya mama huwa inatoka rohoni sana, wababa wengi huwa wanasema kimzaha tu
 
Back
Top Bottom